Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi watailinda CCM hadi lini?

HAYATI Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, muasisi wa muungano wa Tanzania na Rais wa kwanza wa Tanzania baada ya muungano, katika moja ya hotuba zake alieleza kushangazwa na viongozi waliofuatia baada...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Vitendo hivi vya Jeshi la Polisi hadi lini?

Mtafaruku tulioshuhudia jana bungeni wakati wabunge wa vyama vya upinzani waliposimamisha shughuli za Bunge na kusababisha kuahirishwa ni ushahidi tosha kwamba sasa vyama hivyo vimefika kikomo cha kuvumilia vitendo vya Jeshi la Polisi nchini dhidi ya vyama hivyo na wafuasi wake.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali ya CCM itaendelea kulinda maovu hadi lini?

Mwalimu Julius Nyerere alisema: “Mficha ugonjwa, kifo humuumbua.” Usemi huu una maana kubwa sana katika maisha yetu. Mimi naufananisha usemi na ule wa Yesu aliposema: “Ukweli utawaweka huru.”

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mizaha hii ya JK hadi lini?

MTU yeyote aliyezoea mizaha (maneno au vitendo vya kumfanyia mtu masihara; goya, utani, dhihaka) hawawezi kuhangaika kumtafakari sana Rais wetu Jakaya Kikwete. Kwa mtu wa aina hiyo kila atakachokisema au...

 

11 years ago

GPL

UTAPOTEZEWA MUDA WAKO HADI LINI?

SAFU ya marafiki, inayojadili mambo ya kirafiki na wadau wa rika zote ambao kwa kiasi kikubwa wamebadilishwa fikra zao kwa kuwa wafuasi wa hapa. Yes! All About Love iko hewani. Kama ndiyo mara ya kwanza unapitia ukurasa huu, umefika sehemu sahihi sana ya kukupa elimu kwa undani kuhusu uhusiano, maisha na mapenzi. Karibuni. Vilio vya wasichana wengi wenye umri wa kati (hasa kuanzia 24 – 30) ni kuhusu kuachwa baada ya kukaa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Danadana hizi za viongozi hadi lini?

HIVI karibuni Umoja wa Wafanyabiashara Walemavu Dar es Salaam (Uwawada), walivamia ofisi ya Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa kwa madai kuwa ameshindwa kutekeleza ahadi ya kuwapatia maeneo ya...

 

11 years ago

GPL

UTAPOTEZEWA MUDA WAKO HADI LINI?-3

KUJIFUNZA, kuelewa na kufuata ni kitu kizuri kwa mtu mwenye hulka ya kupanua mawazo yake. Hakuna aliyekamilika, siku watu wanakosea. Hakuna mtaalamu wa kudumu wa mapenzi. Kwenye mapenzi tunazidiana uelewa tu. Hapa kwenye All About Love, ni mahali sahihi pa marafiki kukutana na kubadilishana mawazo. Wengi wamenufaika kwa kuwa wadau wa kona hii.
Ni safu ya kitambo iliyobadilisha fikra za wengi. Nashukuru wale ambao...

 

11 years ago

GPL

UTAPOTEZEWA MUDA WAKO HADI LINI?-2

KUWA kwenye uhusiano usioeleweka ni sawa na kupanda basi usilojua linapoelekea! Mwisho wake lazima utapotea tu! Huo ndiyo ukweli wenyewe ulivyo. Hapa kwenye All About Love tunajifunza mbinu za kuendelea kuwa bora zaidi katika uhusiano na wapenzi wetu. Rafiki zangu kuna baadhi ya watu huingia kwenye uhusiano na ndani ya kipindi kifupi huishia kuachana. Wengine wanadumu kwa muda mrefu lakini ghafla wanakuja kuachwa wakati ambao...

 

10 years ago

Mwananchi

Tutabaki Washangiliaji Afcon hadi lini ?

Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika inayoendelea nchini Guinea ya Ikweta inazidi kupamba moto.

 

10 years ago

Mwananchi

Dili za kuishia Oktoba hadi lini?

Mi kicheko tu, kwa kuwa nawaona wanatengeneza fedha inayoisha Oktoba. Usishangae kwa kuwa hadi kufikia hiyo Oktoba na kipaji nacho kitakuwa kimeshachuja.Kwa nini? Tazama luninga uone jinsi hawa ndugu zetu wasanii wanavyong’ara kwenye mikutano inayoshona kwa sana ya hao jamaa wanaonyatia nyumba kuu. Isitoshe nyomi nyingine inasababishwa na majina makubwa ya hao wasanii wa runinga na Bongo Fleva.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani