Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shule kutimua watumia vipodozi, wavaa mlegezo

Askofu Mkuu wa KKKT, Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria,  Emmanuel MakalaSHULE ya Sekondari Mwadui iliyopo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, imetangaza kufukuza wanafunzi wote wanaotumia vipodozi, wanaovaa sketi fupi, milegezo na wanaotumia simu za mkononi shuleni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

TEA watumia bil 2/- kusaidia shule za walemavu

MAMLAKA ya Elimu Tanzania (TEA) imetumia zaidi ya sh bilioni 1.83 kwa ajili ya kusaidia shule na vyuo vyenye watu wenye ulemavu katika kipindi cha miaka mitatu.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mgodi wa North Mara watumia Bilioni 1.7 kujenga shule wa sekondari JK Nyerere

unnamed (6)

 Mama Salma Kikwete akishirikiana na viongozi wa Mkoa wa Mara na wale wa Wilaya ya Tarime na wahisani waliojenga Shule ya J.K. Nyerere kukata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi rasmi wa Shule hiyo iliyoko katika Kijiji cha Nyamwaga.

unnamed (8)

  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimpongeza Ndugu Jimmy Ijumba, Meneja wa ACACIA –North Mara Gold Mine mara baada ya kuzindua rasmi shule hiyo.

unnamed (1)

 Mama Salma Kikwete akifurahia ngoma ya utamaduni na wananchi wa Kijiji cha Nyamwaga kilichoko katika wilaya...

 

10 years ago

GPL

POLISI WATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUTAWANYA MAANDAMANO YA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI NCHINI KENYA

Wanafunzi wakikimbia hovyo baada ya mabomu ya machozi kupigwa. Wanafunzi wakisukuma uzio wa shule la uwanja.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wavaa joho la CCM

MKAKATI wa kupambana na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) nje ya Bunge, ambao awali ulikuwa ukifanywa na viongozi na makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nje na ndani ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Mlegezo ‘wamtoa shoo’

Kijana mmoja alikuwa amevalia suruali ya ‘jeans’ na shati. Lakini suruali yake alivalia chini ya makalio kiasi cha kuonyesha nusu ya nguo yake ya ndani. Wakati huo alikuwa anatembea kuelekea kituoa cha basi.

 

11 years ago

TheCitizen

‘Mlegezo’ and mini-skirt are out; so why the fuss?

Something causing laughter but not being a laughing matter is a curious combination. Such was the case when, a few years ago, a fellow journalist narrated to a group of colleagues, a drama he witnessed at the Kibaha Bus Station.

 

10 years ago

GPL

MLEGEZO WAMPONZA CHID BENZ ATAITIWA MAHAKAMANI, POLISI WATOKA NAYE MKUKU

Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah
KIBANO! Kuonesha wapo ‘serious’ na mavazi, polisi walimtaiti staa wa Bongo Fleva, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’ na kumtaka akavae vizuri kisha arejee mahakamani. Tukio hilo lilitokea juzi, Jumanne katika Makahama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar, wakati staa huyo alipokuwa amefikishwa kusomewa mashtaka yake ya kukutwa na madawa ya kulevya. Staa wa Bongo...

 

10 years ago

Mwananchi

Vipodozi feki vyaharibiwa

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imelifunga ghala la vipodozi visivyo na ubora na kuteketeza shehena yenye thamani ya Sh7 milioni.

 

10 years ago

Habarileo

Vipodozi tishio afya za Watanzania

Vipodozi: Baadhi vimekuwa hatari kwa maisha ya wananchi.IMEELEZWA kuwa zaidi ya asilimia 70 ya Watanzania, sawa na watu milioni 31.5, wako hatarini kupata magonjwa ya ngozi, kutokana na kutumia vipodozi visivyo sahihi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani