Mlegezo ‘wamtoa shoo’
Kijana mmoja alikuwa amevalia suruali ya ‘jeans’ na shati. Lakini suruali yake alivalia chini ya makalio kiasi cha kuonyesha nusu ya nguo yake ya ndani. Wakati huo alikuwa anatembea kuelekea kituoa cha basi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm22ovr33Y7UVATGMrUNmbuXcCO6R7LB5cfWUt2rjb3VZvTlhGlqXe*LUwpXNl9u7gTugPC9H91BUSLNqXSe4kzf/seth5.gif?width=650)
YATIMA WAMTOA MACHOZI BATULI
Deogratius Mongela na Shani Ramadhani MWIGIZAJI Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amejikuta akiangua machozi baada ya kuwaona watoto yatima wa Kituo cha Sinza jijini Dar. Mwigizaji Yobnesh Yusuph ‘Batuli’. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita wakati Batuli, wanafamilia na mastaa wengine walipokwenda katika kituo hicho kutoa misaada mbalimbali ndipo aliposhindwa kujizuia baada na kuangua machozi.
...
10 years ago
Mwananchi14 Jun
Albino wamtoa chozi Kikwete
Rais Jakaya Kikwete ametokwa na machozi wakati akisikiliza wimbo ya masikitiko ya watoto wenye ulemavu wa ngozi (albino), na akaeleza kuwa ni upumbavu kuamini kuwa viungo vyao vinaleta utajiri.
11 years ago
TheCitizen16 Mar
‘Mlegezo’ and mini-skirt are out; so why the fuss?
Something causing laughter but not being a laughing matter is a curious combination. Such was the case when, a few years ago, a fellow journalist narrated to a group of colleagues, a drama he witnessed at the Kibaha Bus Station.
11 years ago
Habarileo28 Jul
Shule kutimua watumia vipodozi, wavaa mlegezo
SHULE ya Sekondari Mwadui iliyopo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, imetangaza kufukuza wanafunzi wote wanaotumia vipodozi, wanaovaa sketi fupi, milegezo na wanaotumia simu za mkononi shuleni.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMMzeDZMIEOQD42UoemfXeHFIOUy1MecMu8bRAsEVF5AXzCa9WDlQ7y2rM1aSrW6i33g77tbXJF4df9hnCoppUgd/chid.jpg?width=650)
MLEGEZO WAMPONZA CHID BENZ ATAITIWA MAHAKAMANI, POLISI WATOKA NAYE MKUKU
Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah
KIBANO! Kuonesha wapo ‘serious’ na mavazi, polisi walimtaiti staa wa Bongo Fleva, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’ na kumtaka akavae vizuri kisha arejee mahakamani. Tukio hilo lilitokea juzi, Jumanne katika Makahama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar, wakati staa huyo alipokuwa amefikishwa kusomewa mashtaka yake ya kukutwa na madawa ya kulevya. Staa wa Bongo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania