Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Albino wamtoa chozi Kikwete

Rais Jakaya Kikwete ametokwa na machozi wakati akisikiliza wimbo ya masikitiko ya watoto wenye ulemavu wa ngozi (albino), na akaeleza kuwa ni upumbavu kuamini kuwa viungo vyao vinaleta utajiri.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mlegezo ‘wamtoa shoo’

Kijana mmoja alikuwa amevalia suruali ya ‘jeans’ na shati. Lakini suruali yake alivalia chini ya makalio kiasi cha kuonyesha nusu ya nguo yake ya ndani. Wakati huo alikuwa anatembea kuelekea kituoa cha basi.

 

11 years ago

GPL

YATIMA WAMTOA MACHOZI BATULI

Deogratius Mongela na Shani Ramadhani MWIGIZAJI Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amejikuta akiangua machozi baada ya kuwaona watoto yatima wa Kituo cha Sinza jijini Dar. Mwigizaji Yobnesh Yusuph ‘Batuli’. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita wakati Batuli, wanafamilia na mastaa wengine walipokwenda katika kituo hicho kutoa misaada mbalimbali ndipo aliposhindwa kujizuia baada na kuangua machozi.
...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete akemea mauaji ya albino

Rais Jakaya Kikwete akizungumza na watoto wenye ulemavu wa ngozi baada ya kuwasili katika Uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha jana ambapo aliongoza Maadhimisho ya Siku ya Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi Duniani. (Picha na Freddy Maro).RAIS Jakaya Kikwete amewasihi Watanzania kuacha kuua watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), badala yake wawalinde kwani ni aibu kwa baadhi ya watu kuwaua au kushiriki kuwaua wenzao kwa nia ya kujipatia fedha.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete: Wauaji wa albino wasakwe

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amezungumzia hali ya usalama wa nchi, ikiwemo uvamizi wa vituo vya Polisi, uporaji wa silaha ulioambatana na vifo vya askari na kusema matukio hayo, baadhi yake yana dalili za ugaidi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Kikwete:Mauaji ya Albino ni fedheha

Serikali ya Tanzania imeahidi kufanya jitihada kukomesha vitendo vya mauaji dhidi ya jamii ya Albino

 

10 years ago

Mwananchi

Albino wapambana wakienda kwa Rais Kikwete

Hali ya sintofahamu ilitokea jana baada ya wanachama wa Chama cha Albino Tanzania (Tas) kumshambulia kiongozi wao, Ernest Kimaya wakati wakiwa njiani kuelekea Ikulu ambako Rais Jakaya Kikwete aliwaita kwa mazungumzo.

 

10 years ago

Daily News

Kikwete vows to step up war on albino killers


Kikwete vows to step up war on albino killers
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has renewed his pledge to track down and bring to justice all the people behind albino killings that have tarnished the country's image. He insisted that no stone will be left unturned in the crusade - be it a seller, buyer or those ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani