Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dhihaka ya joho na shahada

Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, aliwahi kukataa kutunukiwa baadhi ya shahada hizo akizisemea kuwa ni sawa na kuvishwa kilemba cha ukoka

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete akabidhiwa Joho na Cheti cha Shahada ya Doctor of Laws

Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam Profesa Rwekaza Mukandala akimkabidhi Rais Dkt .Jakaya Mrisho Kikwete cheti cha Shahada ya Heshima ya Doctor of Laws(Honoris Causa) wakati wa hafla fupi ya kumkabidhi Rais joho na cheti iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na maprofesa waandamizi wa chuo hicho.Tayari Rais Kikwete alishatunukiwa shahada hiyo katika mahafali ya 41 ya UDSM yaliyofanyika Octoba mwaka 2011. Profesa Agnes Mwakaje wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akimvika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dhihaka ya sala na dua bungeni

SALA au dua ni kitendo kihususho kumuomba Mwenyezi Mungu, kumhimidi, na ni sawa na ibada ndogo bali yenye uzito ule ule kwa Mwenyezi Mungu. Kwa Mwenyezi Mungu wa kweli hakuna...

 

10 years ago

Mwananchi

Faini ya Sh10,000 ya ngono ni dhihaka

Ni usiku na giza limetanda. Nakatiza mitaa ya Buguruni Madenge na Malapa jijini Dar es Salaam, nashuhudia wanawake wamejilaza kwenye vibaraza, mbele ya nyumba zao wakitumia mwanga wa vibatari.

 

11 years ago

Mtanzania

Sitta avaa joho la udikteta

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

FREDY AZZAH NA ESTHER MBUSI, DODOMA

MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, ni wazi sasa ameamua kuvaa ‘joho la udikiteta’, baada ya kuitaka Serikali kuvibana zaidi vyombo vya habari.

Sitta ameonekana kuwa mmoja wa watu wanaoweweseka baada ya kuitaka Serikali kudhibiti vyombo vya habari vinavyorusha midahalo mbalimbali ya Katiba.

Bila kutaja jina la chombo husika, Sitta alionekana wazi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wavaa joho la CCM

MKAKATI wa kupambana na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) nje ya Bunge, ambao awali ulikuwa ukifanywa na viongozi na makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nje na ndani ya...

 

11 years ago

Mwananchi

13 kufadhiliwa shahada ya uzamili

Wanafunzi 13 wa Chuo Kikuu cha Uongozi na Sayansi Tanzania (UMAST), waliopata daraja la kwanza wamepata ufadhili wa kusomeshwa masomo ya shahada ya uzamili na watapewa ajira ya kufundisha chuoni hapo

 

10 years ago

Habarileo

Dk Shein atuzwa shahada ya heshima

RAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein juzi alikabidhiwa rasmi shahada ya heshima ya Chuo cha Wataalamu wa Patholojia cha nchi za Mashariki, Kati na Kusini mwa Afrika (COPECSA).

 

10 years ago

BBCSwahili

Bi Mugabe atakiwa kurudisha shahada

Mwandishi aliyeshinda tuzo nchini Zimbabwe amemtaka Grace Mugabe mke wa rais wa Zimbabwe Robert Mugabe kurudisha shahada aliyopewa

 

11 years ago

Mwananchi

Katibu Simba awe na shahada

Klabu ya Simba imetangaza sifa za waombaji wa ajira ya katibu mkuu, huku kigezo kikuu kikiwa ni shahada.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani