Repoa: Takukuru ilikithiri kwa kupokea rushwa 2014
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imetajwa katika utafiti kuwa ni kati ya taasisi zilizoshika nafasi za juu kwa kupokea rushwa katika kipindi cha miaka 10 iliyopita.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
TAKUKURU DODOMA YAWAONYA WATAKAOTOA NA KUPOKEA RUSHWA UCHAGUZI CHAMA CHA WALIMU

Charles James, Michuzi TVZIKIWA zimebaki siku mbili kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Viongozi wa kitaifa wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoani Dodoma imetoa onyo kwa wale wote watakaotoa na kupokea Rushwa.
Uchaguzi huo wa CWT utafanyika Juni 5 jijini Dodoma ambapo utachagua Rais, Makamu wa Rais,...
10 years ago
Mwananchi28 Jan
DC awasimamisha kazi mgambo kwa kupokea rushwa
10 years ago
Mwananchi29 Jul
Mwigulu ahojiwa na Takukuru kwa rushwa
10 years ago
Habarileo22 Jan
Mbunge: Sijawahi kupokea rushwa kutoka kwa Liana
MBUNGE wa Bahi, Omary Badwell (CCM) ameieleza Mahakama kuwa hajawahi kuomba na kupokea rushwa kutoka kwa aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mkuranga, Sipora Liana.
5 years ago
Michuzi
AFUNGWA MIEZI TANO JELA BABATI KWA KUPOKEA RUSHWA

Hakimu mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Babati, Victor Kimaro alitoa hukumu hiyo jana mjini Babati kwenye mahakama hiyo.
Hakimu huyo alisema mahakama hiyo inamtia hatiani Sulle kwenye kesi hiyo ya jinai namba CC 92/2020 baada ya kuridhika na ushahidi uliowasilishwa na wakili wa Takukuru Evelyine Onditi.
Hakimu Kimaro alisema hata hivyo, washtakiwa...
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Hakimu anaswa na Takukuru kwa tuhuma za kuomba rushwa
10 years ago
Habarileo07 Feb
Takukuru kutoa elimu kwa jamii kuepuka rushwa
TAASISI ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru) imesema ina mpango mkakati unaowahusisha wadau mbalimbali wa namna ya kuielimisha jamii ielewe juu ya madhara ya rushwa ili kwa pamoja, iweze kusaidia katika mapambano ya kuitokomeza.
5 years ago
Michuzi
TAKUKURU MANYARA YAWASHIKILIA MAAFISA WATATU WA TRA KWA RUSHWA
Na mwandishi wetu, Babati
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoani Manyara, inawashikilia maafisa watatu wa Mamlaka ya mapato nchini (TRA) kwa kuomba na kupokea rushwa ya shilingi milioni moja kwa mfanyabiashara wa eneo hilo ili wasimuongezee makadirio ya kodi katika biashara yake ya duka la rejareja.
Mkuu wa TAKUKURU Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu aliwataja maafisa hao wa TRA wanaowashikilia ni Eva...
11 years ago
Mwananchi21 Aug
Repoa: Wananchi hupata taarifa za Ukimwi zaidi kuliko rushwa