TAKUKURU MANYARA YAWASHIKILIA MAAFISA WATATU WA TRA KWA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-hODmGXyxshw/XuO30VoOPYI/AAAAAAALtn4/K_1EQvvf3l0LBDUrVxBr5oT4byz81Xm3ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200401-WA0004.jpg)
TAKUKURU MANYARA YAWASHIKILIA MAAFISA WATATU WA TRA KWA RUSHWA
Na mwandishi wetu, Babati
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoani Manyara, inawashikilia maafisa watatu wa Mamlaka ya mapato nchini (TRA) kwa kuomba na kupokea rushwa ya shilingi milioni moja kwa mfanyabiashara wa eneo hilo ili wasimuongezee makadirio ya kodi katika biashara yake ya duka la rejareja.
Mkuu wa TAKUKURU Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu aliwataja maafisa hao wa TRA wanaowashikilia ni Eva...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JDSrSPbKCqc/XvbUJomRvKI/AAAAAAALvpo/dd_5QsF8_EEIYNzvNQKE-C6L3VmVc0uXACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200612-WA0059.jpg)
TAKUKURU MANYARA YAWASHIKILIA MWENYEKITI NA KATIBU WA CCM BABATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-JDSrSPbKCqc/XvbUJomRvKI/AAAAAAALvpo/dd_5QsF8_EEIYNzvNQKE-C6L3VmVc0uXACLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200612-WA0059.jpg)
Na Mwandishi wetu, Babati
TAASISI ya kuzuia na kupambana na rushwa (Takukuru) Mkoani Manyara inamshikilia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tawi la Maisaka kati Bakari Khatibu na katibu wa Tawi hilo Juma Swalehe wote wakazi wa wilaya ya Babati kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya sh. 200,000 kutoka kwa Mwinjilist wa kanisa la kinjili la kilutheri Tanzania (KKKT) mtaa wa Komoto.
Mkuu wa Takukuru Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu aliyasema hayo mjini Babati wakati...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4Fu4MiRv518/Xt_U6_NZMlI/AAAAAAALtOc/bw3t1Bl9NWQgM9fr2r4l8ATey9XSPjkHgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200520-WA0063.jpg)
TAKUKURU MANYARA YAMFIKISHA KORTINI MWENYEKITI WA SOKO KWA TUHUMA ZA KUTOA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4Fu4MiRv518/Xt_U6_NZMlI/AAAAAAALtOc/bw3t1Bl9NWQgM9fr2r4l8ATey9XSPjkHgCLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200520-WA0063.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Mkuu wa Takukuru mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu, Juni 9 mwaka huu, Songelaeli ameshtakiwa kwa kosa la kutoa rushwa ya shilingi 407,000 kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Yefred...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0aJtmkBuMSM/XszczR_JYzI/AAAAAAALrkM/evPcW-xs960xXpnL4Txfucfw7GkI48EsgCLcBGAsYHQ/s72-c/pccb.jpg)
TAKUKURU MANYARA YAWATIA MBARONI MAOFISA WAWILI WA TRA
Mkuu wa TAKUKURU Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu (Pichani) akizungumza mjini Babati alisema maofisa hao TRA wanadaiwa kufanya kosa hilo kinyume cha kifungu cha 15 cha sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa namba 11/2007.
![](https://1.bp.blogspot.com/-0aJtmkBuMSM/XszczR_JYzI/AAAAAAALrkM/evPcW-xs960xXpnL4Txfucfw7GkI48EsgCLcBGAsYHQ/s640/pccb.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6xuxflMu0eM/XtehP8UrreI/AAAAAAALsfM/fTxjP0G-76kD8phVO2GOYZSmlO6p0j-MQCLcBGAsYHQ/s72-c/tanzania-tra-pccb.gif)
10 years ago
Mwananchi29 Jul
Mwigulu ahojiwa na Takukuru kwa rushwa
10 years ago
Habarileo07 Feb
Takukuru kutoa elimu kwa jamii kuepuka rushwa
TAASISI ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru) imesema ina mpango mkakati unaowahusisha wadau mbalimbali wa namna ya kuielimisha jamii ielewe juu ya madhara ya rushwa ili kwa pamoja, iweze kusaidia katika mapambano ya kuitokomeza.
10 years ago
Mwananchi07 Feb
Repoa: Takukuru ilikithiri kwa kupokea rushwa 2014
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Hakimu anaswa na Takukuru kwa tuhuma za kuomba rushwa
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dCtbW8R5Wao/VbkNweBJ_WI/AAAAAAAHsl8/VJVfNU53r-U/s72-c/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
Uingereza yashirikiana na TAKUKURU kutoa mafunzo kwa maafisa toka ofisi 27 za mikoa
Mafunzo haya yamefadhiliwa na DFID kama sehemu ya Mpango wa Kuimarisha Mapambano dhidi ya Rushwa Tanzania (STACA) na inasimamiwa na Afisa wa Uingereza toka kitengo cha NCA, Bwana Phill Jones.
![](http://2.bp.blogspot.com/-dCtbW8R5Wao/VbkNweBJ_WI/AAAAAAAHsl8/VJVfNU53r-U/s640/unnamed%2B%252820%2529.jpg)