Kwanini wananchi walinde kura zao?
Na Rashid Abdallah Mwanzoni mwa wiki juzi , Tume ya taifa ya uchaguzi (NEC) ilivionya vyama vya siasa kuacha mara moja kuwahamasisha wapiga kura, kuwa karibu na vituo vya kupigia kura baada ya kupiga kura zao […]
The post Kwanini wananchi walinde kura zao? appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Sep
Wananchi wanatambua thamani ya kura zao?
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Oct
HIZI NDIO MBINU ZA CCM ZA KUIBIA WANANCHI KURA ZAO
Asalamu Alaikhum Ndugu Watanzania wa kutoka Zanzibar na Tanganyika. Ama sina budi ila kumshukuru Allah Salawatu Wasalamu, kwakunipatia uzima, pumzi na wasia wakuweza kuandika Makala hii kwenu nyinyi WAZALENDO WA ZANZIBAR NA TANGANYIKA. Kama tulivosikia katika […]
The post HIZI NDIO MBINU ZA CCM ZA KUIBIA WANANCHI KURA ZAO appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mvDN7f9ligQ/Xu-q9R4g0zI/AAAAAAALu2E/63WouhDEg9wzvTroiYS19lkUlv0lmbm3wCLcBGAsYHQ/s72-c/362eace1-58ac-4b0b-aef2-dfeb61a649c9.jpg)
WAZIRI MHAGAMA APONGEZA WANANCHI KWA KUJITOKEZA NA KUBORESHA TAARIFA ZAO KWENYE DAFTARI LA WAPIGA KURA
![](https://1.bp.blogspot.com/-mvDN7f9ligQ/Xu-q9R4g0zI/AAAAAAALu2E/63WouhDEg9wzvTroiYS19lkUlv0lmbm3wCLcBGAsYHQ/s640/362eace1-58ac-4b0b-aef2-dfeb61a649c9.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (kulia) akizungumza na wakazi wa Kijiji cha Kelema alipofanya ziara ya kukagua zoezi la uwekaji wazi wa Daftari la Mpiga Kura pamoja na kuangalia uboreshaji wa taarifa za wapiga kura Wilayani Chemba.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6cdbbbbf-c0cc-41ab-b40c-b0e0d116c843.jpg)
9 years ago
Vijimambo29 Oct
HIZI NDIZO SABABU YA KWANINI MATOKEO YA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO KURA ZILIZOPIGWA ZANZIBAR HAYAKUATHIRI KURA ZA NEC
![](https://zanzibarislamicnews.files.wordpress.com/2010/08/tume.jpg?w=570)
Katika uchaguzi wa Zanzibar, utaratibu ni kwamba Watanzania Zanzibar wanapiga kura 5, yaani Rais wa Zanz, Mwakilishi na diwani. Pia wanapiga kura ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge.
Kwenye kituo cha kupigia kura kuna meza 2. Moja ni ya tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC) na nyingine ni ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Meza ya NEC ina watumishi wake na Meza ya ZEC ina watumishi wake.
Watumishi wa NEC wanaripoti moja kwa moja kwa NEC na watumishi wa ZEC wanaripoti moja kwa moja...
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura
9 years ago
Bongo515 Oct
Nay wa Mitego aeleza kwanini hakuweza kutoa filamu ya ‘Salamu Zao’
9 years ago
Vijimambo08 Sep
Lowassa: Kwanini kura hazitaibiwa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowassa-8Sept2015.jpg)
Lowassa anayewakilisha pia muungano wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vya NCCR-Mageuzi, NLD na Chama cha Wananchi (CUF), amesema ana imani kubwa kwamba katika uchaguzi mkuu mwaka huu, hakutakuwa na hila zozote za kuiba kura kwa...
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Kwanini watu hawapendi kupiga kura?
TUMESHUHUDIAuchaguzi wa Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa ukimalizika huku wananchi 29,541 pekee wakijitokeza kupiga kura wakati idadi kamili ya waliopaswa kupiga kura ikiwa ni 71,964. Hesabu hiyo ni sawa na...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar15 Oct
Mbowe Amjibu Rais Kikwete Kuhusu Idadi ya Wapiga Kura na Zuio la Wananchi Kulinda Kura Vituoni
Mwenyekiti wa Chadema, Mh Freeman Thursday, October 15, 2015 Mwenyekiti wa Chadema, mh Freeman Mbowe amemtaka Rais Kikwete kutovuruga amani ya nchi na badala yake amemtaka aondoke madarakani na kuiacha nchi ikiwa salama. Mbowe alitoa kauli […]
The post Mbowe Amjibu Rais Kikwete Kuhusu Idadi ya Wapiga Kura na Zuio la Wananchi Kulinda Kura Vituoni appeared first on Mzalendo.net.