Waziri aagiza Dawasco iwaondoe mameneja wawili
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla akiwa ameongozana na watendaji wa Kampuni ya Maji Safi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco) wakati wa ziara ya kuwabaini wezi wa maji jana. Picha na Kelvin Matandiko, Mwananchi
Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla ameuagiza uongozi wa Bodi ya Kampuni ya Maji Safi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco), kuwaondoa mameneja wawili wa kampuni hiyo kutokana na wizi wa maji kufanyika kwenye maeneo yao.
Makalla amesema udhaifu unaofanywa na watendaji wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Inhgnwe7blg/VoPnoXOeUHI/AAAAAAAIPa4/qbfDSIYXuTU/s72-c/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Waziri Simbachawene aagiza kusimamishwa kazi kwa maafisa biashara wawili wa manispaa ya Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-Inhgnwe7blg/VoPnoXOeUHI/AAAAAAAIPa4/qbfDSIYXuTU/s400/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Kutokana na hali hiyo Mhe. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kumuondoa kwenye...
9 years ago
Bongo516 Oct
Ommy Dimpoz amuongeza Abby kwenye management yake, sasa ana mameneja wawili
10 years ago
StarTV05 Jan
Makala awavua umeneja wawili DAWASCO.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es salaam.
Naibu Waziri wa Maji Amos Makala ametengua wadhafa wa mameneja wawili wa kampuni ya maji safi na maji taka jijini Dawasco Peter wa Chacha wa Kimara na Robert Mugabe wa Boko kutokana na kushindwa kutekeleza vizuri wajibu wao.
Aidha kutokana na kutengua wadhafa wa mameneja hao, Waziri Makala ameigiza bodi ya wakurugenzi ya DAWASCO kuhakikisha inateua haraka wakurugenzi wapya watakaoshika nafasi hizo.
Uamuzi huo wa Naibu Waziri Makala ameutoa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sM3EgebYs_s/VQLDOUGlH8I/AAAAAAAHKDg/UnJoInfBhm4/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
WAZIRI WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI , AWAFUNDA MAMENEJA MIKOA WA TBA NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-sM3EgebYs_s/VQLDOUGlH8I/AAAAAAAHKDg/UnJoInfBhm4/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zhMzfiW14gI/VQLDOUnL_5I/AAAAAAAHKDE/F2GU9cEyD84/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yP6-KfuMVvg/XncHKzjNDPI/AAAAAAALkrg/vHaNepjB8-Q6ox1yNf_OqZSE1Zzdfw29wCLcBGAsYHQ/s72-c/8e613680-6aa0-4c21-825d-d60cdce33be9.jpg)
WAZIRI KAMWELWE AWAAGIZA MAMENEJA WA TANROADS KUIMARISHA UKAGUZI WA MIUNDOMBINU KATIKA MAENEO YAO
Charles James, Globu ya Jamii
KUTOKANA na mvua kali ambazo zinaendelea kunyeesha katika maeneo mbalimbali nchini, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe amewaagiza mameneja wote wa TANROADS nchini kuimarisha miundombinu ya barabara na madaraja kwenye maeneo yao.
Agizo hilo pia limeenda kwa Mamlaka za hali ya news nchini kuhakikisha wanatoa taarifa za hali ya hewa hususani za mvua mara kwa mara kwa wananchi.
Waziri Kamwelwe pia ametoa wito kwa wananchi wote kuchukua...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CtBy_0HfB-s/VO13X40NuUI/AAAAAAAHFxY/Iy7NNVikRac/s72-c/unnamed%2B(46).jpg)
NAIBU WAZIRI WA NISAHATI NA MADINI AKUTANA NA MAMENEJA WA TANESCO,MKOA LINDI, MTWARA, PWANI NA DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-CtBy_0HfB-s/VO13X40NuUI/AAAAAAAHFxY/Iy7NNVikRac/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ElIA4ntlnE4/VO13X4gTJpI/AAAAAAAHFxM/PHbFDEwohBg/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
9 years ago
Habarileo17 Dec
Waziri Mkuu aombwa kutembelea Dawasco
MBUNGE wa Jimbo la Kibamba, John Mnyika amemuomba Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kufanya ziara katika ofisi za Dawasa na Dawasco ili ‘kutumbua majipu’ ya yaliyopo katika taasisi hizo za umma. Mnyika ambaye ni Mbunge kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), alidai jana kuwa ameamua kuchukua hatua hiyo ya kumuomba Waziri Mkuu kuingilia kati tatizo hilo, baada ya kutoridhishwa na hatua alizochukua Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Makame Mbarawa baada ya kufanya ziara...
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Waziri Nyalandu aagiza wavamizi kuondoka