Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makala awavua umeneja wawili DAWASCO.

Na Josephine Mwaiswaga,

Dar es salaam.

Naibu Waziri wa Maji Amos Makala ametengua wadhafa wa mameneja wawili wa kampuni ya maji safi na maji taka jijini Dawasco Peter wa Chacha wa Kimara na Robert Mugabe wa Boko kutokana na kushindwa kutekeleza vizuri wajibu wao.

 

Aidha kutokana na kutengua wadhafa wa mameneja hao, Waziri Makala ameigiza bodi ya wakurugenzi ya DAWASCO kuhakikisha inateua haraka wakurugenzi wapya watakaoshika nafasi hizo.

Uamuzi huo wa Naibu Waziri Makala ameutoa...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Waziri aagiza Dawasco iwaondoe mameneja wawili

Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla akiwa ameongozana na watendaji wa Kampuni ya Maji Safi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco) wakati wa ziara ya kuwabaini wezi wa maji jana. Picha na Kelvin Matandiko, Mwananchi
Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla ameuagiza uongozi wa Bodi ya Kampuni ya Maji Safi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco), kuwaondoa mameneja wawili wa kampuni hiyo kutokana na wizi wa maji kufanyika kwenye maeneo yao.

Makalla amesema udhaifu unaofanywa na watendaji wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Viera awania umeneja Newcastle United

Timu ya Newcastle iko katika harakati za kupata kocha wake kukiimarisha kikosi chake kwa michuano ijayo ya ligi kuu

 

10 years ago

GPL

WEMA AWAVUA NGUO SHILOLE, NUH

Imelda mtema LILE sakata la mrembo Wema Sepetu kutakwa kimapenzi na mpenzi wa msanii mwenzake, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Nuh Mziwanda limeendelea kushika kasi ambapo Wema ameibuka na kuwavua nguo kwa kuwatolea maneno ya shombo.....Soma zaidi===>http://bit.ly/1IsNEGC

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AWAVUA VYEO MAWAZIRI WANNE

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi . Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha.…

 

11 years ago

GPL

NJEMBA ‘AWAVUA’ NGUO WEMA, AUNT EZEKIEL

Stori: Mwandishi wetu Mastaa wawili wa Filamu za Kibongo, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel walikipata cha moto walipokuwa kwenye msiba wa Adam Kuambiana, Bunju nje kidogo ya Jiji la Dar, baada ya kutukanwa na njemba mmoja aliyekuwa amelewa. Mastaa wawili wa Filamu za Kibongo, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel wakiwa katika Msiba wa Adam Kuambiana. Sakata hilo lilijiri usiku mwingi wakati  mastaa hao walipokuwa wameenda kulala kwenya...

 

10 years ago

Michuzi

ajali yaua watu wawili na kujeruhi wawili mkoani lindi

Na Abdulaziz Ahmed, LindiWatu wawili wamekufa na wawili kujeruhiwa baada ya gari waliyokuwa wanasafiria kuacha njia na kupinduka katika kijiji cha Michenga, wilaya ya Ruangwa Ruangwa mkoani Lindi.Kamanda wa polisi wa mkoa wa Lindi, ACP Renatha Mzinga alisema gari hiyo aina ya Toyota Rava4 yenye namba za usaji T574CWC.Iliyokuwa inaendeshwa na Mohamed Mchalaganya(27) iliacha njia na kupinduka katika barabara ya Ruangwa-Nanganga, ilitokea jana saa 11.30 jioni.
Kamanda Mzinga aliwataja waliokufa...

 

10 years ago

Bongo Movies

DUNIANI WAWILI WAWILI:Huyu Hapa Hana Hata Undugu na Wema Sepetu

Ule usemi wa duniani  watu wawili wawili umedhiiika kwa muigizaji wa bongo movies,Wema Sepetu.Je hii ni kweli?.Hebu kutana na huyu mwanadada anaetumiajina la TUERNY kwenye mtandao wa INSTAGRAM.Kizuri zaidi wema mwenye anamfahamu hii nikutokana na moja kati ya marafiki wa Wema Ku-comment kwenye picha ya dada huyu akidai kuwa dada huyu anafanana na Wema na dadae Wema Ku-reply kwa kuonyesha kuwa anamfahamu na anamuita mke mweza.....Hebuzicheki picha zake hizi na kisha useme kama kunaumuhimu wa...

 

9 years ago

Michuzi

DAWASCO YASAFISHA KARIAKOO

Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASCO , Mhandisi Cyprian Luhemeja akishirikiana na wafanyakazi wa DAWASCO katika zoezi la usafi kwenye soko la Kariakoo katika maadhimisho ya siku ya Usafi kitaifa.Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mh Mecky Sadick pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa DAWASCO Mhandisi Cyprian Luhemeja wakiendelea na zoezi la usafi.
Shirika la majisafi na majitaka Dar es salaam(Dawasco) katika kutekeleza agizo la mh. Rais john pombe magufuli la kuadhimisha sherehe za uhuru kwa kufanya usafi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dawasco yatahadharisha wananchi

WANANCHI wameshauriwa kufuata kanuni na taratibu sahihi za upatikanaji wa huduma za maji, ili kujiepusha na utapeli unaofanywa na baadhi ya watu wenye lengo la kuharibu jina la Shirika la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani