Makala awavua umeneja wawili DAWASCO.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es salaam.
Naibu Waziri wa Maji Amos Makala ametengua wadhafa wa mameneja wawili wa kampuni ya maji safi na maji taka jijini Dawasco Peter wa Chacha wa Kimara na Robert Mugabe wa Boko kutokana na kushindwa kutekeleza vizuri wajibu wao.
Aidha kutokana na kutengua wadhafa wa mameneja hao, Waziri Makala ameigiza bodi ya wakurugenzi ya DAWASCO kuhakikisha inateua haraka wakurugenzi wapya watakaoshika nafasi hizo.
Uamuzi huo wa Naibu Waziri Makala ameutoa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo05 Jan
Waziri aagiza Dawasco iwaondoe mameneja wawili
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2579182/highRes/914785/-/maxw/600/-/apy55mz/-/maji.jpg)
Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla ameuagiza uongozi wa Bodi ya Kampuni ya Maji Safi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco), kuwaondoa mameneja wawili wa kampuni hiyo kutokana na wizi wa maji kufanyika kwenye maeneo yao.
Makalla amesema udhaifu unaofanywa na watendaji wa...
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Viera awania umeneja Newcastle United
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qUZbsOiEeqkbz1tattChqmVbbF0B*PRgudOTPJLSpVT5hF9fBEuyQHTzft2rGh-pVPBYDpkLNJyp1zKsUkbf5FqGGO-UXben/Wema.gif?width=650)
WEMA AWAVUA NGUO SHILOLE, NUH
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
RAIS KIKWETE AWAVUA VYEO MAWAZIRI WANNE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*qPy4LKWk6kKy-4TUFC*YFiWZ--dFkT2InsnEFnnx5EXrWviPPC2IEE9nyfhSwolL70llqRZgmHrXoBUdnJH0Z6/aunty.jpg)
NJEMBA ‘AWAVUA’ NGUO WEMA, AUNT EZEKIEL
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Cligph6jib0/VDzQz8fMwXI/AAAAAAAGqbM/8Vi_SHP7uwM/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
ajali yaua watu wawili na kujeruhi wawili mkoani lindi
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cligph6jib0/VDzQz8fMwXI/AAAAAAAGqbM/8Vi_SHP7uwM/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
Kamanda Mzinga aliwataja waliokufa...
10 years ago
Bongo Movies04 Dec
DUNIANI WAWILI WAWILI:Huyu Hapa Hana Hata Undugu na Wema Sepetu
Ule usemi wa duniani watu wawili wawili umedhiiika kwa muigizaji wa bongo movies,Wema Sepetu.Je hii ni kweli?.Hebu kutana na huyu mwanadada anaetumiajina la TUERNY kwenye mtandao wa INSTAGRAM.Kizuri zaidi wema mwenye anamfahamu hii nikutokana na moja kati ya marafiki wa Wema Ku-comment kwenye picha ya dada huyu akidai kuwa dada huyu anafanana na Wema na dadae Wema Ku-reply kwa kuonyesha kuwa anamfahamu na anamuita mke mweza.....Hebuzicheki picha zake hizi na kisha useme kama kunaumuhimu wa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-L-lFp6KY3Lk/VmkvnTAGqgI/AAAAAAAILUw/Ij9iwP26lDE/s72-c/IMG-20151209-WA0003.jpg)
DAWASCO YASAFISHA KARIAKOO
![](http://2.bp.blogspot.com/-L-lFp6KY3Lk/VmkvnTAGqgI/AAAAAAAILUw/Ij9iwP26lDE/s640/IMG-20151209-WA0003.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-v3s4I--oNmU/Vmkxf_awnwI/AAAAAAAILVM/nQAnPNWAzQ0/s640/IMG-20151209-WA0010.jpg)
Shirika la majisafi na majitaka Dar es salaam(Dawasco) katika kutekeleza agizo la mh. Rais john pombe magufuli la kuadhimisha sherehe za uhuru kwa kufanya usafi...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Dawasco yatahadharisha wananchi
WANANCHI wameshauriwa kufuata kanuni na taratibu sahihi za upatikanaji wa huduma za maji, ili kujiepusha na utapeli unaofanywa na baadhi ya watu wenye lengo la kuharibu jina la Shirika la...