Waziri Mkuu aombwa kutembelea Dawasco
MBUNGE wa Jimbo la Kibamba, John Mnyika amemuomba Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kufanya ziara katika ofisi za Dawasa na Dawasco ili ‘kutumbua majipu’ ya yaliyopo katika taasisi hizo za umma. Mnyika ambaye ni Mbunge kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), alidai jana kuwa ameamua kuchukua hatua hiyo ya kumuomba Waziri Mkuu kuingilia kati tatizo hilo, baada ya kutoridhishwa na hatua alizochukua Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Makame Mbarawa baada ya kufanya ziara...
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s72-c/PG4A1896.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s1600/PG4A1896.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2PKiPMgnKWw/VHo-0aq8WJI/AAAAAAADJJo/vF30JsHqgOs/s1600/PG4A1852.jpg)
11 years ago
Habarileo14 Jul
Waziri kutembelea asasi za kisheria
NAIBU Waziri wa Katiba na Sheria, Angellah Kairuki anafanya ziara ya kikazi ya siku tano kuanzia leo katika Jiji la Dar es Salaam kutembelea asasi zinazotoa huduma za msaada wa kisheria kwa wananchi.
10 years ago
Vijimambo05 Jan
Waziri aagiza Dawasco iwaondoe mameneja wawili
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2579182/highRes/914785/-/maxw/600/-/apy55mz/-/maji.jpg)
Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla ameuagiza uongozi wa Bodi ya Kampuni ya Maji Safi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco), kuwaondoa mameneja wawili wa kampuni hiyo kutokana na wizi wa maji kufanyika kwenye maeneo yao.
Makalla amesema udhaifu unaofanywa na watendaji wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmFIhqID0FqgvUfNlsmCriJ28Z5cIOqUpJFcMFEZW*WPHMMnI4NnYGfgKmpyof*awNdH66r3aX1IKE9UlXHBsQYaBVsVETQu/pinda.jpg)
KAMATI YA PAC YAMTAKA WAZIRI MKUU, MWANASHERIA MKUU, WAZIRI WA NISHATI NA MADINI WAWAJIBIKE KUHUSU RIPOTI YA TEGETA ESCROW
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MSTAAFU AMKABIDHI RASMI OFISI WAZIRI MKUU MAJALIWA
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Waziri Mkuu Majaliwa amtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda!
![IMGS2602](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/IMGS2602.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RP1XXIwtUrQ/VdgEXxAGOEI/AAAAAAAAUBU/KWO8jXT-Xdc/s72-c/DSCF6873%2B%25281280x960%2529.jpg)
OFISA MTENDAJI MKUU DAWASCO,MHANDISI CYPRIAN LUHEMEJA AAGA RASMI MUWSA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-RP1XXIwtUrQ/VdgEXxAGOEI/AAAAAAAAUBU/KWO8jXT-Xdc/s640/DSCF6873%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-B_VhbGj3oYc/VdgEGnHmmII/AAAAAAAAUAc/MF2G699IdSE/s640/DSCF6862%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UyYgrmOk2lI/VdgERQWPBGI/AAAAAAAAUBE/VzY-AnVLGaY/s640/DSCF6867%2B%25281280x960%2529.jpg)