Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sera makini za makazi zitawanusuru watu Dar

Jiji la Dar es Salaam na maeneo yake limeathiriwa kwa kiasi kikubwa na mvua ambazo zimekuwa zikinyesha kwa mfululizo tangu wiki iliyopita. Zaidi ya watu 10 wamepoteza maisha, miundombinu imeharibika na mali zimepotea.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

TASWIRA MBALIMBALI ENEO LA MAKAZI WATU MNYAMANI BUGURUNI JIJINI DAR

 Mazingira ya Pembezoni mwa Reli ya Mitaa ya Mnyamani Buguruni jijini Dar es Salaam ikiwa Dampo lipo hapo pamoja na mkusanyiko wa maji kwa sababu hayana kwa kuelekea. Wakazi wa maeneo haya wako hatarini kupata magonjwa ya mlipuko kutokana na maji yaliyotuama maeneo haya. Inawezekana kuwa na kiwanda cha uzalishaji wa Mbu na magonjwa ya mlipuko nkatika eneo la Mnyamani Buguruni bila shaka..... Maisha yanaenda ikiwa ni hatari endapo usafiri wa eneo hili wanapopita wananchi. Hii ni kwa usalama...

 

10 years ago

Mwananchi

Siyantemi : Tanzania inahitaji sera makini

Mchambuzi wa masuala ya siasa na diplomasia, Amos Siyantemi jana alichukua fomu kama sehemu ya maandalizi yake ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mafuriko yakosesha makazi watu 7,000

TAKRIBAN wakazi 7,000 wa kata tatu zilizopo Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa, Morogoro hawana mahala pa kuishi baada ya nyumba zao  zinazokadiriwa kufikia 2,500 kusombwa na kumezwa na mafuriko. Mafuriko...

 

11 years ago

Mwananchi

Uwanja wa Majimaji wageuzwa makazi ya watu

Kwa muda mrefu sasa viwanja vya michezo vya mikoa mbalimbali vinamilikiwa na Chama cha Mapinduzi (CCM).

 

11 years ago

Habarileo

Mvua yaacha watu 400 bila makazi

MVUA kubwa iliyoambatana na mawe na upepo mkali, imewaacha zaidi ya watu 400 katika kijiji cha Mwandoya wilayani Meatu mkoani Simiyu bila kuwa na mahali pa kuishi kutokana na nyumba zao kuezuliwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Ndege ya yaanguka katika eneo la makazi ya watu Pakistan

Ndege hiyo aina ya PIA jet ilianguka katika eneo la makazi ya watu ilipokua ikisafiri kutoka mji wa Lahore, ikiwa na jumla ya watu 100 ndani yake.

 

5 years ago

CCM Blog

NDEGE YAANGUKA KATIKA MENEO LA MAKAZI YA WATU PAKISTAN

Rescue workers gather at the site after a Pakistan International Airlines flight crashed in a residential neighbourhoodHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionNdege ilianguka katika eneo la makazi karibu na Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jinnah katika mji wa Karachi ional Airport in the city of KarachiNdege ya Shirika la kimataifa la ndege la Pakistani -Pakistan International imeanguka katika mji wa Karachi lipokua ikitoka Lahore, maafisa wa safari za anga wamesema.Ndege hiyo Chapa PK8303, ambayo ilikua imewabeba abiria 91 na wahudumu wa ndege wanane, ilikua ikisafiri kutoka Lahore kuelekea katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bomoabomoa Arusha yaacha watu 216 bila makazi

HALMASHAURI ya Jiji la Arusha, imebomoa nyumba zake kwenye maeneo ya Kilombero, Themi na Kaloleni ambazo zilikuwa zinakaliwa na wapangaji 216. Hatua hiyo imepokewa kwa hisia tofauti miongoni mwa madiwani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani