Barabara ya Moro -Dodoma yafunguka
MAGARI yaliyokuwa yamekwama kwa siku tatu kuanzia Januari 22, kwenye barabara kuu ya Morogoro - Dodoma, baada ya daraja la Mkundi eneo la Magole, wilayani hapa kuharibiwa na mafuriko, yalianza kupita jana asubuhi baada ya matengenezo ya muda kukamilika. Mbali na malori, pia mabasi yaliyokuwa yakitoka Dodoma nayo yalipita eneo hilo, baada ya gari la kwanza kuruhusiwa saa 4:30 asubuhi, siku mbili baada ya kuanza matengenezo yaliyopangwa kuchukua siku nne hadi kesho, kazi iliyozinduliwa na...
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Barabara ya Moro -Dom yatengamaa
11 years ago
Habarileo31 Mar
Mafuriko yasitisha barabara Moro- Iringa
MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha Milima ya Doma, Wilaya ya Mvomero yamebomoa sehemu kubwa ya tuta la lami upande wa kutokea Mikumi barabara kuu ya Moro- Iringa na kutishia usalama wa magari.
10 years ago
Habarileo11 Dec
21 mbaroni kwa kufunga barabara Dom - Moro
POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu 21 wakituhumiwa kushiriki katika kuchochea vurugu, kuchoma moto matairi na kufunga barabara kuu ya Morogoro – Dodoma kwa saa sita eneo la Dumila Tarafa ya Magole wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro.
11 years ago
Dewji Blog04 Jul
Mkoa wa Dodoma washerehekea kuanza kwa ujenzi wa mradi wa Barabara ya Dodoma (Mayamaya) — Babati (Bonga)
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchmbi (wa nne kutoka kushoto) akiwaongoza wadau waliofika kuadhimisha sherehe za kuanza kwa ujenzi wa mradi wa barabara ya kutoka Mayamaya Dodoma hadi Bonga Babati kwa kiwango cha lami kuomba Dua ili mradi huo ukamilike kwa wakati bila kukwamishwa na changamoto mbalimbali. Sherehe hizo zilifanyika mapema Julai Mosi, 2014 kijijini Kolo Wilayani Kondoa.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi (wa pili kushoto) na ujumbe alioambatana nao wakikagua magari...
10 years ago
Vijimambo19 Feb
BODI YA BARABARA MKOA WA DODOMA YAZITAKA HALMASHAURI ZA WILAYA DODOMA KUCHAGUA WAKANDARASI WENYE UWEZO
11 years ago
MichuziMKOA WA DODOMA WASHEREHEKEA KUANZA KWA UJENZI WA MRADI WA BARABARA YA DODOMA (MAYAMAYA) - BABATI (BONGA)
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Mvua zaua watoto watano, barabara zafungwa Moro
10 years ago
MichuziBODI YA BARABARA MKOA WA DODOMA YAZITAKA HALMASHAURI ZA WILAYA DODOMA KUCHAGUA WAKANDARASI WENYE UWEZO WA KUFANYA KAZI WANAPOTOA KANDARASI
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
11 years ago
GPLTANZANIA YAFUNGUKA KUHUSU MICHEPUKO