21 mbaroni kwa kufunga barabara Dom - Moro
POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu 21 wakituhumiwa kushiriki katika kuchochea vurugu, kuchoma moto matairi na kufunga barabara kuu ya Morogoro – Dodoma kwa saa sita eneo la Dumila Tarafa ya Magole wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima19 Sep
Watano mbaroni kwa ujambazi Moro, Dom
OPERESHENI maalum iliyoshirikisha askari polisi wa mikoa ya Morogoro na Dodoma, imefanikiwa kuwatia mbaroni watuhumiwa watano wanaodaiwa kuhusika na matukio ya ujambazi na ujangili wakiwa na bunduki moja. Kamanda wa...
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Barabara ya Moro -Dom yatengamaa
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Wazee wa Ngwasuma kuvamia Moro, Dom
BENDI ya muziki wa dansi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’ wanatarajiwa kufanya ziara katika mikoa ya Morogoro, Dodoma na Mwanza kwa ajili ya kutambulisha albamu yao mpya ya ‘Chuki...
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/EXHcEhMGlpY/default.jpg)
10 years ago
GPLWALEMAVU WAANDAMANA NA KUFUNGA BARABARA JIJINI DAR
11 years ago
Habarileo25 Jan
Barabara ya Moro -Dodoma yafunguka
MAGARI yaliyokuwa yamekwama kwa siku tatu kuanzia Januari 22, kwenye barabara kuu ya Morogoro - Dodoma, baada ya daraja la Mkundi eneo la Magole, wilayani hapa kuharibiwa na mafuriko, yalianza kupita jana asubuhi baada ya matengenezo ya muda kukamilika. Mbali na malori, pia mabasi yaliyokuwa yakitoka Dodoma nayo yalipita eneo hilo, baada ya gari la kwanza kuruhusiwa saa 4:30 asubuhi, siku mbili baada ya kuanza matengenezo yaliyopangwa kuchukua siku nne hadi kesho, kazi iliyozinduliwa na...
11 years ago
Habarileo31 Mar
Mafuriko yasitisha barabara Moro- Iringa
MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha Milima ya Doma, Wilaya ya Mvomero yamebomoa sehemu kubwa ya tuta la lami upande wa kutokea Mikumi barabara kuu ya Moro- Iringa na kutishia usalama wa magari.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOiMYNQcQG3n6y9*hVhrzYK8VGO8xB1WWciLy6N-PlewbQowdqJ0uJwLqyOYTzQw0cdYACAajN7FheIw*-I0kSh4/BREAKING.gif)
WALEMAVU JIJINI DAR WAANDAMANA NA KUFUNGA BARABARA ZA KAWAWA NA UHURU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2LKyJkIyR4aJ7FiZuE3UMDuvli7XlSEEvUTRgWQ97B49y7MjKKfhmfj*h*bDlI3sFckgzUjPIbzpUzURJl6MtGx/2malori2.jpg)
ABIRIA WAKWAMA NJIANI BAADA YA MALORI KUFUNGA BARABARA YA MWANZA - DAR