Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msindai: Sijahojiwa na CC

MWENYEKITI wa Wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania, Mgana Msindai, amesema hajahojiwa na Kamati Kuu (CC) ya chama hicho kuhusu kauli yake aliyoitoa Monduli kwa Waziri Mkuu wa zamani,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Msindai: Niliyosema Monduli ni yangu

MWENYEKITI wa Wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania, Mgana Msindai, amesema kuwa kauli yake aliyoitoa nyumbani kwa Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, ni yake binafsi. Katika taarifa yake kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msindai atetewa kuhusu Lowassa

MMOJA wa wanaharakati mkoani Tabora, Elisha Poneja, amemuunga mkono Mwenyekiti wa Wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mgana Msindai, kuhusu kauli yake dhidi ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa. Msindai...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msindai: Sipendi siasa za kuchafuana

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Mgana Msindai, amesema hapendi siasa za kuchafuana zinazofanywa na baadhi ya wanasiasa wanaotafuta umaarufu. Msindai ambaye pia ni Mwenyekiti wa Wenyeviti...

 

10 years ago

Daily News

CCM not affected by Msindai's exit


CCM not affected by Msindai's exit
Daily News
CHAMA Cha Mapinduzi in Singida region has said that the defection of its regional chairman, Mr Mgana Msindai, to the opposition Chama cha Demokrasia na Maendeleo will not affect its strength in any way. “He has made his own decision to join Chadema.

 

10 years ago

Mtanzania

Makonda akana kuwakashfu Guninita, Msindai

MAKONDANA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, amekana kutoa maneno ya kashfa dhidi ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida, Mgana Msindai na Mwenyekiti mstaafu wa chama hicho Mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita.
Amedai kwamba alichozungumza kiliungwa mkono na viongozi wa juu wa chama hicho akiwamo John Malecela na Waziri Mkuu mstaafu Cleopa Msuya.
Makonda alidai hayo jana katika majibu yake aliyowasilisha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi, Hellen...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mgana Izumbe Msindai, atangaza nia kuwania ubunge jimbo la Mkalama

DSC00166

Mwenyekiti CCM mkoa wa Singida, Mgana Izumbe Msindai, akitangaza ni ya kugombea ubunge jimbo la Mkalama mkoa wa Singida kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye kata ya Ibaga.

DSC00185

DSC00204

Sheikh wa mskiti wa kijiji cha Ibaga kata ya Mkalama, Seleman Tumai, akitoa kero ya uhaba mkubwa wa maji safi unaosababisha wachangie maji na mifugo na wanayapori kwenye mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya Mgana Msindai kutangaza nia ya kugombea ubunge Mkalama.

DSC00229

Mkazi wa kijiji cha Ibaga kata ya Mkalama,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mgana Msindai achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo ya Singida mjini kwa tiketi ya CHADEMA

IMG-20150821-WA0001

Aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida na Mwenyekiti wa wenyeviti CCM mikoa ya Tanzania, Mgana Izumbe Msindai, akikabidhiwa fomu na msimamizi wa uchaguzi halmashauri ya manispaa ya Singida, Joseph Mchina ya kugombea ubunge jimbo la Singida mjini kupitia tiketi ya CHADEMA.(Picha na Nathaniel Limu).

 

10 years ago

Vijimambo

VIGOGO WA CCM MAKONGORO MAHANGA + MSINDAI MGANA + OMEDEYI WAJIUNGA RASMI NA CHADEMA SASA HIVI MLIMANI CITY LIVE!

Naibu Waziri wa Kazi Mh. MahangaMwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida ambaye ni Mbunge wa zamani wa Iramba Mashariki Ndg.Mgana Msindai ametangaza kujiuzulu wadhifa wake, kujiondoa CCM na kujiunga na CHADEMA. Msindai ni miongoni mwa wafuasi "watiifu" wa Mhe.Edward Lowassa. Inadaiwa wapo wenyeviti 15 wa CCM mikoa mbalimbali watajiunga na CHADEMA, baada ya Msindai kufungua njia.Mbunge wa Arumeru CCM Olemedeyi

 

9 years ago

Dewji Blog

Msindai awatangazia neema mama ntilie, machinga, waendesha boda boda

msindai

Mgombe Ubunge wa Jimbo la Singida Mjini (CHADEMA) Mgana Msindai, akizungumza na wafanyabiashara wa soko kuu mjini Singida wakati wa Mkutano wa kampeni kuomba ridhaa ya wananchi kumchagua kuwa Mbunge ili kuondoa kero ndogo ndogo za kutozwa ushuru kwa wamachinga na mama ntilie (PICHA NA HILLARY SHOO).

Na Hillary Shoo, Singida

MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Singida Mjini (CHADEMA ) Mgana Msindai ameahidi kuondoa kero na kodi ndogondogo wanazotozwa wafanyabiashara wadogo wakiwemo mama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani