Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makete:Wananchi waadhimia kufukuzwa mwananchi anayetuhumiwa kuwaingilia wanawake kishirikina

Na Amiri kilagalila,Njombe
Wananchi wa kitongoji cha Ikonda bondeni kijiji cha Ikonda wilayani Makete mkoani Njombe wamemfukuza mkazi aliyehamia katika kitongoji hicho akitokea kijiji cha Ilevelo Bw. Mateso Mbilinyi wakimtuhumu kuwaingilia kimwili kwa njia ya ushirikina baadhi ya wanawake wa kitongoji hicho.
Katika mkutano wa kitongoji hicho uliofanyika kwenye kitongoji hicho wananchi wameelekezea tuhuma kwa Bw. Mateso wakisema amekuwa akiwaingilia kimwili kwa njia za ushirikina huku...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Anayetuhumiwa kuua wanawake Arusha akamatwa

MTU mmoja ambaye inadaiwa kinara wa kuua na kujeruhi wanawake maarufu, wafanyabiashara na wenye vyeo katika ofisi mbalimbali jijini Arusha, Adamu Mussa (30) mkazi wa Majengo Juu jijini humo ametiwa mbaroni.

 

10 years ago

Mwananchi

NYANZA: Imani za kishirikina zaendelea kuwatesa wananchi Serengeti

>Sakata la watu kupigwa kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya ushirikina katika Kijiji cha Ikoma Robanda, wilayani Serengeti, Mkoa wa Mara limezidi kushika kasi baada ya watu wengine 14 kupigwa, kati yao wawili wakilazwa hospitalini.

 

11 years ago

Michuzi

Ukosefu wa hakimu wa wilaya ya Makete kwaendelea kuwaumiza wananchi

 Wananchi wakisubiri kesi zao zianze.
Na Edwin Moshi wa Globu ya Jamii, Makete Watuhumiwa na walalamikaji mbalimbali wenye kesi zao katika mahakama ya wilaya ya Makete mkoani Njombe wameendelea kuonja tena machungu ya kuahirishiwa kesi zao leo Ijumaa Mei 09, kwa kile kilichoelezwa kuwa hakimu kushindwa kufika
Wakisikika wakiongea mahakamani hapo wakiwa katika makundi makundi, wamesema hawakatai wao kuahirishiwa kesi zao ila zinapoahirishwa mara kwa mara kwa muda mrefu inawaumiza wananchi...

 

5 years ago

Michuzi

Makete:Mwingine tena atimuliwa na wananchi kwa tuhuma za ushirikina


Na Amiri kilagalila,Njombe

Wananchi wa kitongoji cha Gongoti kijiji cha Ikonda wilayani Makete mkoa wa Njombe wameazimia kumfukuza Bi. Asteria Sanga ambaye alikuwa akiishi kijijini hapo wakimtuhumu kwa vitendo vya ushirikina

Maamuzi hayo yamefikiwa Februari 28, 2020 ikiwa zimepita takribani wiki mbili tangu wananchi wa kitongoji cha Ikonda bondeni kijijini hapo wamfukuze Bw.Mateso Mbilinyi wakimtuhumu kwa vitendo vya ushirikina.

Katika mkutano wa kitongoji hicho wananchi wamemtuhumu mama...

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA MAKETE AFUNGA RASMI MAFUNZO YA MADEREVA BODABODA NA WAJASIRIAMALI MAKETE

Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akitoa hotuba yake wakati akifunga mafunzo kwa madereva bodaboda wilayani Makete. Mafunzo hayo yametolewa na shirika la APEC  Madereva bodaboda wakifurahia kupatiwa vyeti vya mafunzo hayo.  Bi Rehebian Mahenge ambaye alikuwa katibu katika mafunzo hayo akisoma risala mbele ya mgeni rasmi  Bi Mahenge akimkabidhi risala mkuu wa wilaya ya Makete Mh Josephine Matiro ambaye pia alikuwa mgeni rasmi katika mafunzo hayo. Kwa picha zaidi BOFYA...

 

11 years ago

Dewji Blog

DC Makete atoa rai kwa jamii ya Makete kusaidia watoto yatima na waishio kwenye mazingira hatarishi

unnamed

Mkuu wa wilaya ya Makete mwenye suti nyeusi (aliyesuka nywele) Mh. Josephine Matiro, mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu Helen Kijo Bisimba (kulia kwa mkuu wa wilaya) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watoto walioshiriki maadhimisho hayo.

Na Mwandishi wetu

Imeelezwa kuwa ni jukumu la kila mmoja kuwasaidia watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi, na si kuiachia serikali ama mashirika yasiyo ya kiserikali peke yao kufanya kazi hiyo

Kauli hiyo imetolewa...

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA MAKETE ATOA RAI KWA JAMII YA MAKETE KUSAIDIA WATOTO YATIMA NA WAISHIO KWENYE MAZINGIRA HATARISHI

 Mkuu wa wilaya ya Makete mwenye suti nyeusi (aliyesuka nywele) Mh. Josephine Matiro, mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu Helen Kijo Bisimba (kulia kwa mkuu wa wilaya) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watoto walioshiriki maadhimisho hayo.  Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro(wa tatu kushoto walioketi) na Mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu Helen Kijo Bisimba (wa pili walioketi kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa shirika la...

 

11 years ago

GPL

MKUU WA WILAYA YA MAKETE ATOA RAI KWA JAMII YA MAKETE KUSAIDIA WATOTO YATIMA NA WAISHIO KWENYE MAZINGIRA HATARISHI‏

 Mkuu wa Wilaya ya Makete mwenye suti nyeusi (aliyesuka nywele) Mh. Josephine Matiro, mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu Helen Kijo Bisimba (kulia kwa mkuu wa wilaya) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watoto walioshiriki maadhimisho hayo.…

 

11 years ago

GPL

MKUU WA WILAYA YA MAKETE AFUNGA WARSHA YA MAAFISA KILIMO WILAYA YA MAKETE‏

Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro (katikati) akisisitiza jambo wakati akifunga mafunzo ya siku 3 kwa maafisa ugani wilayani hapo yaliyotolewa na TAHA hii leo, kushoto ni mwakilishi wa shirika la TAHA Bw. Manfred Bitala na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete Bw. Iddi Nganya.  Miongoni mwa bwana shamba… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani