Jela kwa kumbaka mtoto wake
Hanang’. Mkulima wa Kijiji cha Waama, wilayani Hanang’ mkoani Manyara, Pachal Yoya amehukumiwa jela miaka 30 baada ya kupatikana na hatia ya kufanya mapenzi na mtoto wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa dada yao
10 years ago
Habarileo23 Feb
Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa miaka mitano
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora imemhukumu kifungo cha maisha Kashindje Shija (50), baada ya kupatikana na kosa la kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka mitano.
10 years ago
Habarileo11 Apr
Ushirikina wa kumbaka mtoto wamtupa jela maisha
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi wilaya ya Shinyanga imemhukumu kifungo cha maisha jela mkazi wa mtaa wa Kitangili katika manispaa ya Shinyanga baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka na kumpa ujauzito mtoto wake wa kambo, mwanafunzi wa darasa la tatu.
11 years ago
Habarileo19 Jun
Miaka 30 kwa kumbaka mtoto
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, imemhukumu mkazi wa Kitunda, Ally Suna (60) kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka tisa.
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Mwanajeshi wa UK hatiani kwa kumbaka mtoto
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Mbaroni kwa kumbaka mtoto wa jirani yake
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Jela maisha kwa kumlawiti mtoto
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Jela maisha kwa kumdhalilisha mtoto
MAHAKAMA ya Wilaya ya Mpanda, mkoani Katavi, imemhukumu Athuman Mussa (54), mkazi wa Mtaa wa Nsemlwa Mjini, kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumwingizia uume mdomoni...