Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


A Kusini yalaani mapinduzi Lesotho

Afrika Kusini, ambayo inazunguka Lesotho, yasema yaliyotokea Lesotho ni mapinduzi na hayakubaliki

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi lakana njama ya mapinduzi Lesotho

Rais Jacob Zuma, amefanya mkutano wa dharura na waziri mkuu wa Lesotho, Thomas Thabane, kufuatia taarifa za jaribio la mapinduzi.

 

10 years ago

Habarileo

EAC yalaani jaribio mapinduzi Burundi

Rais Jakaya Kikwete ambaye ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana baada ya kumalizika mazungumzo ya kutafuta suluhu ya Burundi. Kutoka kushoto ni Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya, Rais Paul Kagame wa Rwanda na Makamu wa Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa. (Na Mpigapicha Wetu).WAKUU wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wamelaani jaribio la mapinduzi ya kumng’oa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi na kutaka Katiba ya nchi hiyo ifuatwe ili kudumisha amani na utulivu nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu wa Lesotho atorokea A.kusini

Waziri mkuu nchini Lesotho Tom Thabane ameiambia BBC kwamba amelitoroka taifa hilo baada ya kupata vitisho vya maisha yake.

 

5 years ago

CCM Blog

UJUMBE WA AFRIKA KUSINI WAWASILI LESOTHO

  Ujumbe wa Afrika Kusini uliwasili leo nchini Lesotho baada ya waziri mkuu wa taifa hilo dogo kuliamuru jeshi kuingia mitaani kabla ya kuliondoa tena.
Ujumbe ukiongozwa na waziri wa zamani wa nishati wa Afrika Kusini Jeff Radebe ulikutana na Waziri Mkuu Thomas Thabane na kisha wanachama wa upinzani na makundi ya kiraia. Afrika Kusini inaizingira Lesotho, na mshirika wake mkubwa kibiashara.

Msemaji wa serikali Thesele Maseribane amesema Afrika Kusini ni jirani yao kwa hiyo wana wasiwasi na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria yalaani polisi Afrika Kusini

Nigeria imeteta vikali kuhusu polisi wa Afrika Kusini walionaswa katika kanda ya video wakimtesa kinyama raia wa Nigeria mjini Cape Town.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yalaani mauaji Sudan Kusini

Ikulu ya White House imeelezea kushangazwa na mauaji ya kinyama ya mamia ya raia Sudan Kusini na kutoa wito wa kusitishwa kwa vurugu zinazoendelea nchini humo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mandela alileta mapinduzi ya kiuchumi Afrika ya Kusini

Jabali la ukombozi limeondoka duniani. Amefariki akiwa na umri wa miaka 95. Huyo si mwingine bali ni Nelson Mandela ambaye aliwakomboa Waafrika Kusini kutoka kwenye minyororo ya makaburu.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Kings FM 104.1 Njombe, redio iliyopania kusababisha mapinduzi ukanda wa Nyanda za Juu Kusini

Baridi la Njombe linanikaribisha kwa ukali pasipo na huruma pindi tu naposhuka kwenye stand ya mkoa huo. Watangazaji na wafanyakazi wa Kings FM, Njombe Uchovu wa safari ya masaa 11 kutoka Dar es Salaam unapata rafiki mwingine msumbufu – baridi na kufanya ukaribisho uwe wa aina yake. Namuona mwenyeji wangu, King Davidy. Mtangazaji na mkuu […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani