UJUMBE WA AFRIKA KUSINI WAWASILI LESOTHO

Ujumbe wa Afrika Kusini uliwasili leo nchini Lesotho baada ya waziri mkuu wa taifa hilo dogo kuliamuru jeshi kuingia mitaani kabla ya kuliondoa tena.
Ujumbe ukiongozwa na waziri wa zamani wa nishati wa Afrika Kusini Jeff Radebe ulikutana na Waziri Mkuu Thomas Thabane na kisha wanachama wa upinzani na makundi ya kiraia. Afrika Kusini inaizingira Lesotho, na mshirika wake mkubwa kibiashara.
Msemaji wa serikali Thesele Maseribane amesema Afrika Kusini ni jirani yao kwa hiyo wana wasiwasi na...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuziujumbe wa kampuni ya siemens kutoka afrika ya kusini wamtembelea waziri wa uchukuzi
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AONGOZA UJUMBE WA WAANGALIZI WA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI NCHINI AFRIKA KUSINI
9 years ago
Michuzi
KINANA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA VYAMA VYA SIASA KUSINI MWA AFRIKA MJINI MAPUTO,MSUMBIJI
Mkutano huo ulijadili masuala yaliyolenga kutatua changamoto mbalimbali za mataifa hayo na mipango ya maendeleo kwa ujumla.
Baadhi ya viongozi wa vyama...
9 years ago
CCM Blog
KINANA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA VYAMA VYA SIASA KUSINI MWA AFRIKA MJINI MAPUTO,MSUMBIJI
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Komredi Abdulrahman Kinana katikati ya wiki iliyopita aliongoza ujumbe wa Tanzania nchini Msumbiji kuhudhuria mkutano wa Vyama vya Siasa Kusini Mwa Afrika.
Mkutano huo uliohudhuriwa na baadhi ya Wenyeviti na Makatibu Wakuu wa vyama hivyo, umemalizika mwishoni mwa wiki mjini Maputo kwa mafanikio makubwa.
Mkutano huo ulijadili masuala yaliyolenga kutatua changamoto mbalimbali za mataifa hayo na mipango ya maendeleo kwa ujumla.
Baadhi ya viongozi wa...
5 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA APOKEA UJUMBE KUTOKA SEKRETARIETI YA SOKO LA PAMOJA LA MASHARIKI NA KUSINI MWA AFRIKA COMESA

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe na Naibu Katibu Mkuu Ndugu Ludovick Nduhiye wakiwa katiza picha ya pamoja na Ujumbe kutoka Sekretarieti ya COMESA ulioongozwa na Balozi Dr. Kipyego Cheluget.

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akipokea zawadi kutoka kwa Naibu Katibu mkuu anayeshughulikia miradi kutoka sekretarieti ya (COMESA) Balozi Dr. Kipyego Cheluget.

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akiongoza kikao...
10 years ago
MichuziMH. PINDA NA UJUMBE WAKE WAWASILI NCHINI JAPAN
11 years ago
BBCSwahili30 Aug
A Kusini yalaani mapinduzi Lesotho