NEW YORK YAPATA KIPIGO CHA MBWA MWIZI, YAPACHIKWA 5-0 NA DMV, PBZ WADHAMINI MECHI HIYO
Timu ya New York
Timu ya DMV
Mwakilishi wa mgeni rasmi Afisa Suleiman Saleh akisalimiana na refa Mohammed.
Timua New York siku ya Jumamosi ilizima fegi mbele ya timu ya DMV kwenye mtanange uliokuwa ukisubiliwa kwa hamu na mashabiki wa DMV wakiongozwa na wachezaji wa timu zote mbili kwa kutambiana kwenye mitandao ya kijamii kabla ya mtanange huo kuhitimishwa hapo jana siku ya Jumamosi May 24, 2014 katika uwanja wa Walker Mills Park uliopo Capitol Heights.
Mbali na mechi hiyo kuwa nzuri...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV24 Aug
Timu ya Ngassa yapata kipigo cha mbwa mwizi cha 4-0
![](http://2.bp.blogspot.com/-O3yxJUEbx6U/VdmZnmQQGuI/AAAAAAABm1I/-CU5iUl2nIw/s640/13dc4207e53088253da60d7926d652d7.jpg)
TIMU ya Free State Stars yenye Mtanzania, Mrisho Khalfan Ngassa imefungwa mabao 4-0 jana na Kaizer Chiefs katika mchezo wa Ligi Kuu ya ABSA Afrika Kusini Uwanja wa FNB, Johannesburg.
Huo unakuwa mchezo wa pili Free State kufungwa, baada ya wiki mbili zilizopita kufungwa 1-0 nyumbani na Mpumalanga Blac Aces.
Katika mchezo wa jana ambao Ngassa hakucheza, mabao ya Kaizer Chiefs yalifungwa na Siboniso Gaxa dakika ya 34,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HZs6beFMaiw/VJgqsbCiddI/AAAAAAAG5Ec/5E7JdT442bI/s72-c/IMG_7608-1.jpg)
Magolikipa wawapa kichapo cha Mbwa mwizi Waandishi!
![](http://2.bp.blogspot.com/-HZs6beFMaiw/VJgqsbCiddI/AAAAAAAG5Ec/5E7JdT442bI/s1600/IMG_7608-1.jpg)
Awali mchezo huo ulipangwa kufanyika kwenye uwanja wa Karume kabla ya kuahamishiwa uwanja wa bora kutokana na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRl29Wkf6kHFBJU7Ev9H3pUDnoaBNzjm0Y-z7aOexsIlJ025Z9GVYOP6*h21vcFyG72ZWNdAa4p-LfCSsJd3T2E2/1qnew.gif?width=650)
HISPANIA YAPATA KIPIGO CHA KARNE
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
Kijana aliyetuhumiwa kufanya jaribio la wizi aambulia kipigo cha ‘Mbwa mwizi’ na kulazwa Hospitali ya Wilaya ya Igunga
Kijana aliyefanya jaribio la kuiba na kutofanikiwa zaidi ya kuambulia kipigo cha ‘Mbwa mwizi’ kutoka kwa wananchi wenye hasira kali mjini Igunga akipatiwa huduma ya kwanza mara tu baada ya kufikishwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Mtuhumiwa huyo kabla ya kushushwa kwenye gari la polisi.
Na Jumbe Ismailly, Igunga
KIJANA mmoja ambaye hakuweza kutambulika mara moja amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2eqWQ7Kbuuk/Xt0KdVBeQVI/AAAAAAALs64/W5UDZKkYchMuknwRj4gfWP4aE0ksNyBUgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
WIZI WA BIBLIA WAMPONZA KIBAKA DAR, WANANCHI WAMPA KIPIGO 'PAKA MWIZI'
![](https://1.bp.blogspot.com/-2eqWQ7Kbuuk/Xt0KdVBeQVI/AAAAAAALs64/W5UDZKkYchMuknwRj4gfWP4aE0ksNyBUgCLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina la Ndonga mkazi wa Majumbasita jijini Dar es Salaam amejikuta akipokea kipigo cha 'Paka mwizi' kutoka kwa wananchi wenye hasira kali baada ya kukwapua Biblia ya muumini wa dini ya Kikristo aliyekuwa akielekea Kanisani.
Tukio hilo limetokea leo Juni 7,2020, saa 12 asubuhi Njia Panda ya Segerea eneo la reli ambapo kijana huyo kabla ya kukwapua Bibli hiyo alitoa panga lake na kisha kumpiga na ubapa wa panga mgongoni muumini huyo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q18W2xkLBcc/VZRfpxpkkhI/AAAAAAAHmTg/jRQhzgHwz2o/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
BENKI YA WATU WA ZANZIBAR (PBZ) YAFUTARISHA WANA FAMILIA WA BENKI HIYO NA WATEJA WAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-q18W2xkLBcc/VZRfpxpkkhI/AAAAAAAHmTg/jRQhzgHwz2o/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ub2ToXc1mJk/VZRfqM-TipI/AAAAAAAHmTc/h9E2FVAuv9I/s640/unnamed%2B%25288%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FZTVeUcNDko/VZRfrIz5OII/AAAAAAAHmTs/yojDIVsb45E/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QtMTgvshKR4/VZRfpO8BxDI/AAAAAAAHmTI/B4s-X0vVApE/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4Kw7bbpOcmw/VZRfpNEYH2I/AAAAAAAHmTE/n4tMIOfTgrI/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboPBZ KUDHAMINI MECHI YA MUUNGANO KATI YA KILIMANJARO NA ZANZIBAR HEROES UGHAIBUNI MTANANGE KUPIGWA APRIL 26, 2015
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/Untitled58.jpg)
11 years ago
BBCSwahili10 Jan
Kenya:Al shabaab yapata kipigo
11 years ago
BBCSwahili23 Jun
Amisom:Al Shabaab yapata kipigo Somalia