UFUGAJI MBWA WAMPA KIJANA UTAJIRI MKOANI KAGERA
![](https://1.bp.blogspot.com/-e01f6OhrUow/Xkki692h0rI/AAAAAAAAmuQ/ZRmfs2WYQoUpuF_ii2fCnJpOidvOVp9fACLcBGAsYHQ/s72-c/e6580657-8f26-44b8-80cf-8c59d38c8b0d.jpg)
Na Lydia Lugakila Kagera:-
Kijana mkoani Kagera aliyepambana na ukosefu wa ajira kwa muda mrefu afanikiwa kujiajiri na kutoa ajira kwa vijana 1000 asimulia ufugaji wa mbwa na kilimo cha miti kumpatia utajiri atoa neno kwa serikali.
Kijana huyo Evance Kamenge amebainisha hayo mbele ya Naibu waziri ofisi waziri mkuu Kazi, Vijana, Ajira Sera na watu wenye ulemavu Anthony Mavunde katika kongamano la umoja wa vijana CCM mkoani Kagera lililofanyika katika ukumbi wa Linas uliopo manispaa ya Bukoba...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qKjE6YZWhvo/XkjftnixESI/AAAAAAAAmtk/cWbe51ysNoM2vPqG1fT8OCO9bHypskA2QCLcBGAsYHQ/s72-c/e6580657-8f26-44b8-80cf-8c59d38c8b0d.jpg)
UFUGAJI MBWA WAMPA UTAJIRI KIJANA MKOANI KAGERA
![](https://1.bp.blogspot.com/-qKjE6YZWhvo/XkjftnixESI/AAAAAAAAmtk/cWbe51ysNoM2vPqG1fT8OCO9bHypskA2QCLcBGAsYHQ/s400/e6580657-8f26-44b8-80cf-8c59d38c8b0d.jpg)
Na Lydia Lugakila Kagera
Kijana mkoani Kagera aliyepambana na ukosefu wa ajira kwa muda mrefu afanikiwa kujiajiri na kutoa ajira kwa vijana 1000 asimulia ufugaji wa mbwa na kilimo cha miti kumpatia utajiri atoa neno kwa serikali.
Kijana huyo Evance Kamenge amebainisha hayo mbele ya Naibu waziri ofisi waziri mkuu Kazi, Vijana, Ajira Sera na watu wenye ulemavu Anthony Mavunde katika kongamano la umoja wa vijana CCM mkoani Kagera...
9 years ago
BBCSwahili20 Oct
Ufugaji wa mbwa ulianza Asia, utafiti waonyesha
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cgY6rOv1yfU/Xl9sZvSOwcI/AAAAAAALg2Q/IFeJHhWAIdcLI6SLHchl0HHC0NyCLGAVgCLcBGAsYHQ/s72-c/b6f9e6d0-3bb5-4865-9ad4-bc35d107942b.jpg)
MSAFARA WA KIJINSIA WAMPA SHAVU KIJANA MJASIRIAMALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-cgY6rOv1yfU/Xl9sZvSOwcI/AAAAAAALg2Q/IFeJHhWAIdcLI6SLHchl0HHC0NyCLGAVgCLcBGAsYHQ/s640/b6f9e6d0-3bb5-4865-9ad4-bc35d107942b.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Dm2zh1CTjVQ/Xl9sZ0kja6I/AAAAAAALg2U/6KSIe189_5w0uU-PG0zEihnE4BM-jetXACLcBGAsYHQ/s640/be0bcb86-b82a-440a-b369-70c4ec2d0006.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-5Escnl5BqvY/Xl9sXymneGI/AAAAAAALg2E/VmSIxopGYYEweiar5a1o4O1MjVJnla9PACLcBGAsYHQ/s640/420b7b84-5308-4aa9-bb4a-2ca556502abd.jpg)
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
Kijana aliyetuhumiwa kufanya jaribio la wizi aambulia kipigo cha ‘Mbwa mwizi’ na kulazwa Hospitali ya Wilaya ya Igunga
Kijana aliyefanya jaribio la kuiba na kutofanikiwa zaidi ya kuambulia kipigo cha ‘Mbwa mwizi’ kutoka kwa wananchi wenye hasira kali mjini Igunga akipatiwa huduma ya kwanza mara tu baada ya kufikishwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Mtuhumiwa huyo kabla ya kushushwa kwenye gari la polisi.
Na Jumbe Ismailly, Igunga
KIJANA mmoja ambaye hakuweza kutambulika mara moja amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga,...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-0lhhJafFW2s/VcBqxNW84eI/AAAAAAAAEiw/aX75UUdTEVY/s72-c/T.jpg)
MAONESHO YA KILIMO NA UFUGAJI YAZINDULIWA MKOANI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-0lhhJafFW2s/VcBqxNW84eI/AAAAAAAAEiw/aX75UUdTEVY/s640/T.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Arn9gJ15RX0/VcBqzwvXd3I/AAAAAAAAEi4/XXLAqP-SuzE/s640/T%2B2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-g5AOEF9VpYM/VcBq3fRG2jI/AAAAAAAAEjA/uoWhO0mh24c/s640/T%2B3.jpg)
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Diwani Mkoani Kagera afariki
11 years ago
CloudsFM17 Jul
MWILI WA KIJANA ALIYEFUKIWA NA KIFUSI MKOANI KILIMANJARO ULIVYOTOLEWA NA WANANCHI
Licha ya kukabiliwa na changamoto ya zana hafifu kwa ajili ya zoezi la ufukuaji wa vifusi katika tukio hilo la kufukiwa kwa watu wawili,lakini vijana wa eneo hilo la Rongoma,mkoani Kilimanjaro walifanya shughuli hiyo ya ufukuaji kwa ushirikiano mkubwa.
Hatimaye mwili wa kijana huyo ukaonekana.
Shughuli za kufukua kifusi katika eneo hilo ukaendelea.
Hatimaye mwili ukaopolewa toka katika kifusi.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-S8UDCXDDYwY/Vh05AUwbCjI/AAAAAAAA0fE/d9KHc_FJth0/s72-c/1.jpg)
MAMA SAMIA AANZA KAMPENI MKOANI KAGERA
![](http://1.bp.blogspot.com/-S8UDCXDDYwY/Vh05AUwbCjI/AAAAAAAA0fE/d9KHc_FJth0/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LhV2dowLu-4/Vh05BLnWFcI/AAAAAAAA0gQ/nfYsZlIHBHM/s640/DSC_1045.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vnoFQqTz-pg/Vh05BPJlerI/AAAAAAAA0fY/c03zxHK_nNQ/s640/DSC_1050.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Nov
Ziara ya Tigo Welcome Pack yatikisa Mkoani Kagera
Msanii wa Bongo fleva Sunday Mjeda maarufu Linex akitoa burudani kwenye tamasha la Tigo welcome pack lililofanyika kwenye uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba, kampeni ya welcome pack inawawezesha wateja wa Tigo kujua huduma mbalimbali zitolewazo na kampuni ya Tigo.
Wasanii Emmanuel Mgaya Maarufu Masanja Mkandamizaji na Slivery Mujuni maarufu Mpoki wakitoa burudani kwa wakazi wa Bukoba waliofurika kwenye uwanja wa Kaitaba wakati wa onesho la Tigo welcome pack.
Wasanii wa kundi la Original...