Diwani Mkoani Kagera afariki
Diwani wa Kata ya Keza Wilaya ya Ngara mkoani Kagera, Roman Ntabalo (66) amefariki  baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Diwani Mbweni afariki dunia
DIWANI wa Mbweni katika Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, Boniface Mnyachibwe (CCM) amefariki dunia jana. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Naibu Meya wa manispaa hiyo, Songoro Mnyonge, alisema Mnyachibwe...
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Diwani wa CCM afariki dunia
DIWANI wa Ilunde, wilayani Mlele, Filberti Katola (CCM) amefariki duani juzi saa saba mchana. Katola (49) alifikwa na mauti hayo wakati akisafirishwa kurudishwa kijijini kwake Ilunde baada ya kuruhusiwa kutoka...
10 years ago
Habarileo15 Mar
Diwani wa Sululu afariki dunia
DIWANI wa kata ya Sululu katika Halmashauri ya mji wa Masasi, Zuberi Mrope (CCM) amefariki dunia juzi katika hospitali ya Mkomaindo Masasi alikolazwa kutokana na maradhi ya saratani na kuzikwa jana kijijini kwao Sululu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
DIWANI WA CCM AFARIKI DUNIA KATA YA IGALULA TABORA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qV3_tACI4TI/Xql6YoucfUI/AAAAAAAAnak/wmBWAtZXiJE_jhton2-rSSVoY7aH_2XoACLcBGAsYHQ/s72-c/488fe83e-a99d-4052-b34e-9c3003137dfa.jpg)
MKUU WA UHAMIAJI KAGERA AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-qV3_tACI4TI/Xql6YoucfUI/AAAAAAAAnak/wmBWAtZXiJE_jhton2-rSSVoY7aH_2XoACLcBGAsYHQ/s400/488fe83e-a99d-4052-b34e-9c3003137dfa.jpg)
Kwa mujibu wa kaimu mkuu wa uhamiaji Kagera Thomas Fush marehemu alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya kushuka sukari mwilini.
Fush amesema kuwa kufuatia msiba huo mwongozo wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa na makao makuu ya uhamiaji umesubiriwa ili kujua taratibu za msiba na maziko
11 years ago
Mwananchi25 May
Monsinyori Bamanyisa afariki dunia Kagera
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FjFOiJZv0y0/UvCskubv4HI/AAAAAAAFKxk/ISzeJzYkWnU/s72-c/unnamed+(24).jpg)
Mashindano ya Diwani Cup kata ya Mutuka yazinduliwa huko Mkoani Manyara
![](http://1.bp.blogspot.com/-FjFOiJZv0y0/UvCskubv4HI/AAAAAAAFKxk/ISzeJzYkWnU/s1600/unnamed+(24).jpg)
Diwani wa Kata ya Mutuka Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Mwalimu Yona Wao amezindua mashindano ya soka kwenye kata yake itakayoshirikisha timu tano za vijiji vilivyopo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aiCFHNqZ0sE/XorwMaZdU1I/AAAAAAAAkjg/7ubKnEzAp7EL2DiGGtM1j1i2dopVdgzWwCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-04-06-01h35m23s314.png)
DIWANI AOMBA CHUO KIPYA CHA UFUNDI KWA WALEMAVU MKOANI SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-aiCFHNqZ0sE/XorwMaZdU1I/AAAAAAAAkjg/7ubKnEzAp7EL2DiGGtM1j1i2dopVdgzWwCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-04-06-01h35m23s314.png)
Diwani wa Kata ya Utemini, Baltazar Kimario.
Na Ismail Luhamb,Singida.
DIWANI wa Kata ya Utemini Manispaa ya Singida, Baltazar Kimario, ameiomba Serikali kuangalia uwezekano wa kujenga chuo kipya cha ufundi stadi cha kwa ajili ya watu wenyeulemavu mkoani hapa.
Akizungumza na waandishi wa habari katika kikao cha baraza la madiwani kilicho keti mwishoni mwa wiki, Kimario, alisema chuo kinachoendelea kutumika kilijengwa miaka ya 70 hivyo miundombinu yake imechakaa inahitaji ukarabati wa...