Diwani wa CCM afariki dunia
DIWANI wa Ilunde, wilayani Mlele, Filberti Katola (CCM) amefariki duani juzi saa saba mchana. Katola (49) alifikwa na mauti hayo wakati akisafirishwa kurudishwa kijijini kwake Ilunde baada ya kuruhusiwa kutoka...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
DIWANI WA CCM AFARIKI DUNIA KATA YA IGALULA TABORA
10 years ago
Habarileo15 Mar
Diwani wa Sululu afariki dunia
DIWANI wa kata ya Sululu katika Halmashauri ya mji wa Masasi, Zuberi Mrope (CCM) amefariki dunia juzi katika hospitali ya Mkomaindo Masasi alikolazwa kutokana na maradhi ya saratani na kuzikwa jana kijijini kwao Sululu.
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Diwani Mbweni afariki dunia
DIWANI wa Mbweni katika Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, Boniface Mnyachibwe (CCM) amefariki dunia jana. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Naibu Meya wa manispaa hiyo, Songoro Mnyonge, alisema Mnyachibwe...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5Qcf-Qdfo7jdjX5Axwu0fMvAnOsTVJqgPC*SXkpdF94l-AP1CPYl80teIFr-ziSCTpVcmDeDKO-j4bX*V8ekd3sw/13.gif)
MBUNGE WA CHALINZE, SAID BWANAMDOGO (CCM) AFARIKI DUNIA
11 years ago
GPLKATIBU WA CCM MKOA WA IRINGA AFARIKI DUNIA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3lUmVfdL0WI/VLYIdbL0uuI/AAAAAAAG9Ow/ICVrjepDnT8/s72-c/MMG22220.jpg)
Mwenyekiti wa CCM Kata ya Miono,Saleh Mpwimbwi afariki Dunia leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-3lUmVfdL0WI/VLYIdbL0uuI/AAAAAAAG9Ow/ICVrjepDnT8/s1600/MMG22220.jpg)
Chanzo cha ajali hiyo,kinaelezwa kuwa ni kupasuka kwa tairi ya nyuma wakati akiwa kwenye mwendo na kushindwa kuliongoza gari hilo na kupelekea kupinduka.
Mwili wa Marehemu umepelewa kuhifadhiwa kwenye Hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo.
Taratibu zote za msiba huo,zinafanyika Nyumbani kwake...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--I-WgyfTC4M/Va5jYKYvsvI/AAAAAAAHq44/gDdQFM9pZ6E/s72-c/AjIAv7YkabUHMTga0gOJVX6s1z2Uv7PusctR1jFGWcSa.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ......: Mbunge wa Viti Maalum (CCM) mkoani Dodoma afariki dunia
![](http://1.bp.blogspot.com/--I-WgyfTC4M/Va5jYKYvsvI/AAAAAAAHq44/gDdQFM9pZ6E/s640/AjIAv7YkabUHMTga0gOJVX6s1z2Uv7PusctR1jFGWcSa.jpg)
Mungu aiweke Roho yake mahala pema Peponi
-Amin.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Me3jyX183g8/VYnRG4Rv0QI/AAAAAAAHjDE/RttIFx-Xx9Q/s72-c/SS.png)
news alert: Mbunge wa Geita (CCM) Mhe. Donald Kevin Max afariki dunia
![](http://4.bp.blogspot.com/-Me3jyX183g8/VYnRG4Rv0QI/AAAAAAAHjDE/RttIFx-Xx9Q/s640/SS.png)