Diwani wa Sululu afariki dunia
DIWANI wa kata ya Sululu katika Halmashauri ya mji wa Masasi, Zuberi Mrope (CCM) amefariki dunia juzi katika hospitali ya Mkomaindo Masasi alikolazwa kutokana na maradhi ya saratani na kuzikwa jana kijijini kwao Sululu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Diwani wa CCM afariki dunia
DIWANI wa Ilunde, wilayani Mlele, Filberti Katola (CCM) amefariki duani juzi saa saba mchana. Katola (49) alifikwa na mauti hayo wakati akisafirishwa kurudishwa kijijini kwake Ilunde baada ya kuruhusiwa kutoka...
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Diwani Mbweni afariki dunia
DIWANI wa Mbweni katika Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, Boniface Mnyachibwe (CCM) amefariki dunia jana. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Naibu Meya wa manispaa hiyo, Songoro Mnyonge, alisema Mnyachibwe...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
DIWANI WA CCM AFARIKI DUNIA KATA YA IGALULA TABORA
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Diwani Mkoani Kagera afariki
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4y8moz0H9-U4viFRm2ux*OVWD6FRM7ozzMtfDumLkTNXubXIOy1RRQGLbxUqX2a3*CCGnEJeAnpB8I4*s5LQnVa/mchepuko.jpg)
AMUUA MKEWE KWA SULULU, AJINYONGA
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Gurumo afariki dunia
10 years ago
Uhuru Newspaper08 Apr
Dk. Mhita afariki dunia
NA MWANDISHI WETU ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA),Dk. Mohamed Mhita, amefariki dunia. Dk. Mhita ambaye pia ni mume wa Mbunge wa Kondoa Kaskazini, Zabein Mhita, anatarajiwa kuzikwa leo baada ya kuwasili kwa mkewe, aliyeko India kwa matibabu. Akizungumza na waandishi wa habari, mtoto wa marehemu, Muhaji Mhita alisema baba yake aliugua maralia, Jumatatu alfajiri na kupelekwa hospitali, ambapo alifariki usiku. Alisema walipofika hospitali walibaini kuwa shinikizo la...