Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ziara ya Tigo Welcome Pack yatikisa Mkoani Kagera

11-2

Msanii wa Bongo fleva Sunday Mjeda maarufu Linex akitoa burudani kwenye tamasha la Tigo welcome pack lililofanyika kwenye uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba, kampeni ya welcome pack inawawezesha wateja wa Tigo kujua huduma mbalimbali zitolewazo na kampuni ya Tigo.

mjeda

42

Wasanii Emmanuel Mgaya Maarufu Masanja Mkandamizaji  na Slivery Mujuni maarufu Mpoki wakitoa burudani kwa wakazi wa Bukoba waliofurika kwenye uwanja wa Kaitaba wakati wa onesho la Tigo welcome pack.

26

Wasanii wa kundi la Original...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Tamasha kubwa la Tigo welcome pack lafana mkoani Arusha

A

 Wasanii wa kikundi cha Ngoma cha Manyara Group  Mkoani Arusha kikiwapa burudani wakazi wa mkoa huo waliofurika kwenye uwanja wa Sheikh Amri Adeid mwishoni mwa wiki kushuhudia tamasha la Tigo welcome pack, Kampuni ya Tigo imeanzisha kifurushi cha welcome pack kitakachomwezesha mtumiaji wa Tigo kupata muda wa maongezi wa dakika 20, MB175, SMS bila kikomo na pesa shilingi mia 500 kwenye akaunti yake ya Tigopesa, yote hayo kwa shilingi 1000 mteja atakaponunua laini yake ya Tigo.

B

Wasanii wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yazindua huduma mpya ya ‘Welcome Pack’ Mkoani Iringa

1

 Mkuu wa mkoa wa Iringa Mh.Dkt. Christine Ishengoma akisalimiana na Mkurugenzi mkuu wa Tigo kanda ya kusini Bw. Jackson Kiswaga wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kifurushi kipya cha tigo cha welcome pack mkoani Iringa, kifurushi hicho kitamwezesha mtumiaji wa Tigo kupata muda wa maongezi wa dakiak 20, mb175,sms bila kikomo na pesa shilingi mia 500 kwenye akaunti yake ya tigopesa, yote hayo kwa shilingi 1000 mteja atakaponunua laini yake ya Tigo.

Tigo Tanzania leo imezindua kifurushi kipya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana amaliza ziara ya siku 10 mkoani Kagera

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Buharamulo mara baada ya kuwasili kwenye kata ya Nyabugombe ,wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera.

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya wilaya ya Biharamulo.

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Wazee wa kata ya Nyakahura,wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera.

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akielekea...

 

5 years ago

Michuzi

MASAUNI AWASILI MKOANI KAGERA KWA ZIARA YA KIKAZI

 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia Jenerali Marco Gaguti (kushoto), baada ya kuwasili mkoani Kagera leo kwa ziara ya kikazi.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani Kagera wakimsikiliza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kulia),wakati wa kikao cha ndani kilichohusu masuala ya Ulinzi na Usalama.Wapili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA AMALIZA ZIARA YAKE YA KIHISTORIA MKOANI KAGERA

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Biharamulo mjini.

Katibu Mkuuu wa CCM Abdulrahman Kinana amehitimisha ziara yake ya ya siku 10 ya kukagua,kuhimiza na kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika mkoa wa Kagera kwa mafanikio makubwa.

Katika ziara hiyo Kinana amemaliza  ziara hiyo leo Julai 14, 2015, baada ya kutembea jumla ya kilometa 3374, akiwa ametembelea majimbo yote tisa katika wilaya zote nane za mkoa huo.

Ziara hiyo imeonyesha kuwa...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AHITIMISHA ZIARA YAKE MKOANI KAGERA

Waziri Mkuu, Miengo Pinda akitazama ngoma ya Kihaya kabla ya kuondoka kwenye uwanja wa ndege wa Bukoba Oktoba 5, 2014 ambako alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za siku ya walimu duniani zilizofanyika kitaifa kwenye uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba Oktoba 5, 2014. Wengine kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Mbunge wa Luangwa, Kassim Majaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanali Mstaafu, Fabiana Massawe. Waziri Mkuu, Mizengo...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA AFANYA ZIARA MKOANI KAGERA

Balozi wa China nchini Tanzania,LU Youqing akicheza ngoma ya asili ya Mkoa wa Kagera wakati alipokuwa akilakiwa kwenye uwanja wa ndege wa Bukoba.Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera, John Mongella.Mkuu wa Mkoa wa Kagera, John Mongella akimkabidhi Balozi wa China nchini Tanzania,LU Youqing Hati na ramani eneo lililotengwa na serikali ya mkoa kwa ajili ya kujenga chuo cha Ufundi (VETA) cha Kitaifa kilichoahidiwa na serikali ya China wakati wa ziara ya Rais Kikwete nchini humo mwaka jana.Balozi wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu Pinda ahitimisha ziara yake mkoani Kagera

PG4A3928

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama ngoma ya Kihaya kabla ya kuondoka kwenye uwanja  wa ndege wa Bukoba Oktoba 5, 2014 ambako alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za siku ya walimu duniani zilizofanyika kitaifa kwenye uwanja wa Kaitaba  mjini Bukoba Oktoba 5, 2014.  Wengine kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi  na mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama, Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Mbunge wa Luangwa, Kassim Majaliwa...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU ATARAJIWA KUWASILI MKOANI KAGERA KWA ZIARA YA KIKAZI

    Na Lydia Lugakila:- Kagera.

Waziri mkuu wa Jamhuli ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwasili mkoani humo kwa ziara ya siku mbili kwa ajili ya shughuli za  kiserikali pamoja na za chama cha mapinduzi CCM.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti katika kikao na waandishi wa habari katika ofisi za mkoa huo.

Akitoa taarifa za ujio wa Waziri mkuu , mkuu wa mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti amesema waziri Majaliwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani