Ziara ya Tigo Welcome Pack yatikisa Mkoani Kagera
Msanii wa Bongo fleva Sunday Mjeda maarufu Linex akitoa burudani kwenye tamasha la Tigo welcome pack lililofanyika kwenye uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba, kampeni ya welcome pack inawawezesha wateja wa Tigo kujua huduma mbalimbali zitolewazo na kampuni ya Tigo.
Wasanii Emmanuel Mgaya Maarufu Masanja Mkandamizaji na Slivery Mujuni maarufu Mpoki wakitoa burudani kwa wakazi wa Bukoba waliofurika kwenye uwanja wa Kaitaba wakati wa onesho la Tigo welcome pack.
Wasanii wa kundi la Original...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Tamasha kubwa la Tigo welcome pack lafana mkoani Arusha
Wasanii wa kikundi cha Ngoma cha Manyara Group Mkoani Arusha kikiwapa burudani wakazi wa mkoa huo waliofurika kwenye uwanja wa Sheikh Amri Adeid mwishoni mwa wiki kushuhudia tamasha la Tigo welcome pack, Kampuni ya Tigo imeanzisha kifurushi cha welcome pack kitakachomwezesha mtumiaji wa Tigo kupata muda wa maongezi wa dakika 20, MB175, SMS bila kikomo na pesa shilingi mia 500 kwenye akaunti yake ya Tigopesa, yote hayo kwa shilingi 1000 mteja atakaponunua laini yake ya Tigo.
Wasanii wa...
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
Tigo yazindua huduma mpya ya ‘Welcome Pack’ Mkoani Iringa
Mkuu wa mkoa wa Iringa Mh.Dkt. Christine Ishengoma akisalimiana na Mkurugenzi mkuu wa Tigo kanda ya kusini Bw. Jackson Kiswaga wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kifurushi kipya cha tigo cha welcome pack mkoani Iringa, kifurushi hicho kitamwezesha mtumiaji wa Tigo kupata muda wa maongezi wa dakiak 20, mb175,sms bila kikomo na pesa shilingi mia 500 kwenye akaunti yake ya tigopesa, yote hayo kwa shilingi 1000 mteja atakaponunua laini yake ya Tigo.
Tigo Tanzania leo imezindua kifurushi kipya...
10 years ago
Dewji Blog16 Jun
Kinana amaliza ziara ya siku 10 mkoani Kagera
![](http://2.bp.blogspot.com/-kmNeYoPkVEs/VX3hu3gX51I/AAAAAAAAePU/3hWn4LbHioA/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Buharamulo mara baada ya kuwasili kwenye kata ya Nyabugombe ,wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera.
![](http://2.bp.blogspot.com/-6pXFq1zf63s/VX3jhy1Hx0I/AAAAAAAAeT0/W7XWb3R1O9Q/s1600/6.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya wilaya ya Biharamulo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-OMlP6UbiQ84/VX3hunnZWII/AAAAAAAAePQ/C5kmH_GPcu0/s1600/10.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Wazee wa kata ya Nyakahura,wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera.
![](http://1.bp.blogspot.com/-dbspODdP9i8/VX3htMyuRDI/AAAAAAAAePI/KhUlKyrH9gw/s640/11.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akielekea...
5 years ago
MichuziMASAUNI AWASILI MKOANI KAGERA KWA ZIARA YA KIKAZI
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pzK-sfe3Q_c/VX48mLYrBEI/AAAAAAAAeVY/4nrNm1-Cn5E/s72-c/72.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE YA KIHISTORIA MKOANI KAGERA
![](http://4.bp.blogspot.com/-pzK-sfe3Q_c/VX48mLYrBEI/AAAAAAAAeVY/4nrNm1-Cn5E/s1600/72.jpg)
Katibu Mkuuu wa CCM Abdulrahman Kinana amehitimisha ziara yake ya ya siku 10 ya kukagua,kuhimiza na kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika mkoa wa Kagera kwa mafanikio makubwa.
Katika ziara hiyo Kinana amemaliza ziara hiyo leo Julai 14, 2015, baada ya kutembea jumla ya kilometa 3374, akiwa ametembelea majimbo yote tisa katika wilaya zote nane za mkoa huo.
Ziara hiyo imeonyesha kuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DWgLr-jHO_w/VDJqqpeOhmI/AAAAAAAGoP8/zcGWH4trsHI/s72-c/unnamed%2B(62).jpg)
WAZIRI MKUU AHITIMISHA ZIARA YAKE MKOANI KAGERA
![](http://3.bp.blogspot.com/-DWgLr-jHO_w/VDJqqpeOhmI/AAAAAAAGoP8/zcGWH4trsHI/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-M0JA2AzMO5I/VDJqqIGsD7I/AAAAAAAGoP4/uox70ywEJOc/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
10 years ago
Vijimambo28 Jan
BALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA AFANYA ZIARA MKOANI KAGERA
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Waziri Mkuu Pinda ahitimisha ziara yake mkoani Kagera
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama ngoma ya Kihaya kabla ya kuondoka kwenye uwanja wa ndege wa Bukoba Oktoba 5, 2014 ambako alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za siku ya walimu duniani zilizofanyika kitaifa kwenye uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba Oktoba 5, 2014. Wengine kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama, Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Mbunge wa Luangwa, Kassim Majaliwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-fKxqO_dA8hc/Xkz19IsoILI/AAAAAAAAmww/pGtO8ZA-8FI0GEN8_kFgrhhEeq_7fyTsACEwYBhgL/s72-c/28336141_1484975728280063_4389581750095049029_o.jpg)
WAZIRI MKUU ATARAJIWA KUWASILI MKOANI KAGERA KWA ZIARA YA KIKAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-fKxqO_dA8hc/Xkz19IsoILI/AAAAAAAAmww/pGtO8ZA-8FI0GEN8_kFgrhhEeq_7fyTsACEwYBhgL/s640/28336141_1484975728280063_4389581750095049029_o.jpg)
Waziri mkuu wa Jamhuli ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwasili mkoani humo kwa ziara ya siku mbili kwa ajili ya shughuli za kiserikali pamoja na za chama cha mapinduzi CCM.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti katika kikao na waandishi wa habari katika ofisi za mkoa huo.
Akitoa taarifa za ujio wa Waziri mkuu , mkuu wa mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti amesema waziri Majaliwa...