Jaji Mkuu ataka uwazi mahakamani
Jaji Mkuu Chande Othman ametaka mahakama ziruhusu waandishi wa habari kupata taarifa za yanayoendelea mahakamani ili kupata taarifa sahihi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Rais wa Namibia ataka uwazi katika chaguzi za Afrika
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Waziri Kamani sasa ataka uwajibikaji, uwazi wizarani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e0d8fddpW1Y/Xq1RDZcZbYI/AAAAAAALo1Q/RXet2-3e9YYExqZbVWuaf2_P6BeA0N7FQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-02%2Bat%2B13.52.15.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uP4wXJYslh0/Xto-EQ7AerI/AAAAAAALssw/zcI7hN2RqvUoj2aUAmeUVkJ7V2ee9gemwCLcBGAsYHQ/s72-c/3506c9e9-be14-46d5-91b1-e2cc16b8f4d7%2B%25281%2529.jpg)
MKURUGNZI MKUU MSD,MKUU WW LOJISTIKI WAFIKISHWA MAHAKAMANI WAKIKABILIWA NA KESI YA TUHUMA YA UHUJUMU UCHUMI
MKURUGENZI Mkuu wa Bohari kuu ya Dawa (MSD) nchini, Laurean Bwanakunu na Mkuu wa Lojistiki wa bohari hiyo Byekwaso Tabura wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka matano likiwemo la kuisababishia hasara ya zaidi ya Sh.Bilioni bilioni 3.8
Mashtaka mengine ni kuongoza genge la uhalifu, utakatishaji na matumizi mabaya ya madaraka. Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo leo Juni 5, 2020, na...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Jaji Werema ataka kumtwanga Kafulila
KASHFA ya ununuzi wa Kampuni ya IPTL na fedha za Escrow, jana nusura iharibu taswira ya Bunge baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Fredrick Werema kutaka kumpiga Mbunge wa...
10 years ago
BBCSwahili11 Apr
Jaji ataka Justin Bieber akamatwe
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tCSdI3l-WDw/XuD6j633UqI/AAAAAAALtZw/3pmQXkwwTQMWFYHKXt4eWU2SVm2lraYUQCLcBGAsYHQ/s72-c/da351-ridhiwani2bkikwete2beyopah.jpg)
RIDHIWAN KIKWETE ATAKA KUHAKISHIWA USALAMA WA MIFUGO KABLA YA KUPELEKWA MAHAKAMANI
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani Ridhiwan Kikwete ametaka ufafanuzi kuhusu usalama wa mifugo ambayo itakamatwa baada ya kuingia kwenye maeneo ya hifadhi kabla ya kesi kuanza Mahakamani.
Akizungumza leo Juni 10,2020,Bungeni Mjini Dodoma wakati wa kuchangia muswada wa marekebisha ya sheria mbalimbali ambao umewasilishwa bungeni hapo na moja marekebisho hayo inahusu Wanyamapori na Uhifadhi.
"Kwanza naomba nianze kwa kukupongeza Naibu Spika Dk.Tulia Acksoni...
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Jaji Bomani ataka jopo kuijadili Z’bar
ESTHER MNYIKA NA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM
JAJI mstaafu Mark Bomani, amesema ili kumaliza dosari zilizojitokeza wakati wa uchaguzi mkuu kisiwani Zanzibar, njia pekee ni kuunda jopo litakaloweza kumaliza mgogoro uliopo.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Jaji Bomani alisema dosari zinazosemekana zilitokea wakati wa uchaguzi zinatakiwa zibainike kwa kutumia jopo la wataalamu ambao wanaaminika na ikiwezekana liwe chini ya mmoja wa majaji wakuu wastaafu.
Alisema...
11 years ago
Habarileo15 Mar
Jaji Mutungi ataka sheria za uchaguzi kuzingatiwa
MSAJILI wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amevitaka vyama vinavyoshiriki katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika katika majimbo ya Kalenga, mkoani Iringa na Chalinze, Bagamoyo mkoani Pwani kuzingatia kanuni na sheria zote za uchaguzi.