WAZIRI MKUU AAGIZA MENEJA WA TANROAD MOROGORO AREJESHWE WIZARANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ys50hXML_GI/Xl_X8b5ccGI/AAAAAAAC0EU/-fN4ZaqyUiEP7ivjpbxOE7TQx89cYCqgACLcBGAsYHQ/s72-c/c07372c0-a466-4a8b-a195-1485db8591db-768x576.jpg)
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROAD), mkoa wa Morogoro, Mhandisi Godwin Andalwisye arejeshwe wizarani na nafasi yake ijazwe na mtu mwingine mara moja baada ya kuzembea kutimiza wajibu wake.
Uamuzi huo umekuja baada ya kiongozi huyo kushindwa kufanya ukaguzi wa usala wa madaraja yaliyoko kwenye mkoa wake na kubaini kama kuna daraja linamatatizo hali iliyosababisha daraja la Kiyegea lililopo eneo la Gairo ambalo linaunganisha mkoa wa Morogoro na...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MhkDFTHAbUc/Xl_vYwo518I/AAAAAAALhEA/9ueok7wdY_kmyPQN2IYg24qxG3gmmGYEgCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_2594AA-768x482.jpg)
MENEJA WA TANROAD MORO AREJESHWE WIZARANI-MAJALIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-MhkDFTHAbUc/Xl_vYwo518I/AAAAAAALhEA/9ueok7wdY_kmyPQN2IYg24qxG3gmmGYEgCLcBGAsYHQ/s640/PMO_2594AA-768x482.jpg)
====== ======== ============
*Ni baada ya kushindwa kukagua madaraja kwenye...
9 years ago
Habarileo07 Jan
Waziri Mkuu aagiza kasi ukusanyaji mapato
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza halmashauri za wilaya, manispaa na majiji nchini, kuongeza kasi katika ukusanyaji wa mapato ya ndani, hatua itakayosaidia kuboresha huduma za afya na kuharakisha shughuli mbalimbali za maendeleo.
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU PINDA ASHIRIKI MAZISHI MKUU WA MKOA WA MARA,MAREHEMU JOHN TUPA MKOANI MOROGORO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xeeb0cMtEm0/XliuHBIq5yI/AAAAAAALfzA/i9ha-nT_1YUctxEwk3SFHLbgiTU_RdJCwCLcBGAsYHQ/s72-c/a9ce9b88-2050-4119-89e0-41b151a7d067.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE APIGA MARUFUKU POLISI KUKAMATA WANANCHI, BODABODA BILA KUFUATA UTARATIBU, AAGIZA KILA OPERESHENI MKUU WA WILAYA APEWE TAARIFA, ASISITIZA UCHAGUZI MKUU WA HURU NA HAKI 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-xeeb0cMtEm0/XliuHBIq5yI/AAAAAAALfzA/i9ha-nT_1YUctxEwk3SFHLbgiTU_RdJCwCLcBGAsYHQ/s640/a9ce9b88-2050-4119-89e0-41b151a7d067.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/9e835e81-624d-400a-bfbf-64bef98dc92e.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-H3-KNX-dX9g/XmeX0YyIc5I/AAAAAAALibI/TSqYcZCmxR8Ej4YsCb_OB6KqPCAGFhmwgCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_2620-2AA-1024x625.jpg)
WAZIRI MKUU AKAGUA DARAJA LA MUDA LA KIYEGEYA, Abaini Meneja wa TANROADS Mkoa bado hajateuliwa
![](https://1.bp.blogspot.com/-H3-KNX-dX9g/XmeX0YyIc5I/AAAAAAALibI/TSqYcZCmxR8Ej4YsCb_OB6KqPCAGFhmwgCLcBGAsYHQ/s400/PMO_2620-2AA-1024x625.jpg)
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa barabara ya muda kwenye eneo la daraja la Kiyegeya na kusema kazi inaenda vizuri sababu hakuna tena msongamano wa magari kama ilivyokuwa wiki iliyopita.
Hata hivyo, Waziri Mkuu amesisitiza kuwa Mameneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) wa mikoa yote nchini wanapaswa kufanya ukaguzi wa mara kwa mara wa madaraja yote siyo kwa juu tu bali hadi chini ya madaraja ili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rjlUBBHjG1A/XlAFDiUBGiI/AAAAAAALewk/zbHIv2hLF24IyaRtMhcwOBqEcK2ynrpugCLcBGAsYHQ/s72-c/nida%252Bpic.jpg)
WAZIRI MKUU AAGIZA UMAKINI UFANYIKE UTOAJI VITAMBULISHO VYA TAIFA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rjlUBBHjG1A/XlAFDiUBGiI/AAAAAAALewk/zbHIv2hLF24IyaRtMhcwOBqEcK2ynrpugCLcBGAsYHQ/s400/nida%252Bpic.jpg)
WAZIRI Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema ameagiza umakini ufanyike katika utoaji wa vitambulisho vya Taifa hususani katika Mikoa iliyopo mipakani ili kuimarisha usalama wa nchi.
Majaliwa ameyasema hayo leo wakati akiongea na wajumbe wa kamati kuu ya halmashauri kuu chama cha mapinduzi(CCM)ya Mkoa wa Kigoma akiwa kwenye sikubya kwanza ya ziara yake amesema kumekuwepo na malalamiko ya wananchi wanaofuatilia vitambulisho vya Taifa wanadaiwa siyo raia wa Tanzania...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-BrBMIToSWA4/XkO79BKDD3I/AAAAAAACHiU/8x96pHppnCMQSrcGrTwhft7BGYsWN0GzQCLcBGAsYHQ/s72-c/waziri-mkuuuu-1.jpg)
WAZIRI MKUU AAGIZA WADAIWA WOTE NHC WALIPE MADENI KABLA YA MEI 30
![](https://1.bp.blogspot.com/-BrBMIToSWA4/XkO79BKDD3I/AAAAAAACHiU/8x96pHppnCMQSrcGrTwhft7BGYsWN0GzQCLcBGAsYHQ/s1600/waziri-mkuuuu-1.jpg)
“Orodha ya wadaiwa niliyonayo hapa ni kubwa na wengine inaonesha wamehama na wameondoka bila kumalizia kodi zao. Hawa wote ni lazima tuwafuatilie na walipe madeni yao,” amesema.
Ametoa agizo hilo leo (Jumanne, Februari 11, 2020) wakati akizungumza na viongozi na wajumbe wa...
9 years ago
MichuziWaziri na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wawasili rasmi Wizarani baada ya kuapishwa