Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK aahidi maamuzi mazito maabara za masomo

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete, amesema atafanya maamuzi mazito Novemba mwaka huu kwa viongozi ambao watashindwa kutekeleza agizo lake la ukamilishaji wa ujenzi wa vyumba vya maabara tatu za masomo ya sayansi kwa kila shule ya sekondari.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

KAMATI YA UTENDAJI YA COASTAL UNION,SASA YATOKA NA MAAMUZI MAZITO”




KIKAO cha Kamati ya Utendaji ya Klabu ya Coastal Union kilichoketi juzi kwa saa tatu kilitoka na mapendekezo wa kuachana na aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo,Jackson Mayanja kutokana na kutokuwepo kwa mwenendo wa matokeo mazuri kwa timu hiyo tokea alipokabidhiwa. 
Kocha Mayanja alikabidhiwa kikosi hicho cha Wagosi wa Kaya baada ya kumalizika msimu wa ligi kuu uliopita akichukua mikoba ya Jamhuri Kihwelu “Julio” ambaye aliinusuru timu hiyo na kushuka daraja ikimaliza ikiwa nafasi tano za juu...

 

9 years ago

Mtanzania

Maabara zawavutia wanafunzi masomo

NA SAMWEL MWANGA

WANAFUNZI wa  Shule ya Sekondari Mwamishali  wilayani Meatu  wameanza kusoma masomo ya sayansi kwa vitendo huku wakipongeza uamuzi wa Rais Kikwete wa kuagiza ujenzi wa maabara kwa shule zote za kata.

Pongezi hiyo zilitolewa jana   ba  Mariamu Mwirabi,  mbele ya Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru, Juma Khatib Chum  alipofungua
vyumba vitatu vya maabara katika shule hiyo.

Mwirabi alisema kabla ya agizo hilo walikuwa wakisoma masomo ya sayansi kwa kutumia picha na michoro hali...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Maabara nyenzo muhimu masomo ya sayansi

WATAALAM wa sayansi hawawezi kupatikana nchini kama serikali haitayapa masomo hayo kipaumbele na kujenga maabara shuleni. Ni shule chache nchini ambazo zimekuwa zikifaulisha wanafunzi masomo ya sayansi, hii ni kutokana...

 

10 years ago

Mwananchi

Kuna tofauti ya maabara na majengo ya maabara

Desemba 9 mwaka jana ndiyo ulikuwa mwisho wa utekelezaji wa agizo la Rais Jakaya Kikwete kuhusu ujenzi wa maabara katika shule za sekondari za Serikali nchi nzima.

 

10 years ago

Raia Mwema

Watu wa ‘maamuzi’ magumu

MPAMBANO wa urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu utahusisha wagombea wawili ambao wana sifa mo

Ezekiel Kamwaga

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Bongo Movies

RAY: Heshimuni Maamuzi Yangu

(FREEDOM OF SPEECH ) Nyinyi tukaneni mpaka mchoke maana tangia muanze kutukana matusi hata mkwaruzo sijapata msinilazimishe kupenda mnachokipenda nyinyi. Heshimuni maamuzi yangu kwani kila mtu ana haki ya kufanya maamuzi anayoyaona kwa upande wake ni sahihi, nasema hivi wananchi wana akili timamu hawawezi kuwapa ridhaa ya kuongoza nchi hii kama wenyewe kwa wenyewe mnagombana mtaweza ongoza nchi hii mnavyoona watu wanajaa kwenye mikutano yenu mnafikiri mnapendwa hao wamekuja kuwashangaa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Meneja wa Bournemouth ajutia maamuzi

Meneja wa Bournemouth,Eddie Howe amesema maamuzi yaliyofanywa kinyume na matarajio ya wengi dhidi ya Liverpool hayasameheki.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mambo mazito



Serikali yasema misamaha ya kodi imetosha CAG kuchunguza iliyoingiwa na wawekezaji Kodi ya PAYEE, ukomo wa mikweche palepale
SERIKALI imesema haitapunguza zaidi kodi kwenye mishahara ya wafanyakazi (PAYE) kwa sasa kutokana na ongezeko la mishahara lililofanywa kwa wafanyakazi wa sekta ya umma hivi karibuni.

Aidha serikali imesema umri wa magari yatakayoruhusiwa kisheria kuingizwa nchini utaendelea kuwa miaka minane badala ya 10 kama ilivyopendekezwa kwenye bajeti ya serikali.
Msimamo huo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani