JK aahidi maamuzi mazito maabara za masomo
RAIS Jakaya Kikwete, amesema atafanya maamuzi mazito Novemba mwaka huu kwa viongozi ambao watashindwa kutekeleza agizo lake la ukamilishaji wa ujenzi wa vyumba vya maabara tatu za masomo ya sayansi kwa kila shule ya sekondari.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboKAMATI YA UTENDAJI YA COASTAL UNION,SASA YATOKA NA MAAMUZI MAZITO”
KIKAO cha Kamati ya Utendaji ya Klabu ya Coastal Union kilichoketi juzi kwa saa tatu kilitoka na mapendekezo wa kuachana na aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo,Jackson Mayanja kutokana na kutokuwepo kwa mwenendo wa matokeo mazuri kwa timu hiyo tokea alipokabidhiwa.
Kocha Mayanja alikabidhiwa kikosi hicho cha Wagosi wa Kaya baada ya kumalizika msimu wa ligi kuu uliopita akichukua mikoba ya Jamhuri Kihwelu “Julio” ambaye aliinusuru timu hiyo na kushuka daraja ikimaliza ikiwa nafasi tano za juu...
9 years ago
Mtanzania25 Aug
Maabara zawavutia wanafunzi masomo
NA SAMWEL MWANGA
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Mwamishali wilayani Meatu wameanza kusoma masomo ya sayansi kwa vitendo huku wakipongeza uamuzi wa Rais Kikwete wa kuagiza ujenzi wa maabara kwa shule zote za kata.
Pongezi hiyo zilitolewa jana ba Mariamu Mwirabi, mbele ya Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru, Juma Khatib Chum alipofungua
vyumba vitatu vya maabara katika shule hiyo.
Mwirabi alisema kabla ya agizo hilo walikuwa wakisoma masomo ya sayansi kwa kutumia picha na michoro hali...
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Maabara nyenzo muhimu masomo ya sayansi
WATAALAM wa sayansi hawawezi kupatikana nchini kama serikali haitayapa masomo hayo kipaumbele na kujenga maabara shuleni. Ni shule chache nchini ambazo zimekuwa zikifaulisha wanafunzi masomo ya sayansi, hii ni kutokana...
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Kuna tofauti ya maabara na majengo ya maabara
10 years ago
Raia Mwema05 Aug
Watu wa ‘maamuzi’ magumu
MPAMBANO wa urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu utahusisha wagombea wawili ambao wana sifa mo
Ezekiel Kamwaga
10 years ago
Michuzi11 May
9 years ago
Bongo Movies26 Sep
RAY: Heshimuni Maamuzi Yangu
9 years ago
BBCSwahili18 Aug
Meneja wa Bournemouth ajutia maamuzi
11 years ago
Uhuru NewspaperMambo mazito
Serikali yasema misamaha ya kodi imetosha CAG kuchunguza iliyoingiwa na wawekezaji Kodi ya PAYEE, ukomo wa mikweche palepale
SERIKALI imesema haitapunguza zaidi kodi kwenye mishahara ya wafanyakazi (PAYE) kwa sasa kutokana na ongezeko la mishahara lililofanywa kwa wafanyakazi wa sekta ya umma hivi karibuni.
Aidha serikali imesema umri wa magari yatakayoruhusiwa kisheria kuingizwa nchini utaendelea kuwa miaka minane badala ya 10 kama ilivyopendekezwa kwenye bajeti ya serikali.
Msimamo huo...