Maabara zawavutia wanafunzi masomo
NA SAMWEL MWANGA
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Mwamishali wilayani Meatu wameanza kusoma masomo ya sayansi kwa vitendo huku wakipongeza uamuzi wa Rais Kikwete wa kuagiza ujenzi wa maabara kwa shule zote za kata.
Pongezi hiyo zilitolewa jana ba Mariamu Mwirabi, mbele ya Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru, Juma Khatib Chum alipofungua
vyumba vitatu vya maabara katika shule hiyo.
Mwirabi alisema kabla ya agizo hilo walikuwa wakisoma masomo ya sayansi kwa kutumia picha na michoro hali...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi02 Nov
HAFLA YA JUMUIYA YA WANAFUNZI WA TANZANIA WUHAN-CHINA (WUTASA) KUWAKARIBISHA WANAFUNZI WAPYA MWAKA WA MASOMO 2015/16
![1](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/sX2k0-AXtQ4aqN4w8oa3pcb7KodDnKJmBW78-JVO_gTvSHGlxm_h3GWBHhuR7mjPEtFgtimAwI1Jr_-9cyeeQDZBH602YtYafUfEvUGGl9ym7Z8sUw=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/1.jpg)
![2](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/V-HLiJ3GVxkskmh-ybRWanHt_PCSEufwdmoSCPGIt8t8PsJ1abhh4XMs-e6rZWnoQfHhOSePBceuwzP4I5_XriEo-GVjyAw2tnjgfVlPxf8SHc8mVg=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/2.jpg)
![3](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/Xs6vkqYfkDjUxVodrOcbdtn6KsNJuHUR7h8DZe4reSkd3kNC-EyKY4460IL1JV-vAMhK7EvNznYDZwXDSJg-sUy_4E-JdbjciSsgijKzda5KyEzEKA=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/3.jpg)
10 years ago
Habarileo23 Aug
JK aahidi maamuzi mazito maabara za masomo
RAIS Jakaya Kikwete, amesema atafanya maamuzi mazito Novemba mwaka huu kwa viongozi ambao watashindwa kutekeleza agizo lake la ukamilishaji wa ujenzi wa vyumba vya maabara tatu za masomo ya sayansi kwa kila shule ya sekondari.
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Maabara nyenzo muhimu masomo ya sayansi
WATAALAM wa sayansi hawawezi kupatikana nchini kama serikali haitayapa masomo hayo kipaumbele na kujenga maabara shuleni. Ni shule chache nchini ambazo zimekuwa zikifaulisha wanafunzi masomo ya sayansi, hii ni kutokana...
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Wanafunzi wakatisha masomo
SHULE ya sekondari Hunyari iliyoko katika Wilaya ya Bunda mkoani Mara, inakabiliwa na changamoto ya utoro mkubwa wa wanafunzi kutokana na baadhi yao kukatisha masomo kwa kuo, kuolewa na wengine...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Wanafunzi wahimizwa masomo ya sayansi
WANAFUNZI wa shule mbalimbali nchini wametakiwa kujifunza masomo ya sayansi kutokana na umuhimu wake katika ugunduzi wa vitu ili kusaidia taifa kimaendeleo. Imeelezwa kuwa idadi kubwa ya wanafunzi na walimu...
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Mvua zawakosesha masomo wanafunzi 450
ZAIDI ya wanafunzi 450 wa shule nne za msingi katika Kata ya Bumera, wilayani Tarime, watakosa masomo kwa muda usiojulikana kutokana na vyumba vya madarasa wanavyovitumia pamoja na nyumba za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Uif068THvDA/XtE0B9QHv5I/AAAAAAALr_U/OAwxPrDRKIsQxdgEZTx7LlfQUKrZJv-SACLcBGAsYHQ/s72-c/8f916355-639a-4918-a659-2f8ff135e219.jpg)
WANAFUNZI WAWASILI CHUONI KUENDELEA NA MASOMO
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/5741a111-9c45-4484-b283-4a1cbe525c30.jpg)
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano Chuo kikuu Mzumbe Bi. Rose Joseph akizungumza na Waandishi wa Habari waliofika Chuoni hapo kuona maandalizi ya mapokezi ya Wanafunzi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4f9e35eb-a987-4fc7-bb88-397bc6f4b2a1.jpg)
Moja ya matanki yaliyosimikwa katika mazingira ya Chuo kikuu Mzumbe kwa ajili ya Wanafunzi kunawa mikono kabla na baada ya kuingia darasani.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Uif068THvDA/XtE0B9QHv5I/AAAAAAALr_U/OAwxPrDRKIsQxdgEZTx7LlfQUKrZJv-SACLcBGAsYHQ/s640/8f916355-639a-4918-a659-2f8ff135e219.jpg)
10 years ago
Habarileo26 Mar
Kinana awashauri wanafunzi kusoma masomo ya sayansi
WANAFUNZI nchini wameshauriwa kusoma masomo ya sayansi ili kujiweka katika mazingira mazuri ya kuajiriwa na taasisi za ndani na nje ya nchi kwa urahisi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-N_BYiSpDmKA/VEz8dLx66MI/AAAAAAAGtbE/WUFX8irLRqs/s72-c/bailoji%2Bmaleta.jpg)
TAA yataka wanafunzi wachangamkie masomo ya anga
![](http://4.bp.blogspot.com/-N_BYiSpDmKA/VEz8dLx66MI/AAAAAAAGtbE/WUFX8irLRqs/s1600/bailoji%2Bmaleta.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-20Nv1PWB7kw/VEz8dUoinPI/AAAAAAAGtbI/hBIQJFRFsic/s1600/churaaaa.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0up3Z4gfJ0M/VEz8dhfk2EI/AAAAAAAGtbM/-uAb0JuLFxc/s1600/maleta%2Bchura.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-X3onGKUT50k/VEz8eTawtOI/AAAAAAAGtbQ/V2t_WAJuHMc/s1600/dansi%2Bkibo.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-eJCHN8siKUE/VEz8erk_FyI/AAAAAAAGtbU/R9ftmUmTS3I/s1600/nyimbo%2Bkibo.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10