STARS YAKAMILIKA KUIVAA MALAWI KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-pgOC1ygQn7A/VhPUcS9SyCI/AAAAAAABJZY/O2cdeevyN-8/s72-c/A%2B3.png)
Kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro, Charles Mkwasa amesema kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya Malawi kuwania kufuzu kwa Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018.
Mkwasa amesema kikosi chake kipo kaika hali nzuri baada ya kufanya mazoezi ya mwisho leo asubuhi ambapo wachezaji wote wapo katika hali nzuri wakiwemo wachezaji wawili Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu kutoka klabu ya TP Mazembe ya Congo DR.
“Tunatambua umuhimu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo29 Sep
Stars ya kuivaa Malawi yatajwa
KIKOSI cha timu ya soka ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kitakachoikabili Malawi, The Flames katika mechi ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2018, kimetangazwa kikiwa hakina mabadiliko na kilichoikabili Nigeria katika kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika 2017.
11 years ago
Mwananchi25 May
Stars kuivaa tena Malawi
9 years ago
Habarileo28 Oct
Twiga Stars kuivaa Malawi Novemba 7 Dar
TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) inatarajiwa kuwa na pambano la kirafiki dhidi ya wenzao wa Malawi Novemba 7, mwaka huu jijini Dar es Salaam.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dy9ynGgwNlRVtZ-ITcwInKuoAvDVGmtWcCebI-geZ3*2FKT7ec9CQjAHn*igmCvcUDuEYdID6K0jdMgoMPpeZDSxia5VzNSg/stars.jpg)
Stars kamili kuivaa Benin kesho
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aZGS82WweKg/VRbDA7m3DWI/AAAAAAAHN10/BUUnZ6wm0v4/s72-c/STARS2.jpg)
TAIFA STARS TAYARI KUWAKABILI MALAWI KESHO CCM KIRUMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-aZGS82WweKg/VRbDA7m3DWI/AAAAAAAHN10/BUUnZ6wm0v4/s1600/STARS2.jpg)
Tiketi za mchezo tayari zimeshaanza kuuzwa katika vituo vya Uwanja wa Nyamagana na uwanja wa CCM Kirumba kwa bei za sh. 5,000 kwa mzunguko, sh. 12,000 kwa jukwaa kuu na sh.20,000 kwa viti vya jukwaa kuu maalum. Taifa Stars inashika nafasi ya 100 katika...
10 years ago
Michuzi28 Mar
MALAWI WAFANYA MAZOEZI CCM KIRUMBA LEO, TAYARI KUKUTANA NA TAIFA STARS KESHO JUMAPILI
Wakibadilishana Mawazo wakati Wachezaji wa Malawi wanajifua mara ya mwisho kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jioni ya leo.
Tiketi za mchezo tayari zimeshaanza kuuzwa katika vituo vya Uwanja wa Nyamagana na uwanja wa CCM Kirumba kwa...
11 years ago
BBCSwahili19 May
Malawi:Maandalizi ya uchaguzi yakamilika
10 years ago
Vijimambo20 Sep
YANGA KUIVAA MTIBWA KESHO
![](http://www.youngafricans.co.tz/images/stories/slideshow/sl%204.jpg)
Mabingwa mara 24 wa Ligi Kuu ya Tanzania bara timu ya Young Africans kesho watashuka dimbani kucheza mchezo wa ufunguzi wa VPL 2014/2015 dhidi ya timu ya wakata miwa wa Mtibwa Sugar kutoka manungu Turinani, mchezo utakaopigwa kwenye dimba la Uwnaja wa Jamhuri mjini Morogoro. Kikosi cha Young Africans kimewasili salama leo mchana mjini Morogoro kwa Bus la klabu na kufikia...
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Brazil kuivaa Ufaransa hapo kesho