Brazil kuivaa Ufaransa hapo kesho
Timu ya Taifa ya Brazil itapepetana na Ufaransa katika mchezo wa kirafiki kwa mujibu wa kalenda ya Fifa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo20 Sep
YANGA KUIVAA MTIBWA KESHO
![](http://www.youngafricans.co.tz/images/stories/slideshow/sl%204.jpg)
Mabingwa mara 24 wa Ligi Kuu ya Tanzania bara timu ya Young Africans kesho watashuka dimbani kucheza mchezo wa ufunguzi wa VPL 2014/2015 dhidi ya timu ya wakata miwa wa Mtibwa Sugar kutoka manungu Turinani, mchezo utakaopigwa kwenye dimba la Uwnaja wa Jamhuri mjini Morogoro. Kikosi cha Young Africans kimewasili salama leo mchana mjini Morogoro kwa Bus la klabu na kufikia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dy9ynGgwNlRVtZ-ITcwInKuoAvDVGmtWcCebI-geZ3*2FKT7ec9CQjAHn*igmCvcUDuEYdID6K0jdMgoMPpeZDSxia5VzNSg/stars.jpg)
Stars kamili kuivaa Benin kesho
Kikosi cha Taifa Stars. Na Omary Mdose
KIKOSI cha Taifa Stars, kipo katika hali nzuri kuelekea kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliopo kwenye Kalenda ya Fifa unaotarajiwa kupigwa kesho Jumapili katika Uwanja wa Taifa jijini Dar. Stars iliyoingia kambini Jumatatu ya wiki hii, itamkosa mshambuliaji wake anayekipiga kwenye Klabu ya TP Mazembe ya DR Congo, Mbwana Samatta kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya goti. Katika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq1-4u*w5PSrO*jWnpCVnr8H5jGWVfZP4BIpsj6AY*Kf8EGJoQFfrWeKmfpM7ooA3F-JOWwAC3On-WsBbBLDYb5oA/YANGA.jpg?width=650)
YANGA KAMILI KUIVAA AL AHLY KESHO
Kikosi cha Yanga. Wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika Young Africans Sports Club leo usiku wamefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa El Max Haras El Hodod jijini Alexandria tayari kwa mchezo marudiano kati ya mabingwa watetezi Al Ahly. Kikosi cha Young Africans kilichowasili mchana wa leo jijni Alexandria kikitokea jijini Cairo kimefanya mazoezi katika uwanja huo utakaotumika kwa...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-pgOC1ygQn7A/VhPUcS9SyCI/AAAAAAABJZY/O2cdeevyN-8/s72-c/A%2B3.png)
STARS YAKAMILIKA KUIVAA MALAWI KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-pgOC1ygQn7A/VhPUcS9SyCI/AAAAAAABJZY/O2cdeevyN-8/s640/A%2B3.png)
Kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro, Charles Mkwasa amesema kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya Malawi kuwania kufuzu kwa Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018.
Mkwasa amesema kikosi chake kipo kaika hali nzuri baada ya kufanya mazoezi ya mwisho leo asubuhi ambapo wachezaji wote wapo katika hali nzuri wakiwemo wachezaji wawili Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu kutoka klabu ya TP Mazembe ya Congo DR.
“Tunatambua umuhimu...
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Simba yaenda Morogoro kuivaa Mtibwa Sugar kesho
>Simba imeondoka jana Dar es Salaam kuelekea mjini Morogoro tayari kwa pambano lake la Ligi Kuu dhidi ya Mtibwa Sugar litakalofanyika kesho kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CWRwFfvur*CmgJiqo*TNY0j2sFvd6zhUfERTlPqI22I1gcvagUrUor1qcEOtc0rhMN7b52M2rxiNKMy3PoV-pvBcKoVMazQa/yangateam.jpg)
YANGA KUIVAA AZAM UWANJA WA TAIFA KESHO JUMAPILI
Kikosi cha Young Africans Sports Club. Pazia la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara litafunguliwa kesho kwa mchezo wa Ngao ya Jamii kwa Young Africans kucheza na timu ya Azam FC kwenye dimba la Uwanja wa Taifa kuanzia majia ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki. Young Africans ambayo imekua na rekodi ya kufanya vizuri katika michezo ya Ngao ya Jamii, itashuka dimbani kupambana na wana lambalamba Azam FC huku ikiwa na...
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Brazil 2014: Luis Suarez yuko fiti kuivaa England leo
Mshambuliaji wa Liverpool alikuwa nje katika mchezo wa Uruguay dhidi ya Costa Rica kwa ajili ya jeraha lake la goti, lakini anatarajiwa kuanza katika mchezo wa leo dhidi ya England.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91slfaosjdzdQXHdn5R9Yis5Fm9RkHiFG9fvzffRvX-tEVSrzUPBhii2c*jezWxjvIQjcVL5tAWhE4qbblUawRDvc8/mtanijembe.jpg?width=650)
NANI MTANI JEMBE 2, YANGA KUIVAA SIMBA KESHO TAIFA
Mechi ya Nani Mtani Jembe namba 2 itafanyika kesho siku ya jumamosi katika dimba la Uwanja ambapo itawakutanisha Young Africans Sports Club dhidi ya Simba SC huku timu zote zikitarajiwa kuwatumia wachezai wao wapya zilizowasajili katika kipindi cha dirisha dogo. Kikosi cha mbrazil Marcio Maximo tayari kimeshawasajili wachezaji wawili kiungo Emerson de Oliveira kutoka nchini Brazil na mshambuliaji mkongwe na mzoefu wa hali ya...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar23 Aug
Dr Shein Kuchukuwa Form ya kugombea urais hapo kesho
Rais wa Zanzibar ambaye pia ni mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dr Ali Mohammed Shein kesho anatarajiwa kuchukuwa rasmi form ya kugombea nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu. Dr Shein amepangiwa saa […]
The post Dr Shein Kuchukuwa Form ya kugombea urais hapo kesho appeared first on Mzalendo.net.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania