Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania bara kuchuana na wenyeji Ethiopia

Hatua ya makundi ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge inahitimishwa leo kwa michezo miwili.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Jumuiya ya KOKNI Jamat ya Zanzibar yashinda Bonanza la Pasaka dhidi ya wenyeji wao wa Bara

DSC_2095

Wachezaji wa Timu ya Kokni Jamat ya Zanzibar wakiteremka kwenye boti wakitokea Dar es laam kwenye Bonanza la Pasaka ambapo wamefanikiwa kuchukuwa makombe  matatu ya mshindi wa kwanza katika michezo ya Play Station,  mpira wa meza na mpira wa miguu dhidi ya wenyeji wao. Aliebeba kombe kubwa ni Rais wa Jumuia ya Kokn Jamat ya Zanzibar Jeff Babu.

DSC_2122

Wachezaji wa Timu ya Kokni Jamat ya Zanzibar katika picha ya pamoja. 

DSC_2149

Nahodha wa Timu ya Kokni Jamat Ibrahim Dalvi (kulia) na msaidizi wake Nabil...

 

11 years ago

Michuzi

JUMUIYA YA KOKNI JAMAT YA ZANZIBAR YASHINDA BONANZA LA PASAKA ZIDI YA WENYEJI WAO WA BARA.

 Wachezaji wa Timu ya Kokni Jamat ya Zanzibar wakiteremka kwenye boti wakitokea Dar es laam kwenye Bonanza la Pasaka ambapo wamefanikiwa kuchukuwa makombe  matatu ya mshindi wa kwanza katika michezo ya Play Station,  mpira wa meza na mpira wa miguu dhidi ya wenyeji wao. Aliebeba kombe kubwa ni Rais wa Jumuia ya Kokn Jamat ya Zanzibar Jeff Babu.  Wachezaji wa Timu ya Kokni Jamat ya Zanzibar katika picha ya pamoja. Nahodha wa Timu ya Kokni Jamat Ibrahim Dalvi (kulia) na msaidizi wake Nabil...

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU BARA : Bajeti za kibabe usajili wa Tanzania Bara

Usajili wa wachezaji Ligi Kuu Tanzania Bara kwa ajili ya msimu ujao umekaa kibabe tofauti na misimu mingine.

 

9 years ago

BBCSwahili

Tanzania wenyeji Fainali Afrika - 2019

Tanzania inatarajiwa kuwa wenyeji wa fainali za Afrika za soka kwa wachezaji walio chini ya umri wa miaka 17 mwaka 2019.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uganda na Tanzania kuchuana :kriket

Tanzania kucheza na Uganda katika mechi ya ufunguzi ya michuano ya Afrika Ligi Daraja la 1 itakayofanyika mjini Benoni .

 

10 years ago

BBCSwahili

Timu nane zaTennis kuchuana Tanzania

Michuano ya tennis ya Afrika kwa watoto chini ya miaka 12, 14 na 16 itafanyika Tanzania

 

9 years ago

Habarileo

Tanzania, nyingine 17 kuchuana usafi duniani

TANZANIA imejumuishwa kwenye nchi 18 zinazoshindanishwa kwa miji yake jinsi ilivyoshiriki katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kupunguza hewa ukaa, ambapo Bara la Afrika limewakilishwa na nchi tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania kuchuana katika kuogelea Angola

Timu ya taifa ya kuogelea ya Tanzania itashiriki michuano ya Kanda ya 4 itakayofanyika Luanda, Angola mapema mwezi ujao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kriketi Vijana:Tanzania,Namibia kuchuana

Tanzania itacheza na Namibia katika mechi ya ufunguzi ya Ligi ya Kriketi ya Afrika kwa vijana wa kiume umri chini ya miaka 19

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani