Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania kuchuana katika kuogelea Angola

Timu ya taifa ya kuogelea ya Tanzania itashiriki michuano ya Kanda ya 4 itakayofanyika Luanda, Angola mapema mwezi ujao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yang’ara kuogelea

Muogeleaji  wa Tanzania, Ammaar Ghadiyali amefanikiwa kuingia hatua 16 bora ya  Michezo ya Jumuiya ya Madola baada ya kuongoza kwenye mbizi za mita 50 hapo jana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Busu katika kipindi lazua mjadala Angola

Watayarishi wa kipindi maarufu cha televisheni nchini Angola wameomba msamaha baada ya kuonyesha wanaume wawili wakipigana busu

 

10 years ago

BBCSwahili

Uganda na Tanzania kuchuana :kriket

Tanzania kucheza na Uganda katika mechi ya ufunguzi ya michuano ya Afrika Ligi Daraja la 1 itakayofanyika mjini Benoni .

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI MPYA WA ANGOLA ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON DC.

 Mhe, balozi wa Angola Agostinho Tavares akipokelewa na afisa wa ubalozi  Swahiba Mndeme alipotembelea ubalozi .
 Mhe, balozi Liberata Mulamula akiwa na furaha baada ya mgeni wake kufika ofisini .
 Mhe balozi Liberata Mulamula kwenye picha ya pamoja na mgeni wake balozi wa Angola Agostinho Tavares.
 Mhe Balozi wa Angola nchini Marekani Agostinho Tavares akiweka sahihi  kitabu cha wageni.
 Mhe balozi wa Angola chini Marekani Agostinho Tavares akimsikiliza kwa makini mwenyeji wake balozi Liberata...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kriketi Vijana:Tanzania,Namibia kuchuana

Tanzania itacheza na Namibia katika mechi ya ufunguzi ya Ligi ya Kriketi ya Afrika kwa vijana wa kiume umri chini ya miaka 19

 

9 years ago

BBCSwahili

Tanzania bara kuchuana na wenyeji Ethiopia

Hatua ya makundi ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge inahitimishwa leo kwa michezo miwili.

 

9 years ago

Habarileo

Tanzania, nyingine 17 kuchuana usafi duniani

TANZANIA imejumuishwa kwenye nchi 18 zinazoshindanishwa kwa miji yake jinsi ilivyoshiriki katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kupunguza hewa ukaa, ambapo Bara la Afrika limewakilishwa na nchi tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Timu nane zaTennis kuchuana Tanzania

Michuano ya tennis ya Afrika kwa watoto chini ya miaka 12, 14 na 16 itafanyika Tanzania

 

11 years ago

BBCSwahili

Phelps kuogelea tena.

Mshindi wa nishani nyingi za dhahabu katika mashindano ya Olimpiki Michael Phelps

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani