Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Busu katika kipindi lazua mjadala Angola

Watayarishi wa kipindi maarufu cha televisheni nchini Angola wameomba msamaha baada ya kuonyesha wanaume wawili wakipigana busu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Kipindi cha Jukwaa Langu Nov 23 2015 (MJADALA)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk John Magufuli akizindua Bunge la 11Kipindi hiki hukujia kila jumatatu kuanzia saa 11 jioni kwa saa za Marekani ya Mashariki kuijadili Tanzania ya sasa na ile tuitakayoKatika kipindi hiki tumejadili (mbali na mambo mengine) muelekeo wa serikali ya Tanzania baada ya kuzinduliwa kwa Bunge la 11.
Mjadala huu ambao ulifuata HABARI kutoka magazeti mbalimbali, umehusisha wadau toka Marekani, Canda na IndiaKaribuWaweza kutusikiliza kupitia tovuti zetu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania kuchuana katika kuogelea Angola

Timu ya taifa ya kuogelea ya Tanzania itashiriki michuano ya Kanda ya 4 itakayofanyika Luanda, Angola mapema mwezi ujao.

 

11 years ago

Michuzi

JUST IN: HALI YA HEWA KATIKA BUNGE LA KATIKA YATUAMA, MJADALA UNAENDELEA KWA BUSARA NA MAELEWANO

Ile sintofahamu iliyoibuka asubuhi wakati wa mjadala wa Rasimu ya Kanuni za Bunge Maalum mjini Dodoma imekwisha na sasa Wajumbe wanaendelea kujadili kifungu kimoja baada ya kingine kwa amani, maelewano na busara. Mwenyekiti wa muda Mhe Pandu Ameir Kificho alianza kuwatangazia wajumbe kwamba Wajumbe Mhe Christopher Ole Sendeka na Mhe Abubakar Khamis Bakari wamemaliza tofauti zao na wote wawili wamerudi Bungeni wakiwa hawana kinyongo na kwamba  mshikemshike wa asubuhi ulikuwa ni moja ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Kuganda kwa damu, tatizo linalowakumba wagonjwa wengi walio katika hali mahututi lazua hofu

Wongonjwa wengi ambao wamekuwa na tatizo la damu kuganda katika mishipa wamekuwa wakitumia dawa za kujaribu kuyeyusha damu hiyo na kufanya tatizo hilo lisilo la kawaida kuwa la kipekee.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mjadala wa Dini Katika Jamii

Katika mjadala huu, Wakenya wazungumzia nafasi ya dini katika jamii ya kisasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Vyuo vya Tanzania vyafeli katika mjadala

Vyuo vikuu vitatu vya Tanzania ambavyo vilishiriki katika mashindano ya mjadala wa Afrika vilifeli.

 

10 years ago

Vijimambo

Leo katika kipindi cha Jukwaa Langu

JUKWAA LANGU ni kipindi ambacho kitakuwa kikikujia kila JUMATATU, kinajadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015

 

10 years ago

Mtanzania

Sefue: Serikali inapita katika kipindi kigumu

Ombeni-SefueNa Jonas Mushi, Dar es Salaam

KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue amesema Serikali inapitia kipindi kigumu kutokana na mfululizo wa vifo vya mawaziri wake.

Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana baada ya kuupokea mwili wa Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Abdallah Kigoda uliowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) saa 9.00 alasiri kwa ndege ya Emirates kutoka New Delhi   India.

Alikuwa ameongozana na viongozi wengine akiwamo Spika wa Bunge, Anne Makinda, Mkuu wa...

 

11 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani