Kipindi cha Jukwaa Langu Nov 23 2015 (MJADALA)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BZrpmuGMXXs/VlPJ1tBFQjI/AAAAAAAAKL8/q4If8v0AMpk/s72-c/Uzinduzi%2Bwa%2BBunge%2Bla%2B11.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk John Magufuli akizindua Bunge la 11Kipindi hiki hukujia kila jumatatu kuanzia saa 11 jioni kwa saa za Marekani ya Mashariki kuijadili Tanzania ya sasa na ile tuitakayoKatika kipindi hiki tumejadili (mbali na mambo mengine) muelekeo wa serikali ya Tanzania baada ya kuzinduliwa kwa Bunge la 11.
Mjadala huu ambao ulifuata HABARI kutoka magazeti mbalimbali, umehusisha wadau toka Marekani, Canda na IndiaKaribuWaweza kutusikiliza kupitia tovuti zetu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UP-eiEAHvMk/VkKhwkQ62qI/AAAAAAAAKJk/luaT9Sg0zAM/s72-c/SnapShot%25285%2529.jpg)
[AUDIO]: Kipindi cha Jukwaa Langu Nov 9 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-UP-eiEAHvMk/VkKhwkQ62qI/AAAAAAAAKJk/luaT9Sg0zAM/s640/SnapShot%25285%2529.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-HSi37xNQzxc/VgHvUO_LLFI/AAAAAAAAJtY/dVwlpx66OBM/s72-c/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Kipindi cha Jukwaa Langu Sep 21 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-HSi37xNQzxc/VgHvUO_LLFI/AAAAAAAAJtY/dVwlpx66OBM/s640/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Hii ni sehemu ya kwanza ya kipindi kilichosikika Septemba 21, 2015 ambapo mbali na waongozaji Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio, pia walikuwepo Georgina Lema, NY Ibra na Dr Temba toka New York.
Kutoka Tanzania tuliungana na Richard Kasesela
Hii ni sehemu ya pili ya kipindi kilichosikika Septemba 21, 2015 ambapo mbali na waongozaji Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio, pia walikuwepo Georgina...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-hQZgHWpN4Ng/VdLitw2nqCI/AAAAAAAAJNs/hg_q_RCBu3Q/s72-c/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Kipindi cha Jukwaa Langu Agosti 17 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-hQZgHWpN4Ng/VdLitw2nqCI/AAAAAAAAJNs/hg_q_RCBu3Q/s640/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Katika kipindi hiki utasikia mjadala wetu na wageni Jeff Msangi toka Toronto Canada na Darmatus Nambai aliyehudhuria studio kuhusu DEMOKRASIA na MABADILIKO kuelekea uchaguzi nchini Tanzania
KARIBU
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1z8PFskZA7Q/Vi7fy2mRubI/AAAAAAAAJ5M/AF3-IvNc8lg/s72-c/0%252C%252C18765926_303%252C00.jpg)
Kipindi cha Jukwaa Langu Okt 26 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-1z8PFskZA7Q/Vi7fy2mRubI/AAAAAAAAJ5M/AF3-IvNc8lg/s640/0%252C%252C18765926_303%252C00.jpg)
Kipindi hiki hukujia kila JUMATATU, kujadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015Na leo, tulizungumzia Tanzania baada ya Uchaguzi wa jana Oktoba 25, 2015
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-nsni0VSAVNI/VhOTSaw5cWI/AAAAAAAAJxQ/Ci3HLU0h1qw/s72-c/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Kipindi cha JUKWAA LANGU Oct 5 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-nsni0VSAVNI/VhOTSaw5cWI/AAAAAAAAJxQ/Ci3HLU0h1qw/s640/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Katika kipindi cha wiki hii, mbali na habari mbalimbali zilizotawala vyombo vya habari, pia wasikilizaji walipata nafasi ya kutoa maoni kulingana na mambo mbalimbali yanayoendelea nchini Tanzania
KARIBU
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-aDQwMfU4EZ8/VaRct4OA02I/AAAAAAAAI6k/dKWIhLI_Q4c/s72-c/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Kipindi cha JUKWAA LANGU, Julai 13, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-aDQwMfU4EZ8/VaRct4OA02I/AAAAAAAAI6k/dKWIhLI_Q4c/s640/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Katika kipindi hiki utasikia mahojiano yetu na watu mbalimbali akiwemo Katibu Uenezi na Itikadi wa CCM Ndg. Nape Nnauye kuhusu DEMOKRASIA kuelekea uchaguzi nchini Tanzania
KARIBU
9 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-GsKliVKExyk/ViYxOg1HTzI/AAAAAAAAJ3w/lyVgaHXhFKY/s640/USIUZE%2BKADI%2BYAKO%2Bfab.jpg)
KIPINDI CHA JUKWAA LANGU OCT 19 2015
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-0PEv3ENU0iU/VdzUJlKHvYI/AAAAAAAAJQc/-KJFg3z7r4M/s72-c/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Kipindi cha JUKWAA LANGU. Jumatatu Agosti 24, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-0PEv3ENU0iU/VdzUJlKHvYI/AAAAAAAAJQc/-KJFg3z7r4M/s640/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Hii ni sehemu ya kwanza ya kipindi kilichosikika Agosti 24, 2015
Kipindi hiki hukujia kila JUMATATU, kujadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015
Hii ni sehemu ya pili ya kipindi kilichosikika Agosti 24, 2015
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-f-CGvMW3fsM/VfE1zrGW4yI/AAAAAAAAJeQ/1reyeRqZ248/s72-c/SnapShot%25284%2529.jpg)
KIPINDI CHA JUKWAA LANGU.....SEP 7 2015 (PART ONE)
![](http://1.bp.blogspot.com/-f-CGvMW3fsM/VfE1zrGW4yI/AAAAAAAAJeQ/1reyeRqZ248/s640/SnapShot%25284%2529.jpg)
Hii ni sehemu ya kwanza ya kipindi cha Septemba 7, 2017 ambapo studioni tulitembelewa na Shamis Abdul, kuwezesha mjadala.
Pia, kulikuwa na washiriki kwa njia ya simu, toka pande mbalimbali za dunia