Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Phelps kuogelea tena.

Mshindi wa nishani nyingi za dhahabu katika mashindano ya Olimpiki Michael Phelps

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ulevi wamtia mashakani Phelps

Muogeleaji bingwa wa Olimpiki nchini Marekani,Michael Phelps, amekamatwa kwa kundesha gari akiwa mlevi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi yazuia watoto kuogelea

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limepiga marufuku watoto wadogo kwenda kuogelea kipindi cha Sikukuu ya Pasaka. Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova,...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yang’ara kuogelea

Muogeleaji  wa Tanzania, Ammaar Ghadiyali amefanikiwa kuingia hatua 16 bora ya  Michezo ya Jumuiya ya Madola baada ya kuongoza kwenye mbizi za mita 50 hapo jana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini bingwa wa kuogelea

Michuano ya kuogelea ya Kanda ya 4 Afrika imemalizika mjini Luanda, Angola huku Afrika ya Kusini ikiibuka kidedea.

 

11 years ago

Michuzi

NSSF YADHAMINI KAMBI YA KUOGELEA YA WATOTO

Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), imedhamini kambi ya siku tano ya kuogelea iliyoandaliwa na Champions Rise Swimming Club. Kambi hiyo inayofanyika katika bwawa la kuogelea la shule ya Sekondari ya Shabaan Robert inaendeshwa na Kocha kutoka marekani pamoja na muogoleaji mwenye medali ya dhahabu, Penny Haynes.

Kambi hii inafanyika kwa mara ya kwanza kukiwa na muogeleaji bingwa wa dunia, Lengo likiwa ni kuwahamasisha waogeleaji wa Tanzania kufikia kiwango cha Kimataifa.


Akizungumza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania kuchuana katika kuogelea Angola

Timu ya taifa ya kuogelea ya Tanzania itashiriki michuano ya Kanda ya 4 itakayofanyika Luanda, Angola mapema mwezi ujao.

 

5 years ago

Michuzi

Bluefins yatwaa ubingwa kuogelea ya Mwanza










Waogeleaji wa klabu ya Bluefins wakishangilia baada ya kushinda mashindano ya kuogelea ya Mwanza yaliyofanyika kwenye bwawa la kuogelea la Isamilo.

**************************

Dar es Salaam. Klabu ya Bluefins ya Dar es Salaam imefanikiwa kunyakua ubingwa wa mashindano ya kuogelea ya mkoa wa Mwanza yajulikanayo kwa jina la Isamilo swimming championships.
Kwa ushindi huo, Bluefins inakuwa klabu pekee Tanzania kufanikiwa kutwaa ubingwa mara mbili katika mashindano matatu yaliyokwisha fanyika...

 

9 years ago

Global Publishers

Kajala: Mwanangu Paula ni mlevi wa kuogelea

IMG_4058
Mtoto wa msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja, Paula Paul akiwa anaogelea na mwenzie.

Musa Mateja

Mtoto wa msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja, Paula Paul anadaiwa kuwa mlevi wa kuogelea ambapo kila wikiendi amekuwa akimlazimisha mama yake ampeleke bichi.

Mtu wa karibu wa Kajala aliyeomba jina lake lisiandikwe gazetini aliliambia Ijumaa kuwa, Paula amekuwa akimsumbua mama yake ampeleke bichi kila ifikapo mwisho wa wiki.

IMG_4092“Yaani yule mtoto ni mlevi wa kuogelea, kila wikiendi lazima...

 

11 years ago

Mwananchi

Timu ya Taifa ya Kuogelea yashindwa kuingia kambini

Wakati msafara wa mwisho wa timu za Tanzania zinazokwenda kuweka kambi nje ya nchi ukiwa umeshaondoka jana kwenda New Zealand, timu ya Taifa ya Kuogelea imeshindwa kujiunga na kambi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani