NSSF YADHAMINI KAMBI YA KUOGELEA YA WATOTO
Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), imedhamini kambi ya siku tano ya kuogelea iliyoandaliwa na Champions Rise Swimming Club. Kambi hiyo inayofanyika katika bwawa la kuogelea la shule ya Sekondari ya Shabaan Robert inaendeshwa na Kocha kutoka marekani pamoja na muogoleaji mwenye medali ya dhahabu, Penny Haynes.
Kambi hii inafanyika kwa mara ya kwanza kukiwa na muogeleaji bingwa wa dunia, Lengo likiwa ni kuwahamasisha waogeleaji wa Tanzania kufikia kiwango cha Kimataifa.
Akizungumza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Polisi yazuia watoto kuogelea
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limepiga marufuku watoto wadogo kwenda kuogelea kipindi cha Sikukuu ya Pasaka. Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova,...
10 years ago
MichuziNSSF YADHAMINI MASHINDANO YA SHIMISEMITA MKOANI MOROGORO
Katika mashindano hayo NSSF imepata fursa ya kutoa elimu kuhusu Mafao mbalimabli yatolewayo na Shirika hilo ikiwemo Mango mpya kwa ajili ya Wakulima na Wachimbaji wadogo wa Madini.
Katika mpango huo, Wakulima sasa wanaweza kujiunga na NSSF na kufaidika na Mafao mbalimbali yanayotolewa na...
11 years ago
Michuzi
NSSF YADHAMINI PAMBANO LA SIMBA NA NDANDA FC MKOANI MTWARA



Kwa habari kamili na...
11 years ago
MichuziNSSF YADHAMINI BONANZA LA MICHEZO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
9 years ago
MichuziNSSF YADHAMINI BONANZA LA MICHEZO LA CHUO CHA IFM
9 years ago
Michuzi
NSSF YADHAMINI TAMASHA LA KUSOMA VITABU WANAFUZNI WA SHULE ZA MSINGI

11 years ago
MichuziNSSF YADHAMINI NA KUSHIRIKI KONGAMANO LA CHAMA CHA MAAFISA RASILIMALI WATU
11 years ago
Michuzi
NSSF YAENDELEA NA KAMBI ZA UPIMAJI AFYA KANDA YA ZIWA
Shirika la Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), linaendesha kambi za upimaji wa Afya bure kwa wakazi wa kanda ya ziwa kwa kipindi cha mwezi mmoja.
Lengo la kambi hizi ni kuweza kutoa elimu na kuwahamasisha wanachama wa NSSF na wananchi kwa ujumla waweze kujenga tabia ya kupima afya zao mara kwa mara na kujiwekea mfumo bora wa maisha ili kuepukana na magonjwa sugu yasiyoambukiza.
Zoezi ambalo lilianzia mkoa wa Mara na kupata mwitiko mkubwa wa wakazi wa Mara kwa kupima...
11 years ago
Michuzi
NSSF YAENDESHA KAMBI ZA UPIMAJI WA AFYA BURE KANDA YA ZIWA
Shirika la Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), limeendesha kambi za upimaji wa Afya Bure kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa kwa kipindi cha mwezi mmoja.
Lengo la kambi hizi ni kuweza kutoa elimu na kuwahamasisha wanachama wa NSSF na wananchi kwa ujumla waweze kujenga tabia ya kupima afya zao mara kwa mara na kujiwekea mfumo bora wa maisha ili kuepukana na magonjwa sugu yasiyoambukiza.
Zoezi hili litaanzia mkoa wa Mara, Manispaa ya Musoma kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Mkendo, kuanzia...