Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AMUCTA kidedea bonanza la Pasaka

TIMU ya Chuo Kikuu Cha Mtakatifu Agustino tawi la Tabora (AMUCTA), imeibuka kidedea katika bonanza maalumu la Pasaka la mchezo wa wavu lililofanyika hivi karibuni katika Uwanja wa Chuo cha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

JUMUIYA YA KOKNI JAMAT YA ZANZIBAR YASHINDA BONANZA LA PASAKA ZIDI YA WENYEJI WAO WA BARA.

 Wachezaji wa Timu ya Kokni Jamat ya Zanzibar wakiteremka kwenye boti wakitokea Dar es laam kwenye Bonanza la Pasaka ambapo wamefanikiwa kuchukuwa makombe  matatu ya mshindi wa kwanza katika michezo ya Play Station,  mpira wa meza na mpira wa miguu dhidi ya wenyeji wao. Aliebeba kombe kubwa ni Rais wa Jumuia ya Kokn Jamat ya Zanzibar Jeff Babu.  Wachezaji wa Timu ya Kokni Jamat ya Zanzibar katika picha ya pamoja. Nahodha wa Timu ya Kokni Jamat Ibrahim Dalvi (kulia) na msaidizi wake Nabil...

 

11 years ago

Dewji Blog

Jumuiya ya KOKNI Jamat ya Zanzibar yashinda Bonanza la Pasaka dhidi ya wenyeji wao wa Bara

DSC_2095

Wachezaji wa Timu ya Kokni Jamat ya Zanzibar wakiteremka kwenye boti wakitokea Dar es laam kwenye Bonanza la Pasaka ambapo wamefanikiwa kuchukuwa makombe  matatu ya mshindi wa kwanza katika michezo ya Play Station,  mpira wa meza na mpira wa miguu dhidi ya wenyeji wao. Aliebeba kombe kubwa ni Rais wa Jumuia ya Kokn Jamat ya Zanzibar Jeff Babu.

DSC_2122

Wachezaji wa Timu ya Kokni Jamat ya Zanzibar katika picha ya pamoja. 

DSC_2149

Nahodha wa Timu ya Kokni Jamat Ibrahim Dalvi (kulia) na msaidizi wake Nabil...

 

10 years ago

Vijimambo

NSSF Yashinda Bonanza la Pasaka Zanzibar Mpira wa Miguu Netiboli Yashinda ZSSF

Viongozi wa ZSSF na NSSF wakiwa katika uwanja wa Amaan tayari kwa kwenda kukagua timu hizio kabla ya mchezo wao wa Tamasha la Michezo la OPasaka lililofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya NSSF imeshinda kwa matuta 4--3. Viongozi wa ZSSF na NSSF wakiwa katika uwanja wa Amaan tayari kwa kwenda kukagua timu hizio kabla ya mchezo wao wa Tamasha la Michezo la OPasaka lililofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya NSSF imeshinda kwa matuta 4--3. Kamisaa wa mchezo wa kirafiki kati ya ZSSF na...

 

10 years ago

GPL

MTOKO WA PASAKA WA GWT ULIVYOFANA SIKUKUU YA PASAKA

Waimbaji wa Glorious Worship Team (GWT) wakiwa stejini wakati wa kumsifu Mungu na kumwabudu. Glorious Worship Team wakizidi kumwabudu Mungu katika Ukumbi wa Victoria Petrol Station. Mpiga gitaa la sauti nzito (base) wa GWT, Emmanuel Materu akicharaza gitaa hilo. Pembeni yake ni…

 

11 years ago

Michuzi

KAPOTIVE STAR SINGERS-BUKOBA KUFANYA TAMASHA LA PASAKA LINA'S CLUB, PASAKA PILI NI KATIKA MJI WA BIHARAMULO

Kikundi mahiri cha KAPOTIVE Star Singers- Bukoba,Wanayo furaha kuwatangazia kuwa kwa mapenzi ya Mungu, Tar. 20/04/2014 sikukuu ya Pasaka watakuwa na tamasha la Pasaka LINA’S CLUB -Bukoba, kuanzia saa 9 mchana hadi 2 usiku na kesho yake tar. 21/04/2014 Watakuwa katika mji wa Biharamulo. 
 Mratibu wa Tamasha hilo Bw. Andrew Kagya amesema kuwa Mwimbaji mgeni (Guest singer) atakuwa Flora Mbasha na kundi lake zima kutoka jijini Dar es Salaam na pia Kutakuwepo kwaya mbalimbali za RC, KKKT na...

 

9 years ago

Mtanzania

Lowassa kidedea

2*Aongoza kwa asilimia 54.5

*Asema Serikali dhaifu imesababisha migogoro

 

NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM

 

UTAFITI mpya uliofanywa na Taasisi ya Tanzania Development Initiative (TADIP) umeonyesha mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, angeshinda kwa asilimia 54.5 kama Uchaguzi Mkuu ungefanyika ndani ya wiki tatu za Septemba mwaka huu huku mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli, angepata asilimia 40.

 

Matokeo ya utafiti huo yametolewa ikiwa ni siku chache baada ya wiki hii Taasisi ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hispania kidedea

Harakati za kwenye michuano ya soka ya mataifa bara la Ulaya ziliendelea tena usiku wa kuamkia leo

 

9 years ago

Mwananchi

Ukawa kidedea

Hatimaye amri iliyowekwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza ya kuzuia shughuli ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo imetenguliwa na Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, sasa ataagwa kwa heshima zote jijini hapa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yaibuka kidedea

Didier Drogba ameweza kuisaidia Chelsea kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Shrewsbury.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani