AMUCTA kidedea bonanza la Pasaka
TIMU ya Chuo Kikuu Cha Mtakatifu Agustino tawi la Tabora (AMUCTA), imeibuka kidedea katika bonanza maalumu la Pasaka la mchezo wa wavu lililofanyika hivi karibuni katika Uwanja wa Chuo cha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1xR1TCssAbM/U1Vmck9HL_I/AAAAAAAFcM4/3EN6tIr62Rs/s72-c/unnamed+(14).jpg)
JUMUIYA YA KOKNI JAMAT YA ZANZIBAR YASHINDA BONANZA LA PASAKA ZIDI YA WENYEJI WAO WA BARA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1xR1TCssAbM/U1Vmck9HL_I/AAAAAAAFcM4/3EN6tIr62Rs/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--erK5ZdVzYc/U1VmdgAeEnI/AAAAAAAFcM8/ZUHTx36PGhQ/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pykTzHSGnHU/U1VmdcD7PuI/AAAAAAAFcNE/U1jMY_FlxEA/s1600/unnamed+(16).jpg)
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Jumuiya ya KOKNI Jamat ya Zanzibar yashinda Bonanza la Pasaka dhidi ya wenyeji wao wa Bara
Wachezaji wa Timu ya Kokni Jamat ya Zanzibar wakiteremka kwenye boti wakitokea Dar es laam kwenye Bonanza la Pasaka ambapo wamefanikiwa kuchukuwa makombe matatu ya mshindi wa kwanza katika michezo ya Play Station, mpira wa meza na mpira wa miguu dhidi ya wenyeji wao. Aliebeba kombe kubwa ni Rais wa Jumuia ya Kokn Jamat ya Zanzibar Jeff Babu.
Wachezaji wa Timu ya Kokni Jamat ya Zanzibar katika picha ya pamoja.
Nahodha wa Timu ya Kokni Jamat Ibrahim Dalvi (kulia) na msaidizi wake Nabil...
10 years ago
VijimamboNSSF Yashinda Bonanza la Pasaka Zanzibar Mpira wa Miguu Netiboli Yashinda ZSSF
10 years ago
GPLMTOKO WA PASAKA WA GWT ULIVYOFANA SIKUKUU YA PASAKA
11 years ago
Michuzi16 Apr
KAPOTIVE STAR SINGERS-BUKOBA KUFANYA TAMASHA LA PASAKA LINA'S CLUB, PASAKA PILI NI KATIKA MJI WA BIHARAMULO
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/mu4i9qV6CtseExo4S14E9FBdDx5E-RTJ9mPA0B981EEOuuU3JgCFA-h2xtNWQXXAm7Z2tK6HCsSXZZms6zvveMMhOD-H1JmgY6494wyFqSzldt5DiztBYKt9Vy1QzDEJuxUeGhVmQBWcDJ1EcyIq2cCGxHvCgovmtQLE0YaIQbmiX5rplWqp-0tP5F7QuCvMXAkQbSMOrqdavTIZUqzuWgvfHl-S9pPDP0tSQf4Z4ItaKN4uW8ed5DcZZvblwhZhvqUfH6ko2G6FTQftFCef2FTd5oD6sBOcpF91VY02BGsV3xoijj4zDXGRKiGi3IWlMUs_DKktLZtweVOaYSN2RqDMsb7BEP0=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-zcKVjNsVVhQ%2FU01Q1lx2slI%2FAAAAAAAAVkM%2FuxQON5LjPVk%2Fs1600%2Fkapotive%2B2000.png&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Mratibu wa Tamasha hilo Bw. Andrew Kagya amesema kuwa Mwimbaji mgeni (Guest singer) atakuwa Flora Mbasha na kundi lake zima kutoka jijini Dar es Salaam na pia Kutakuwepo kwaya mbalimbali za RC, KKKT na...
9 years ago
Mtanzania26 Sep
Lowassa kidedea
*Aongoza kwa asilimia 54.5
*Asema Serikali dhaifu imesababisha migogoro
NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
UTAFITI mpya uliofanywa na Taasisi ya Tanzania Development Initiative (TADIP) umeonyesha mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, angeshinda kwa asilimia 54.5 kama Uchaguzi Mkuu ungefanyika ndani ya wiki tatu za Septemba mwaka huu huku mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli, angepata asilimia 40.
Matokeo ya utafiti huo yametolewa ikiwa ni siku chache baada ya wiki hii Taasisi ya...
10 years ago
BBCSwahili13 Oct
Hispania kidedea
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Ukawa kidedea
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Chelsea yaibuka kidedea