Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa kidedea

Hatimaye amri iliyowekwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza ya kuzuia shughuli ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo imetenguliwa na Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, sasa ataagwa kwa heshima zote jijini hapa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Lowassa kidedea

2*Aongoza kwa asilimia 54.5

*Asema Serikali dhaifu imesababisha migogoro

 

NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM

 

UTAFITI mpya uliofanywa na Taasisi ya Tanzania Development Initiative (TADIP) umeonyesha mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, angeshinda kwa asilimia 54.5 kama Uchaguzi Mkuu ungefanyika ndani ya wiki tatu za Septemba mwaka huu huku mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli, angepata asilimia 40.

 

Matokeo ya utafiti huo yametolewa ikiwa ni siku chache baada ya wiki hii Taasisi ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hispania kidedea

Harakati za kwenye michuano ya soka ya mataifa bara la Ulaya ziliendelea tena usiku wa kuamkia leo

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yaibuka kidedea

Didier Drogba ameweza kuisaidia Chelsea kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Shrewsbury.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mansour Kidedea Chukwani

The post Mansour Kidedea Chukwani appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

GPL

YANGA WAIBUKA KIDEDEA

Kikosi cha timu ya Yanga SC. Kikosi cha timu ya Al Ahly. Mashabiki wa timu ya yanga wakiendelea…

 

11 years ago

GPL

GLOBAL FC WAIBUKA KIDEDEA

Kikosi cha Global FC kikiwa katika picha ya pamoja. Kikosi cha Salasala Veteran katika picha ya pamoja.…

 

10 years ago

Michuzi

UPDATES YA UKAWA USIKU HUU: MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUTANGAZWA NDANI YA SIKU SABA

Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA umesema kuwa mgombea wao wa Urais watamtoa baada ya siku saba.
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao  wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu  kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

10 years ago

Mwananchi

Simba Kidedea, yaichaya Yanga 1-0

Timu ya Simba SC ya jijini Dar es Salaam, leo imeendeleza ubabe dhidi ya Yanga SC baada ya kuifunga goli 1-0 goli lililowekwa kimiani na mshambuliaji Emmanuel Okwi katika dakika ya 53 kipindi cha pili

 

10 years ago

BBCSwahili

Lewis Hamilton aibuka kidedea

Lewis Hamilton ameshinda mbio za Abu Dhabi Grand Prix,na kumfanya dreva huyo wa Formula One kuwa mshindi kwa mara ya pili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani