Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa kidedea

2*Aongoza kwa asilimia 54.5

*Asema Serikali dhaifu imesababisha migogoro

 

NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM

 

UTAFITI mpya uliofanywa na Taasisi ya Tanzania Development Initiative (TADIP) umeonyesha mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, angeshinda kwa asilimia 54.5 kama Uchaguzi Mkuu ungefanyika ndani ya wiki tatu za Septemba mwaka huu huku mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli, angepata asilimia 40.

 

Matokeo ya utafiti huo yametolewa ikiwa ni siku chache baada ya wiki hii Taasisi ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”


HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO Hamfrey Polepole na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa wamekabana kwa hoja kali kuhusu uamuzi wa Chadema na Ukawa kwa ujumla kumpokea Edward Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea Urais.Polepole na Msigwa walikutana jana katika kipindi cha ‘Mada Moto’ kinachorushwa na kituo cha runinga cha Chanel Ten kujadili mada iliyotajwa kama ‘Lowassa Ndani ya CCM’.Polepole alionesha msimamo wake wa kumkataa Edward Lowassa kuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hispania kidedea

Harakati za kwenye michuano ya soka ya mataifa bara la Ulaya ziliendelea tena usiku wa kuamkia leo

 

9 years ago

Mwananchi

Ukawa kidedea

Hatimaye amri iliyowekwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza ya kuzuia shughuli ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo imetenguliwa na Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, sasa ataagwa kwa heshima zote jijini hapa.

 

11 years ago

GPL

YANGA WAIBUKA KIDEDEA

Kikosi cha timu ya Yanga SC. Kikosi cha timu ya Al Ahly. Mashabiki wa timu ya yanga wakiendelea…

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mansour Kidedea Chukwani

The post Mansour Kidedea Chukwani appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yaibuka kidedea

Didier Drogba ameweza kuisaidia Chelsea kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Shrewsbury.

 

11 years ago

GPL

GLOBAL FC WAIBUKA KIDEDEA

Kikosi cha Global FC kikiwa katika picha ya pamoja. Kikosi cha Salasala Veteran katika picha ya pamoja.…

 

11 years ago

Mwananchi

Zitto aibuka kidedea mahakamani

Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe ameshinda maombi yake dhidi ya chama hicho mahakamani.

 

9 years ago

Mwananchi

Magazeti ya Mwananchi kidedea tena

Kwa mara nyingine, magazeti ya Mwananchi yameibuka kinara kwa kuandika habari za uchaguzi bila upendeleo, kwa kuzingatia weledi na kuwapa wananchi nafasi ya kuzungumza na wagombea wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani