Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cameroun yashinda licha ya mejeraha

Cameroun ilisajili ushindi wa 2-0 dhidi ya Macedonia licha ya kukumbwa na majeraha

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

NSSF Yashinda Bonanza la Pasaka Zanzibar Mpira wa Miguu Netiboli Yashinda ZSSF

Viongozi wa ZSSF na NSSF wakiwa katika uwanja wa Amaan tayari kwa kwenda kukagua timu hizio kabla ya mchezo wao wa Tamasha la Michezo la OPasaka lililofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya NSSF imeshinda kwa matuta 4--3. Viongozi wa ZSSF na NSSF wakiwa katika uwanja wa Amaan tayari kwa kwenda kukagua timu hizio kabla ya mchezo wao wa Tamasha la Michezo la OPasaka lililofanyika uwanja wa Amaan Zanzibar. Timu ya NSSF imeshinda kwa matuta 4--3. Kamisaa wa mchezo wa kirafiki kati ya ZSSF na...

 

10 years ago

Michuzi

charles hilary ana kwa ana na kipa wa cameroun joseph-antoine bell jijini Malabo, equatorial guinea

 Mtangazaji mashuhuri wa BBC Swahili Charles Hilary (kati) akiwa na kipa wa zamani wa timu ya Taifa ya Cameroun na klabu ya Marseille ya Ufaransa Joseph-Antoine  Bell pamoja na kocha wa Congo Brazaville Claude Le Roy walipokutana jijini Malabo, Equatorial Guinea kwenye michuzo ya kombe la Afrika. Bell ameshacheza katika michuzno ya kombe la dunia mara tatu (1982, 1990, 1994), na pia kwenye michuano ya Olimpiki 1984 Summer Olympics na kwenye kombe la African Cup of Nations. Mengi kumhusu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tutanunua wachezaji licha ya vikwazo

Mabingwa Manchester City itanunua wachezaji licha ya faini ya UEFA

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yaishambulia IS licha ya onyo

Majeshi ya Marekani wameendelea kuishambulia maeneo yanayokaliwa na kundi la Islamic State licha ya onyo

 

10 years ago

BBCSwahili

Nkurunziza kugombea licha ya pingamizi

Pierre Nkurunziza ameteuliwa na chama chake kugombea nafasi ya urais kwa awamu ya tatu katika uchaguzi mkuu wa mwezi June mwaka huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga ilijituma licha ya kufungwa

Hans Pluijm amesema licha ya kufungwa na Etoile du Sahel nchini Tunisia,wachezaji wake wamejituma uwanjani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kocha:Tumejifunza licha ya kushindwa

Kocha wa kriketi wa Tanzania amesema kikosi chake kimepata uzoefu na kujifunza mengi wakati wa michuano ya vijana chini ya miaka 19 ya kufuzu kucheza kombe la Dunia .

 

10 years ago

BBCSwahili

Wema:azomewa licha ya Kujieleza

Muigizaji maarafu wa filamu nchini Tanzania,Wema Sepetu alizomewa kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram

 

9 years ago

BBCSwahili

Chelsea yamtetea Mourinho licha ya masaibu

Chelsea imesema inamuunga mkono meneja Jose Mourinho licha ya kukumbana na mwanzo mbaya zaidi wa ligi tangu 1978-79.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani