Nkurunziza kugombea licha ya pingamizi
Pierre Nkurunziza ameteuliwa na chama chake kugombea nafasi ya urais kwa awamu ya tatu katika uchaguzi mkuu wa mwezi June mwaka huu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
PIERRE NKURUNZIZA ATANGAZA RASMI KUGOMBEA URAIS
10 years ago
GPL
VURUGU ZAZUKA NCHINI BURUNDI BAADA YA RAIS NKURUNZIZA KUTEULIWA KUGOMBEA TENA URAIS
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Pierre Nkurunziza: Nani anaiongoza Burundi baada ya kifo cha Nkurunziza?
11 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Pingamizi la Mbowe hewa
MKURUGENZI wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uratibu wa Kanda wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Benson Kigaila, amesema ofisi ya Katibu Mkuu wa chama hicho haijapokea pingamizi lolote kutoka kwa...
10 years ago
GPL
Vijana wapiganie sasa haki ya kugombea urais, Vijana wasisubiri wazee wawaruhusu kugombea urais
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Mgombea CHADEMA awekewa pingamizi
MGOMBEA wa ubunge Jimbo la Chalinze kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Fabian Skauk, amewasilisha pingamizi kwa msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo, Samweli Sarianga, dhidi ya mgombea wa Chama cha...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Pingamizi katika maombi ya mirathi — 2
WIKI iliyopia nilisema kwamba ni muhimu kutoa tangazo la mirathi katika gazeti la serikali (Ndani ya kipindi cha siku 90 au pungufu), au taarifa ya kawaida (ndani ya kipindicha siku...
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Mahakama yatupa pingamizi la Majura
11 years ago
Mtanzania08 Sep
Mbowe awekewa pingamizi Chadema

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe
Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amewekewa pingamizi la kutogombea nafasi hiyo kwa awamu ya tatu kwa madai ya kukiuka katiba ya chama hicho na maagizo ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini.
Pingamizi hilo limewekwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Tabora, Kansa Mbarouk, ambaye pia ni mgombea wa nafasi hiyo.
Barua ya Mbarouk yenye kumbukumbu namba Mbarouk/UCH/14 kwenda kwa...