Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbowe awekewa pingamizi Chadema

Freeman Mbowe

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe

Elizabeth Hombo, Dar es Salaam

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amewekewa pingamizi la kutogombea nafasi hiyo kwa awamu ya tatu kwa madai ya kukiuka katiba ya chama hicho na maagizo ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini.

Pingamizi hilo limewekwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Tabora, Kansa Mbarouk, ambaye pia ni mgombea wa nafasi hiyo.

Barua ya Mbarouk yenye kumbukumbu namba  Mbarouk/UCH/14 kwenda kwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mgombea CHADEMA awekewa pingamizi

MGOMBEA wa ubunge Jimbo la Chalinze kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Fabian Skauk, amewasilisha pingamizi kwa msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo, Samweli Sarianga, dhidi ya mgombea wa Chama cha...

 

11 years ago

Habarileo

Mgombea Chadema awekewa pingamizi Chalinze

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Chalinze kupitia Chadema, Mathayo Torongey, amewekewa pingamizi na mgombea wa CUF, Fabian Skauki, akidaiwa kuwa pamoja na mambo mengine, hajui kusoma na kuandika Kiswahili wala Kiingereza. Mgombea mwingine katika uchaguzi huo ni Ridhiwani Kikwete, ambaye anagombea kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

9 years ago

Mwananchi

Profesa Maghembe awekewa pingamizi

Wakati kampeni zikianza, wagombea mbalimbali wamewekewa pingamizi huku baadhi ya majina yakipita bila kupingwa kwa vyama mbalimbali.

 

9 years ago

Habarileo

Mshauri wa Maalim Seif awekewa pingamizi Zanzibar

MANSOUR Yussuf Himid ambaye ni mshauri wa siasa wa mgombea wa nafasi ya urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, amewekewa pingamizi na mgombea wa CCM kwa madai ya kuwasilisha taarifa za uongo katika makosa yanayomkabili ya kukamatwa na silaha.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Pingamizi la Mbowe hewa

MKURUGENZI wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uratibu wa Kanda wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Benson Kigaila, amesema ofisi ya Katibu Mkuu wa chama hicho haijapokea pingamizi lolote kutoka kwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Msajili: Pingamizi la Mbowe, matokeo ya kunipuuza

Freeman Mbowe

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe

PATRICIA KIMELEMETA NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM

SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kuwekewa pingamizi la kutogombea nafasi hiyo kwa awamu ya tatu, Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, amesema kinachotokea kwenye chama hicho ni matokeo ya kupuuza ushauri wake.

Mbowe amewekewa pingamizi na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Tabora, Kansa Mbarouk, ambaye pia ni mgombea wa nafasi...

 

9 years ago

Habarileo

Pingamizi la Chadema Singida lakosa mashiko

PINGAMIZI lililokuwa limewekwa na mgombea wa ubunge Jimbo la Singida Mjini kupitia Chadema dhidi ya mgombea wa CCM limetupiliwa mbali kutokana na kukosa mashiko.

 

11 years ago

Mwananchi

Pingamizi la Chadema Kalenga latupiliwa mbali

Pingamzi lililowekwa juzi na mgombea wa Chadema dhidi ya mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM, Godfrey Mgimwa limetupiliwa mbali baada ya mgombea huyo wa CCM kuwasilisha nyaraka mbalimbali zinazothibitisha uraia wake kwa msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Kalenga, Pudenciana Kisaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani