Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msajili: Pingamizi la Mbowe, matokeo ya kunipuuza

Freeman Mbowe

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe

PATRICIA KIMELEMETA NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM

SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kuwekewa pingamizi la kutogombea nafasi hiyo kwa awamu ya tatu, Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, amesema kinachotokea kwenye chama hicho ni matokeo ya kupuuza ushauri wake.

Mbowe amewekewa pingamizi na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Tabora, Kansa Mbarouk, ambaye pia ni mgombea wa nafasi...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Pingamizi la Mbowe hewa

MKURUGENZI wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uratibu wa Kanda wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Benson Kigaila, amesema ofisi ya Katibu Mkuu wa chama hicho haijapokea pingamizi lolote kutoka kwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Mbowe awekewa pingamizi Chadema

Freeman Mbowe

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe

Elizabeth Hombo, Dar es Salaam

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amewekewa pingamizi la kutogombea nafasi hiyo kwa awamu ya tatu kwa madai ya kukiuka katiba ya chama hicho na maagizo ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini.

Pingamizi hilo limewekwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Tabora, Kansa Mbarouk, ambaye pia ni mgombea wa nafasi hiyo.

Barua ya Mbarouk yenye kumbukumbu namba  Mbarouk/UCH/14 kwenda kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Msajili: Mbowe, Dk Slaa hawana sifa kugombea tena Chadema

>Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imesema  Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, Dk Willibrod Slaa hawana sifa za kugombea tena uongozi wa chama hicho kwa kuwa wanabanwa na katiba yao.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Matokeo yamtikisa Mbowe



Mrema, Mbatia wapotezanaEscrow sasa yamliza KafulilaNape: Hizo ni salamu kwa wapinzani  
HALI si shwari kwa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuzoea viti vingi kwenye maeneo ambayo ni ngome za vigogo wa umoja huo.
Mkoa wa Kilimanjaro, ambako wanatoka Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa NCCR-MAGEUZI, James Mbatia, wameangukia pua na kuondoka kimya kimya kurejea Dar es Salaam, baada ya matokeo kutangazwa.
Mbatia, ambaye...

 

9 years ago

Mtanzania

Mbowe: Taratibu zikikiukwa tutakataa matokeo

DSC_4901SHABANI MATUTU NA MAULI MUYENJWA, DAR ES SALAAM

MWENYEKITI mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Freeman Mbowe, amesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), hakitakubali matokeo ya uchaguzi mkuu kama kutakuwa na ukiukwaji wa taratibu.

Alitoa msimamo huo jana jijini Dar es Salaam wakati wa shughuli ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti

mwenza wa Ukawa, Dk. Emmanuel Makaidi, aliyefariki dunia mwanzoni mwa wiki mkoani Lindi.

Mbowe ambaye pia ni mwenyekiti wa Chadema, alisema...

 

10 years ago

Vijimambo

Lowassa aongoza.Wafuatia Slaa, Magufuli, Membe, Makamba, Lipumba, Mbowe, Zitto, Ni matokeo ya utafiti mikoa 18.

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa.
Nyota ya Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa, imeendelea kung’aa baada ya Taasisi ya Samunge Social Sciences Research Center (SSSRC), kufanya utafiti na kubaini kuwa kiongozi huyo ni chaguo la kwanza kwa wananchi.

Utafiti huo uliofanywa miaka miwili kuanzia 2013 hadi 2015, unaonyesha Lowassa anaongoza kwa asilimia 20.7 dhidi ya wagombea 31.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AWAAPISHA MSAJILI WA MAHAKAMA YA RUFAA NA MSAJILI WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA.

 Mhe. John Lugalema  Kahyoza akila kiapo mbele ya Rais Jakaya kikwete baada ya kuteuliwa kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufaa mapema hii leo Ikulu jijini Dar es Salaam, awali mhe. Kahyoza alikuwaMsajili Mahakama Kuu ya Tanzania. Mhe. Katarina Tengia Revocati akila kiapo mbele ya Rais Jakaya kikwete baada ya kuteuliwa kuwa Msajili Mkuu  wa Mahakama  mapema hii leo Ikulu jijini Dar es Salaam, awali  Mhe. Katarina alikuwa Msajili wa Mahakama ya rufani.Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya...

 

10 years ago

Michuzi

MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA

 Sehemu ya Wajumbe wa Mkutano  mkuu wa chadema Wakicheza kwa furaha muda mfupi baada ya matokeo ya Uchaguzi kwenye Mkutano Mkuu Kutangazwa Usiku huu Freeman Mbowe akiwashukuru wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA  kwa kumchagua tena kushika nafasi ya mwenyekiti Mshindi wa nafasi ya mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akipongezwa na Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa Makamu  Mwenyekiti wa Chadema Bara Profesa Abdallah Safari(Kulia)na Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe wakipungia kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Lemutuz: Aliyevuruga Matokeo ya Jana Tuzo za Watu Yupo Busy Pia Kuvuruga Matokeo ya KTMA, Nitamtaja Laivu


lemutuz_nation 'Well, huwa ninaongea na FACTS with EVIDENCE toka jana Usiku nimesema I smell fish kama nilivyo smell Fishy kwenye matokeo ya Miss Tanzania ya Mwaka jana kuna wajinga akili ndogo walioanza kunirushia matusi LE AKILI KUBWAZZZZ now ninasema jana HAKI HAIKUTENDEKA kuna wanaojaribu kuninyamazisha na matusi...great ninarudia tena sikuenda Shule kuwa mjinga so toka jana niliingia kwenye uchunguzi wa FACTS and EVIDENCE of WHO IS BEHIND LAST NIGHT MESS tayari nimeshaanza kupata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani