Mbowe: Taratibu zikikiukwa tutakataa matokeo
SHABANI MATUTU NA MAULI MUYENJWA, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Freeman Mbowe, amesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), hakitakubali matokeo ya uchaguzi mkuu kama kutakuwa na ukiukwaji wa taratibu.
Alitoa msimamo huo jana jijini Dar es Salaam wakati wa shughuli ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti
mwenza wa Ukawa, Dk. Emmanuel Makaidi, aliyefariki dunia mwanzoni mwa wiki mkoani Lindi.
Mbowe ambaye pia ni mwenyekiti wa Chadema, alisema...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Dec
Matokeo yamtikisa Mbowe
Mrema, Mbatia wapotezanaEscrow sasa yamliza KafulilaNape: Hizo ni salamu kwa wapinzani
HALI si shwari kwa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuzoea viti vingi kwenye maeneo ambayo ni ngome za vigogo wa umoja huo.
Mkoa wa Kilimanjaro, ambako wanatoka Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa NCCR-MAGEUZI, James Mbatia, wameangukia pua na kuondoka kimya kimya kurejea Dar es Salaam, baada ya matokeo kutangazwa.
Mbatia, ambaye...
10 years ago
Mtanzania09 Sep
Msajili: Pingamizi la Mbowe, matokeo ya kunipuuza
![Freeman Mbowe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Freeman-Mbowe.jpg)
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe
PATRICIA KIMELEMETA NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kuwekewa pingamizi la kutogombea nafasi hiyo kwa awamu ya tatu, Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, amesema kinachotokea kwenye chama hicho ni matokeo ya kupuuza ushauri wake.
Mbowe amewekewa pingamizi na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Tabora, Kansa Mbarouk, ambaye pia ni mgombea wa nafasi...
10 years ago
Vijimambo27 May
Lowassa aongoza.Wafuatia Slaa, Magufuli, Membe, Makamba, Lipumba, Mbowe, Zitto, Ni matokeo ya utafiti mikoa 18.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowasa-27May2015.jpg)
Nyota ya Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa, imeendelea kung’aa baada ya Taasisi ya Samunge Social Sciences Research Center (SSSRC), kufanya utafiti na kubaini kuwa kiongozi huyo ni chaguo la kwanza kwa wananchi.
Utafiti huo uliofanywa miaka miwili kuanzia 2013 hadi 2015, unaonyesha Lowassa anaongoza kwa asilimia 20.7 dhidi ya wagombea 31.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Michuzi15 Sep
MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VwjPajbyPYM/VBYGNHuHZnI/AAAAAAADDa8/w_3TshBHAoo/s1600/WP_20140914_21_58_12_Pro__highres.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-HG5Aa9bQe-c/VBYGNwW5hgI/AAAAAAADDbI/0LaVyaK69RA/s1600/WP_20140914_22_03_19_Pro.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-zkazILlqtYY/VBYGORb9FrI/AAAAAAADDbQ/kDW2ga7xEMw/s1600/WP_20140914_22_03_52_Pro__highres.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-mHdm4GoDeVI/VWByekXv9sI/AAAAAAAAuRE/irzrWv6prgU/s72-c/lemutu.jpg)
Lemutuz: Aliyevuruga Matokeo ya Jana Tuzo za Watu Yupo Busy Pia Kuvuruga Matokeo ya KTMA, Nitamtaja Laivu
![](http://4.bp.blogspot.com/-mHdm4GoDeVI/VWByekXv9sI/AAAAAAAAuRE/irzrWv6prgU/s640/lemutu.jpg)
lemutuz_nation 'Well, huwa ninaongea na FACTS with EVIDENCE toka jana Usiku nimesema I smell fish kama nilivyo smell Fishy kwenye matokeo ya Miss Tanzania ya Mwaka jana kuna wajinga akili ndogo walioanza kunirushia matusi LE AKILI KUBWAZZZZ now ninasema jana HAKI HAIKUTENDEKA kuna wanaojaribu kuninyamazisha na matusi...great ninarudia tena sikuenda Shule kuwa mjinga so toka jana niliingia kwenye uchunguzi wa FACTS and EVIDENCE of WHO IS BEHIND LAST NIGHT MESS tayari nimeshaanza kupata...
9 years ago
VijimamboKIWIA AKANUSHA KUZIMIA BAADA YA MATOKEO KUTANGAZWA. ASEMA ANATARAJIA KUFUNGUA KESI MAHAKAMANI KWANI BADO HAJASAINI MATOKEO.
Aliekuwa Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mkoani Mwanza na Mgombea wa nafasi hiyo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi Ukawa Highness Kiwia, anatarajia kufungua kesia ya kupinga matokeo ya uchaguzi jimboni humo kwa madai kwamba haukuwa wa huru na haki kutokana na kugubikwa na changamoto mbalimbali.
Kiwia ambae ameshindwa kutetea jimbo hilo baada kuchukuliwa na Angelina Mabula kutoka Chama cha Mapinduzi CCM,...
10 years ago
Habarileo25 Nov
JK amaliza taratibu za matibabu
RAIS Jakaya Kikwete aliyefanyiwa upasuaji wa tezi dume katika Hospitali ya Johns Hopkins Marekani hivi karibuni, jana alimaliza taratibu za matibabu huku afya yake ikionekana kuimarika zaidi.
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Taratibu za kutatua migogoro ya kikazi — 2
KWA wasomaji wapya taratibu zilizowekwa na Sheria ya Ajira ya mwaka 1955; Sheria ya Usalama Kazini ya mwaka 1964; Sheria ya Mahakama ya Kazi ya mwaka 1967; Sheria ya Taasisi...
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Yanga mpya inavyojengwa taratibu