Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK amaliza taratibu za matibabu

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete aliyefanyiwa upasuaji wa tezi dume katika Hospitali ya Johns Hopkins Marekani hivi karibuni, jana alimaliza taratibu za matibabu huku afya yake ikionekana kuimarika zaidi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Vijana hawajui taratibu za uchaguzi

LICHA ya vijana na wanawake wengi kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu, imebainika wagombea wengi hawajui utaratibu wa uchaguzi na mbinu mkakati za kuwaletea ushindi.

 

10 years ago

Bongo Movies

Monalisa: Taratibu tunatoboa kimataifa

Muigizaji wa filamu hapa Bongo, Yvone Cherry maarufu kama Monalisa, amesema kuwa milango ya kufanya kazi za filamu kimataifa imeanza kufunguka, akiwa tayari na project aliyofanya na timu kutoka Marekani, Daddy's Wedding itakayotoka Februari 14.

Monalisa amesema kuwa, mbali na kazi hii, ana project nyingine na timu kutoka UK kati ya nyingine ambazo zinaonesha kuwa taratibu sanaa hii imeanza kuvuka mipaka kuelekea kule kunakotakikana,.

Vilevile Star huyu wa filamu akaelezea matamanio yake ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uachishaji kazi na taratibu zake

UTARATIBU wa kuajiri na kuachisha kazi umetolewa na kuonyeshwa katika sheria mbalimbali hapa nchini. Miongoni mwa sheria hizo ni Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini ya Mwaka 2004 (Na. 6...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uachishaji kazi na taratibu zake — (2)

WIKI iliyopita nilisema kwamba kuna baadhi ya waajiri huajiri na kuachisha kazi au kufukuza wafanyakazi wao bila kufuata utaratibu uliowekwa katika sheria za kazi katika Sheria ya Ajira na Mahusiano...

 

10 years ago

GPL

Taratibu za Tiba za Rais zakamilika

Taratibu za matibabu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (Pichani), zimekamilika leo, Jumatatu, Novemba 24, 2014.  Taratibu hizo za matibabu za Mheshimiwa Rais Kikwete zimekamilika kiasi cha saa 12 asubuhi ya leo wakati madaktari bingwa katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko mjini Baltimore, Jimbo la Maryland, Marekani, walipomfanyia hatua ya mwisho ya tiba.  Hata hivyo, Rais...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga mpya inavyojengwa taratibu

Yanga imekuwa ikifanya vizuri katika mashindano mbalimbali ambayo inashiriki msimu huu. Kwanza ipo kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ikiwa na pointi 43 (kabla ya mechi ya jana dhidi ya Mbeya City) huku ikiwa imecheza mechi 19 za ligi hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Taratibu za kutatua migogoro ya kikazi — 2

KWA wasomaji wapya taratibu zilizowekwa na Sheria ya Ajira ya mwaka 1955; Sheria ya Usalama Kazini ya mwaka 1964; Sheria ya Mahakama ya Kazi ya mwaka 1967; Sheria ya Taasisi...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali: NCCR Mageuzi fuateni taratibu

>Siku moja baada ya Chama cha NCCR-Mageuzi kuitaka serikali kumpa ulinzi Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila kutokana na vitisho anavyopata baada ya kusimama  Bungeni na kutaka suala la upotevu wa fedha Escrow lichunguzwe, Serikali imesema ni lazima chama hicho kifuate taratibu zinazotakiwa ndipo waweze kupatiwa ulinzi wanaoutaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani