Monalisa: Taratibu tunatoboa kimataifa
Muigizaji wa filamu hapa Bongo, Yvone Cherry maarufu kama Monalisa, amesema kuwa milango ya kufanya kazi za filamu kimataifa imeanza kufunguka, akiwa tayari na project aliyofanya na timu kutoka Marekani, Daddy's Wedding itakayotoka Februari 14.
Monalisa amesema kuwa, mbali na kazi hii, ana project nyingine na timu kutoka UK kati ya nyingine ambazo zinaonesha kuwa taratibu sanaa hii imeanza kuvuka mipaka kuelekea kule kunakotakikana,.
Vilevile Star huyu wa filamu akaelezea matamanio yake ya...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O0rRt4kCpspq-gP5WwxaSDiMN-gP*mkRT1yv8owy54gvyE3n3ZMtSN9WW-xTe4SuBqYqNVwt2gFre7OGiPcC2jJoZjWkjRhZ/mona.jpg?width=650)
MONALISA HOFU YA JUJU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LXZYmTRupZ*od7iuXgDCB7ZjTMnU7bISoatZFrAdh1-DtHhd8-zKBIDiK2z44cgSKCBPqK9MwMc0pYnyC5keYmAf4ADjgwzR/Monalisa.jpg)
MONALISA: MIMI SI GUBEGUBE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkwEyosXaP1DIwFGfOPbqWfQf*uW30sYTl9QKObn6kcROk-JbNZyTYRX6BRkH0s4M29nxc5*XP9izhsOQj*qPVUN/mona.jpg)
MONALISA AFANYIWA SHEREHE!
10 years ago
VijimamboMKURUGENZI WA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA AWASHAURI VIJANA KUFANYA KAZI NA MASHIRIKA YA KIMATAIFA
10 years ago
MichuziMkurugenzi wa Ushirikano wa Kimataifa awashauri vijana kufanya kazi na Mashirika ya Kimataifa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dd_MNJ3i5ko/VBdQg9AOnXI/AAAAAAAGj2A/yEhOymKzyPA/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Tanzania kuungana na Jumuiya ya Kimataifa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni
![](http://1.bp.blogspot.com/-dd_MNJ3i5ko/VBdQg9AOnXI/AAAAAAAGj2A/yEhOymKzyPA/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
Serikali imefanikisha kwa kiasi kikubwa kuondosha matumizi ya kemikali zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni kwa kupitia mikakati ya kitaifa ambayo ni pamoja na Kujenga uwezo wa Taasisi zinazosimamia utekelezeji wa Mkataba wa Montreal, Kuweka takwimu za kemikali hizo,Kutoa elimu kwa wadau na kwa umma wa Watanzania kuhusu umuhimu wa Tabaka la Ozoni na hatari zinazolikabili.
Hayo yameelezwa leo na Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Raisi Mazingira Mh. Binilith Mahenge...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Monalisa asema sanaa imevamiwa
USEMI wa mtoto wa nyoka ni nyoka, umejidhihirisha katika tasnia ya filamu nchini baada ya msanii Yvony Cherry ‘Monalisa’ kuonekana wazi anafuata nyayo za mama yake Suzan Lewis ‘Natasha’ katika...
10 years ago
Bongo Movies20 Dec
MONALISA: Eti Kwani Tunafanana?
UTANI KIDOGO: Mwigizaji nguli wa filamu hapa nchini Yvonne Cherrie “Monalisa” ametupia picha hii mtandaoni akiwa na mama yake ambae pia ni muigizaji,Susan Lewis “Natasha” na kuandika maneno ya kiutani zaidi akijiita yeye CHEUSI na mama yake MAMVI nakuwauliza mashabiki kama wawili hawa wanafanana.
“Nipo na mamvi,nimekutana nae kang'ang'ania kupiga picha na cheusi mangala eti kwani tumefanana?”
Monalisa ni mwigizaji na muongozaji wa filamu mkongwe hapa Afrika ya mashariki naamesha shinda...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/826oIv68XgjSFOVQU1fRQvjy9NB9n6SR37qWkF6I94akZoOe5vXCyxMJKVnROE0IjOO9ADDN3hZxAgJPgG58ZY3jqnOzfmsz/mona.jpg)
MONALISA AMWANDALIA TYSON SAPRAIZI