MONALISA AMWANDALIA TYSON SAPRAIZI
![](http://api.ning.com:80/files/826oIv68XgjSFOVQU1fRQvjy9NB9n6SR37qWkF6I94akZoOe5vXCyxMJKVnROE0IjOO9ADDN3hZxAgJPgG58ZY3jqnOzfmsz/mona.jpg)
Stori: Chande Abdallah STAA wa Bongo Movie, Yvonne Cherry ‘Monalisa’ amefunguka kuwa bado anamkumbuka sana aliyewahi kuwa mumewe, marehemu George Tyson hivyo atafanya kitu kwa ajili ya kumuenzi. Staa wa Bongo Movie, Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Akizungumza na mwandishi wetu siku ya Arobaini ya Tyson, Monalisa alisema daima ataendelea kumkumbuka na kumuombea Tyson na ameona kuna umuhimu wa kufanya kitu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies30 May
Baada ya Mwaka Moja, Leo Monalisa Atoboa Mazito Kuhusu Kilichotokea Kwenye Msiba wa George Tyson
Leo ikiwa ni mwaka mmoja toka aliekuwa muongozaji wa filamu na vipindi vya TV hapa Bongo, George Tyson kufariki dunia, mwigizaji Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ ambaye alizaa na marehemu afunguaka mazito kupitia ukurasa wake mtandaoni.
Mara baada ya kubandika picha hiyo hapo juu monalisa akiwa na marehemu Tyson na mtoto wao, monalisa aliandika;
Wiki 78 zilizopita @jojityson alipost hii pic na kuandika
My family @monalisatz @soniamonalisa
Leo ni mwaka mmoja toka uondoke George..bado ni ngumu...
9 years ago
Global Publishers01 Jan
AY: Wazungu wamenitibulia sapraizi
Ambwene Yesaya ‘AY ‘.
Gabriel ng’osha
Hii nayo kali! Unajua AY na ngoma yake iitwayo Zigo, sasa basi jamaa alifanya remix ya wimbo huo akimshirikisha Diamond kisha kutaka kufanya sapraizi kwa Wabongo.
Unajua kilichotokea? Unaambiwa Wazungu ambao ndiyo waliotengeneza kichupa cha wimbo huo wakawapiga picha kisha kuziachia mtandaoni, kitendo kilichotibua kila kitu.
“Nilitaka kufanya sapraizi kwa kufanya video ya wimbo huo kwa siri kisha kuja kuiachia kwa kuwashtukiza. Kumbe bwana Wazungu...
9 years ago
GPLVAN VICKER KUMFANYIA SAPRAIZI WEMA
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Pigano kati ya Deontay Wilder na Tyson Fury II: Mike Tyson ana muunga mkono Fury
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kYkWoLTW4g9iUtyWamf6XAnNJrLm7fz5oCJD38tIGpKHCmyxmguYmawYh5v17s6Jrc4ClqBFHkYXoJY4xbSMAyqwDazD7*Bi/DIAMOND4.jpg?width=650)
DIAMOND AMWANDALIA ZAWADI MAMA YAKE
10 years ago
Habarileo28 Aug
JK amwandalia njia safi mrithi wake
MRITHI wa Rais Jakaya Kikwete, atakayepatikana baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwakani, ameanza kuandaliwa makao yake Ikulu, yatakayomwezesha si tu kuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania tajiri, bali pia kuanza kazi bila viporo vya miradi ya maendeleo ya Serikali ya Awamu ya Nne.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ghgkO-sKpuk/UvVRN_qqIqI/AAAAAAAFLrc/_jDfRrs6-x0/s72-c/D92A8003.jpg)
Rais Kikwete amwandalia Bwana joe Ricketts Chakula cha Usiku
![](http://3.bp.blogspot.com/-ghgkO-sKpuk/UvVRN_qqIqI/AAAAAAAFLrc/_jDfRrs6-x0/s1600/D92A8003.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XWuq4hYZFtg/UvVROQk2QEI/AAAAAAAFLrg/BqC5Jdq0n48/s1600/D92A8027.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eNIkOIuujRM/VheGRNVadSI/AAAAAAAH-C4/-b9OnnHRp-o/s72-c/unnamed%2B%252850%2529.jpg)
RAIS NYUSI WA MSUMBIJI AMWANDALIA JK DHIFA MAALUM YA KUMUAGA, JIJI LA MAPUTO LAMTUNUKU UKAZI WA KUDUMU
![](http://3.bp.blogspot.com/-eNIkOIuujRM/VheGRNVadSI/AAAAAAAH-C4/-b9OnnHRp-o/s640/unnamed%2B%252850%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BPgAgufU1qE/VheGREUiJXI/AAAAAAAH-C8/OrFa2htZFb8/s640/unnamed%2B%252851%2529.jpg)