JK amwandalia njia safi mrithi wake
MRITHI wa Rais Jakaya Kikwete, atakayepatikana baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwakani, ameanza kuandaliwa makao yake Ikulu, yatakayomwezesha si tu kuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania tajiri, bali pia kuanza kazi bila viporo vya miradi ya maendeleo ya Serikali ya Awamu ya Nne.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV16 Dec
TPDC latoa Sh. Mil. 10 kuwezesha Upatikanaji Maji Safi Njia Nne
Shirika la Maendeleo la Petroli TPDC limetoa shilingi milioni kumi za kuwezesha upatikanaji wa maji safi kwenye kijiji cha Njia Nne kinachopitiwa na bomba la gesi.
Mkuu wa wilaya ya Mkuranga Abdallah Kihato ameagiza mradi huo kutotekelezwa kisiasa akiahidi kuchukua hatua kali dhidi ya matumizi yasiyo ya muhimu ya fedha hizo.
Kijiji cha Niia Nne kinapitiwa na mradi wa bomba la gesi linalotoka Mtwara hadi Dar es Salaam kwa kilomita nne.
Mkuu wa wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani ameonya kuhusiana...
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Ndesamburo amtangaza mrithi wake Moshi Mjini
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-AKYztlnEv-U/VKI0eEHcyfI/AAAAAAADTYM/rI3EafiYGZk/s72-c/Police-Coach-Goran-warns-LLB-to-expect-fightback-in-Kigali.png)
BAADA YA MAXIMO, SASA PHILI SIMBA OUT NA HUYU NDIYO MRITHI WA WAKE NAE SIJUI ATADUMU SIMBA NA YANGA NI SHIDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-AKYztlnEv-U/VKI0eEHcyfI/AAAAAAADTYM/rI3EafiYGZk/s1600/Police-Coach-Goran-warns-LLB-to-expect-fightback-in-Kigali.png)
Phiri raia wa Zambia amesema ni suala la kawaida kumtokea kocha, hivyo hana kinyongo na uongozi wa klabu hiyo.
"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.
"Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.
Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3Vi2v93vOB5-Hmm4wPPBholc6*QIYxImS0NuZxQgI9C2W4aLBRYf5aq3sKxCN26v8ThXitObrp2Hp8WTz4YE6SNj/2.jpg?width=650)
GWAJIMA AWAACHA WAUMINI WAKE NJIA PANDA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/826oIv68XgjSFOVQU1fRQvjy9NB9n6SR37qWkF6I94akZoOe5vXCyxMJKVnROE0IjOO9ADDN3hZxAgJPgG58ZY3jqnOzfmsz/mona.jpg)
MONALISA AMWANDALIA TYSON SAPRAIZI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kYkWoLTW4g9iUtyWamf6XAnNJrLm7fz5oCJD38tIGpKHCmyxmguYmawYh5v17s6Jrc4ClqBFHkYXoJY4xbSMAyqwDazD7*Bi/DIAMOND4.jpg?width=650)
DIAMOND AMWANDALIA ZAWADI MAMA YAKE
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gEvEsX4FLfU/VdsZ6xxfzlI/AAAAAAAHzo4/xIWnkz_1cF4/s72-c/DSC_0153.jpg)
FILIKUNJOMBE NJIA NYEUPE UBUNGE WAPINZANI WAKE WAINGIA MITINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-gEvEsX4FLfU/VdsZ6xxfzlI/AAAAAAAHzo4/xIWnkz_1cF4/s640/DSC_0153.jpg)
Na matukiodaimaBlog Ludewa ALIYEKUWA mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe (CCM) amepita bila kupingwa baada ya mgombea wa chama cha Demokrasia na maendeleo (chadema) Barthomew Mkinga kushindwa kutimiza Masharti na Taratibu za Ujazaji wa Fomu.
Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Ludewa Bw Wiliam Waziri alisema jana kuwa Mgombea wa Chadema ameshindwa kutimiza taratibu za ujazaji wa fomu hizo hivyo kukosa sifa ya kuwa Mgombea wa Ubunge...
9 years ago
Bongo503 Dec
Video: Harmonize autafuta ustaa kwa njia alizopitia bosi wake Diamond?
![12317459_411872465678262_2113634085_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12317459_411872465678262_2113634085_n-300x194.jpg)
Tunajua kuwa Diamond ni msanii mwenye kipaji, anayejituma na nidhamu yake ya kazi inaweza kuhamisha milima, lakini hakuna anayeweza kubisha kuwa uhusiano wake na wasichana maarufu ulimsaidia kumpa jina.
Jacqueline Wolper, Wema Sepetu, Jokate, Zari na wengine ambao hatukuwahi kuthibitisha, wamelijenga zaidi jina lake, na of course, yeye pia amewapa fursa hiyo pia.
Inaonekana kuwa Harmonize anaanza kutumia njia za bosi wake pia kutafuta tobo.
Hivi karibuni muimbaji huyo wa Aiyola amekuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ghgkO-sKpuk/UvVRN_qqIqI/AAAAAAAFLrc/_jDfRrs6-x0/s72-c/D92A8003.jpg)
Rais Kikwete amwandalia Bwana joe Ricketts Chakula cha Usiku
![](http://3.bp.blogspot.com/-ghgkO-sKpuk/UvVRN_qqIqI/AAAAAAAFLrc/_jDfRrs6-x0/s1600/D92A8003.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XWuq4hYZFtg/UvVROQk2QEI/AAAAAAAFLrg/BqC5Jdq0n48/s1600/D92A8027.jpg)