RAIS NYUSI WA MSUMBIJI AMWANDALIA JK DHIFA MAALUM YA KUMUAGA, JIJI LA MAPUTO LAMTUNUKU UKAZI WA KUDUMU

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Felipe Jacinto Nyusi wa Msumbiji wakigonga glasi ya kutakiana heri wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya Rais Kikwete na ujumbe wake katika ikulu ya nchi hiyo jijini Maputo maarufu kama Ponta Vermelha usiku wa kuamkia leo.Rais Kikwete alitumia fursa hiyo kuwaaga wananchi wa Msumbiji akisisitiza kuwa uhusiano wa kidugu na kipekee kati ya nchi hizo mbili utaendelea kudumu na kukua
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi.jpg)
JK awasili maputo usiku huu kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Mpya wa Msumbiji Mhe.Filipe Nyusi kesho
.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 May
Rais Nyusi awa Rais wa kwanza wa Msumbiji kulihutubia Bunge la Tanzania

Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi akiingia ndani ya ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiongozana na wenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Spika wa Bunge la Muungano wa Tanzania Mhe.Anne Makinda.
Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi akilihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mjini Dodoma.
Na Immaculate Makilika na Lydia Churi – MAELEZO, DODOMA.
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mheshimiwa Felipe Nyusi amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...
10 years ago
Vijimambo14 Jan
Rais Kikwete awasili nchini Msumbiji kuhudhuria Sherehe za kuapishwa Rais Nyusi
10 years ago
Michuzi
Rais Kikwete apokea Ujumbe kutoka kwa Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi


10 years ago
GPL
MAPOKEZI YA RAIS NYUSI WA MSUMBIJI YALIVYOFANA
10 years ago
MichuziRais Wa Msumbiji Felipe Jacinto Nyusi alihutubia Bunge Dodoma
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Dewji Blog18 May
Rais Nyusi wa Msumbiji apokelewa nchini kwa nderemo na vifijo






11 years ago
Michuzi
Rais Armando Guebuze Wa Msumbiji afungua Maonyesho Biashara ya Kimataifa Mjinj Maputo,Tanzania yashiriki vyema
